Kweli Rau madukani acha paitwe Rau madukani.
Ni hivi,juzi nilikutana na dada mmoja mrembo sana pale Rau madukani anaitwa Reah.
Nikatupa ndoano akanasa fasta sana bila kusumbua hata kidogo...
Assalaam.
Nipo home napigiwa simu na dada ambaye ni kama family fiend wetu kutokana kwa wazazi wetu kushibana katika mambo mbalimbali. Simu ilikuwa ikinijuza ya kuwa kuna dada wawili wanakuna...
Kutokana na changamoto ninazoziona kwa wazee au wakubwa zangu walionitangulia, hasa wenye umri mkubwa wanavyoishi, nimeazimia kutengeneza 'empire' kama mazingira yataniruhusu.
Wazee wengi...
Miezi ya karibuni maeneo mengi yatakutwa na hali ya baridi au mvua, na kwa sasa kuna baadhi ya maeneo mvua inanyesha. Na kawaida hali ya mvua au baridi huwa ni baraka kwa wapendanao; kwa wale...
Habari zenu wanaJF!
Ni hivi, kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu...
Unakuta ukiwa bwana mdogo kipindi bado bikra wa maisha, Wazazi na ndugu wanakuwa na shinikizo la kukukazia utafute maisha kwa ugumu.
Kama ni mzazi utamuomba pesa ya mtaji atakwambia katafute au...
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?
Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu...
Hahahaaaa!
Wonders shall never cease for the Naive.
A wise man has eliminated surprise in his life.
Stay away from female manipulation
Kupitia hiyo kauli unaweza jitutumua na ukajiidentify...
Habarini wana jamvi.
Jana nilipata ugeni wa watu wanne, watatu kutoka ukweni na mmoja kutoka familia yangu.
Sasa kutokana na hali yangu ya kiuchumi kwa kipindi hiki imekuwa...
Habarini...
Hakika kuna kundi moja ambalo lina stress za kimya kimya. Hawasemi tuu.
Ni kundi la wanawake walioturn 30 years na kuendelea halafu hakuna hata dalili za ndoa.
Kundi hili lina...
Ni kweli wake za watu matendo wanayofanya yanatutia wasiwasi.kwa mfano unakuta mnakunywa pombe katika grocery ghafla mumewe anampigia simu kumuulizia alipo Cha ajabu Bila aibu mke anajibu kuwa...
Nianze kwa kusema OLE OUT! Wanangu wa MAN-U na Leo tunakufa tena.
Turudi kwenye Topic.
Wakuu hapo nyuma nilikua na Mpenzi Dadek Pisi kali ya kwenda ila ilikua inapenda Pesa sana hela za Shopping...
Naombeni msaada wenu wanajamvi. Nina mchumba wangu bikra wakati wa kufanya mapenzi tunapata shida sana. Wakati wa tendo nashindwa kutengeneza njia kwa sababu mpenzi huwa analalamika sana kwa...
Habari wana jf naomba kushare na ninyi kisa hiki maana kishanikuta zaidi ya mara moja
Wakati nipo shule ya msingi ndio balehe zinaanza anza nikatokea kumpenda binti fulani sasa si unajua...
Habari za wakati huu, napenda kuulizia hivi husband material huwa anapatikana wapi?. Maana vijana wa wakati huu ata nashindwa kuwaelewa kabisa mambo yao, wengi wanapenda kulelewa na hawafaham...
Kweli maisha haya hakuna ajuae kesho tena hayana formula
Kuna mama mmoja bwana kazi yake ni kufua na kufanya u safi
Huyu mama katufanyia Sana kazi toka 2015 anakuja jnne kufua na kufanya u...
In a relationship, saying "I love you" is a significant step. It's exhilarating to express your feelings for someone you care about, but it may also be a little frightening to put yourself out...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.