Tunakimbilia 'December' funga mwaka, kama malengo yako ya kuoa / kuolewa yamefanikiwa, tunakupatia pongezi; kama bado kufanikisha, tunakupa pole pia tunakushauri ujikague na ujirekebishe na...
Habari za weekend wanajukwaa! Hivi nyie mnaokuwa na wapenzi wenu wa moyo then kutwa kujimwambafai oohh juma kanitongoza...hamis ananitaka Mara sweetbert ameniomba tutoke out ila kasema nisikwambie...
Habari zenu wanajamvi, Leo kwa niaba ya Wakurya napenda kuwapa japo kwa ufupi kuwa kumuadhibu mwanamke siyo dhambi.
Wakuu kutokana na ongezeko la wanaume kujiua kwa sababu ya kukosewa nidhamu na...
Leo hii unakuta Mabinti na Wanawake wengi wanapenda Kuvaa Nguo ambazo zinaonyesha maumbile yao yote haya yale ambayo hayatakiwi kuonekana hadharani na wenyewe wanafurahia na kuona Ufahari hivyo...
Habari wakuu
Wakati nipo form Six, nilikuwa najichua sana(punyeto) kiasi kwamba ilikuwa haipiti siku sijapiga puli, aisee sikujua Kama najiua, nilivyomaliza tu nikaenda nyumbani, nikakutana na...
habarini wadau na washauri wazuri wa jf
hivi majuzi nilikuwa na uzi wa kuacha ni kweli nimechwa
nimejua hilo na nimeona anamtuu mpyaa kabisaa tena kijana mdogo sana
iwamesoma nae chuo mkoa x...
Wengine huita 'mood swing'
Kwa watu wazima wote nadhani tayari tuna uzoefu wa kuishi Wawili chini ya paa moja kwa muda, kama wenza, Mke na Mume, huku wote mmekutana mkiwa na historia tofauti za...
Wazee wameachwa katika mazingira magumu huko vijijini, unakuta mzee mpaka mgongo umepinda analima shamba kubwa kwa jembe la mkono, anachunga mifugo, anapasua magogo ya kuni n.k Ukiwauliza kuhusu...
Habari zenu wakuu niende kwenye mada moja kwa moja siku mbili zilizopita ikiwa nipo bandarini mida ya saa tatu usiku baada ya kupakia mizigo kwenye ikiwa nasubiria maji ya usiku ili nisafiri...
Hii kauli nimeisikia jana akilalama mama mmoja katika mazungumzo na wenzie kibarazani. Anadai ametunza mtoto peke yake kwa mahangaiko makubwa, kamsomesha kwa tabu kwa pesa za kuokoteza kwenye...
Habari wana MMU,
Ni tumaini langu kuwa mko poa sana, ngoja niende kwenye kiini cha uzi kama tittle inavyouliza.
Binafsi ni mtu wa pilikapilika na movement za hapa na pale maeneo ya ma bar na...
Habari zenu za Mei Mosi na Tunaendelea kupambana na kuchukua Tahadhari Juu ya Corona.
Kwa niaba ya wanawake wote wa JF hasa huku MMU tunaomba mtuulize swali lolote kwenye huu uzi na tutawajibu...
Baba yangu hamtaki mke wangu naomba pita hapa unipe ushauri.Ilikua ni mwaka wa 2020 ndo Kwanza natimiza umri wa miaka 21 wakati huo nikiwa Geita nikipambana na maisha, nilipokea simu kutoka Kwa...
Habari wapendwa?
Mfano, wewe na aliyekuwa mpenzi wako mmeachana, lakini cha ajabu huyo ex wako anakuwekea mashushushu(FBI) wakufuatilie nyendo zako, inakua na maana gani hii wakuu?
Kama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe.
Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma...
For many couples, falling in love is a pleasant and romantic experience they may enjoy together. Some couples engage in sexual activity solely for the purpose of having children, while others...
Guys nimepata safari, next week naelekea Msumbiji katika moja ya utimizaji wa majukumu yangu kikazi.
Sasa nasikia kuna machotara hao wa kireno, naweza kuwapata angle gani pale Maputo? Nilihitaji...
Eid mubarak wana JF!
Ni hivi, assume kuna mwanaume ulivutiwa nae sana muda mrefu mpaka ukatamani kuwa nae kimahusiano ila yeye hakukupa attention kiiivo kama unavotaka iwe kwa sababu zake...
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi...
Mwanaume usijivunge kuchepika huenda mkeo alisha chepuka na roho ya karma inataka kumjibu. Maana malipo ya dhambi ni hapahapa duniani.
Ukiona roho imefura juu ya kuchepuka wala usijiulize mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.