Wadau nawasalimu,
Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,
Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka...
"USITUMIE USALITI KAMA SULUHISHO"
Elewa tabia za kudanganywa na mpenzi wako. Watu hudanganya kwa sababu nyingi na sio kila wakati kuhusu ngono.
Wakati mwingine watu hudanganya (usaliti) kwa...
Yamenikuta kijana mwenzenu!mwaka jana mwezi October nilianza kudate rasmi na binti mmoja hv,mwanzo nilikuwa namuona wa kawaida tu ila siku zilivyozidi kwenda nikaangukia kwenye mahaba Niue,kwa...
Kuna mpenzi wangu tulikuwa pamoja. Anakuwaga na tabia ya kununa nambembeleza anarudi kawaida.
Sasa Jumapili alikuja kwangu akanitunuku vizuri tu. Sema Kuna kitu kidogo nilifanya akakereka...
Upo hoi kitandani alafu mwenza wako anakubana umpatie pesa ya mchango wa Sendoff au harusi.
Kwa picha kama hii unapata kumuelewa vipi? Anafaa kuitwa mwenza mwema?
Habar wana Jf
Mke wangu amegundua tabia ya kunichapa makofi tukiwa kwenye 6/6.
Tangu nirudi safari mke wangu amekuwa na nyege za ajabu tukiwa tunasex akikalibia kukojoa ananipiga kofi sasa...
PENZI LA UDANGANYIFU. Ilinyesha kama haijawahi kunyesha hapo awali, siku ile ilikuwa ni ya kipekee. Nilionekana nadhifu na mtanashati ndani ya suti yangu nyeusi, na nilinukia kama mfalme. Sikutaka...
Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi...
Couples are often judged more harshly when the woman is older. Indeed, the social standard is for the age difference in a couple to be the other way around. Whether it’s 5, 10 or even more years...
Wazee kwa vijana
wadada kwa wamama.
Jina la bwana lihimidiwe!
Kwa muda mrefu sana hili jambo huwa linatokea baadae linapotea kisha linajirudia tena!
Huyu wife wangu amekuwa akirusha vijembe sana...
Habari zenu wakuu
Nikiwa chuo mwaka wa 3 nilipata msichana niliyekuwa nimemzidi mwaka mmoja wa masomo kwa kipindi hicho
Nilimpenda nikaamua kuanzisha nae mahusiano yaliyokuja kuzaa uchumba mpaka...
Za moniee wana jamvi,
Ebana imekaa hivi, nina demu wangu anaishi kwao. Maza ake kama anakunja hivi. Sasa huyu demu ana kimgahawa, mtaji nilimpa ila mama ake hajui. Mama ake amekopa vikoba na...
Mwanaume mke wako amechelewa kurudi kazini unashindwa kuongea nae na kujua kilichotokea unanuna na kwenda kulala. Masikini binti wa watu hajui hata kama umekasirika.
Huyu hapa pichani anakereka...
Ukiwa mrembo na unataka kutoka ki maisha njoo Dar
Dar binti mrembo anaconfidence kuliko mwenye degree na masters
Kwa Dar, binti mzuri anaishi maisha expensive kuliko maisha ya mkuu wa chuo...
Kuna kipindi nikiwa mwanafunzi nilipopita JKT, kuna afande aliwahi kusema kuwa mheshimu mno mkeo unayelala naye kitanda kimoja, kwani kukuua ni dk 0 tu.
Akatoa na mfano kuwa je, akikuwekea sumu...
Habarini za jioni wana jamvi.
Kuna binti tumefahamiana miaka miwili iliopita, ni dada ambae tunakaa sehemu moja.
Aliniomba urafiki kwa kuwa alikuwa ananijuaa lakini mie sikuwa namjuaa kwakuwa...
Hi kwa wana Jeiefu wote. I hope mpo wazima kabisa.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna mushkeri imetokea baina yangu na girlfriend wangu. Issue ilianza pole pole tu lakini sasa mambo...
Ikitokea mmekaa wawili kwa muda mrefu, jinsia tofauti (mwanaume na mwanamke) hata kama hamna mahusiano, sehemu ambayo mpo wenyewe tu; hapo lazima midomo isalimiane na baadaye mambo mengine...
Nawasalimu kwa jina la JF, shuhuda ziendelee.
Wakuu imepita takribani miezi kadhaa hivi tangu ni fahamiane na huyu dada, nikiri kwa hii hali iliyofikia mie ndiye wa kulaumiwa.
Ilikuwa majira ya...
Jumapili moja nilikuepo kwenye mgahawa mmoja hapa Dar, kiukweli ni mgahawa wenye hadhi kidogo (upo classic) mgahawa una ukuta wa kioo, ndani kiyoyozi plus tv Pana flat screen. Nilivokua nje ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.