Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za Leo, I hope mko powa. Jana nilikuwa nasoma comment kwenye uzi fulani mtu mmoja ameandika hivi hata dada yake wakuzaliwa analala naye yaani anafanya mapenzi naye. Hii ilinisikitisha...
14 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari za muda huu wanabodi. Poleni na majukumu mnayoendelea nayo katika kipindi hichi cha pili cha awamu ya tano. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimekuja mkoani kama mwezi hivi, nimekua...
6 Reactions
107 Replies
9K Views
Ubahiri wangu unaniponza sana kiasi kwamba nimekua mtu wa kula class B kama sio C,kiukwel D sijafika. Back to the point ninakitoto kimoja hiv umbo kama huddah wa kenya,sasa huyu dogo kanivumilia...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Cheki WhatsApp Status yake. Iliniuma sanaa mimi kama kijana wa Klop. Huyu ni mwana tena mwana hasa. Mwaka 2018 alikuja na taarifa kuwa anataka kuoa. Nilimkataza kabisaa na kumwambia umri wako...
67 Reactions
202 Replies
21K Views
Hakuna kitu kibaya kama kutelekeza familia. Jana nimepata kukutana na dada mmoja amezaa na jamaa flani huyo jamaa ana kazi nzuri tu ila ukimcheki Dada mwenyewe kachoka kweli hata kazi anayofanya...
26 Reactions
197 Replies
14K Views
Naona hili jambo sasa lisipokemewa linazidi kukua. Leo wakati nipo ofisini katika group fulani la wenzangu nikatumiwa video jamaa akiwa na mwanamke anafanya mapenzi ni msichana mdogo tuu. Lakini...
34 Reactions
232 Replies
17K Views
Kuna dada nilikuwa naye akaniacha akaenda kuzaa na jamaa mmoja ana watoto kibao na wadada kibao, akaachana huko leo ana maisha magumu atamani anitafute nimpe hata hela ya kula ila aibu imemjaa...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii, nawasalimu. Mimi ndugu yenu nina shida na ninahitaji msaada wenu ili niweze kukabili hii hali inayonisumbua. Tatizo langu ni kukata tamaa mapema, siwezi kupigania kitu nakipenda...
0 Reactions
75 Replies
4K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada, nipo mkoa wa Geita kikazi na leo nimefanikiwa kufika sehemu inayoitwa Nyarugusu visa nilivyovikuta vinashangaza na hizi hapa ni simulizi nilizozikuta kwenye msiba...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumeoma mara kwa mara kero ya hawa walimu wa vyuoni wakiwa wanatumia silaha ya maksi kulala na wanafunzi. Wanakuwa na nguvu ya kulala na mwanafunzi hata kama mwanafunzi hampendi, wanakuwa ma...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Binadamu wanachangamoto kweli, unamweleza shida zako ukifikiri atakusaidia ata kwa mchango kidogo; matokeo yake wanakushauri Mungu atakusaidia. Sasa mtu ana njaa, hitaji lake kwa sasa ni...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Wanaume wengi wamekuwa na wasiwasi na mashaka juu ya wapenzi wao kuhusu suala zima la kufika kileleni wakati wa mapenzi. Leo kwa ufupi kabisa nakuletea njia 4 nyepesi kabisa ambazo ukizitekeleza...
3 Reactions
46 Replies
31K Views
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila...
26 Reactions
172 Replies
17K Views
Kila mmoja anasehemu yake anayovutiwa kwa mwenzake;mi huvutiwa sana na chura ya asili iliyojazia na sura inayovutia....nikiona kiumbe wa namna hiyo huwa nachanganyikiwa kabisa.Je wewe huwa...
1 Reactions
184 Replies
15K Views
Mwanaume uliyekamilika ukipishana na mwanamke wa hivi, lazima shingo yako igeuke. Hasa ukute ndo kavalia kanga moja, ndo katoka kuoga mnapishana koridoni[emoji39] Au umkute kavalia suti yenye...
7 Reactions
66 Replies
7K Views
Strictly kwenye mada.. binafsi nilikuwa na huyo mrembo wangu... ᵐᵗᵒᵗᵒ ᵃᵐᵉᵘᵐᵇⁱᵏᵃ ᵇᵃˡᵃᵃ_ ,.. sio kwa kumpenda kule ,tulipendana zaid ya miaka mitano. Nilimpenda haswaa mpak nikahisi chizi ,waliowah...
10 Reactions
86 Replies
13K Views
Habarini.....! Kuna hii kitu inaitwa starehe watu wa kizazi Cha Sasa wanaipenda Sana ,na wengine wanatumia nguvu kubwa na pesa nyingi ili waipate lakini Kuna binadamu wenzetu Tena watanzania...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa masikitiko makubwa mkulungwa jana usiku ingekuwa usiku wangu wa mwisho duniani. Tukiwa kitandani bahati mbaya ukazuka ugomvi na kutoelewana baina yetu, nilikuwa na boksa tu, katika...
65 Reactions
249 Replies
19K Views
Watafiti wa mambo wanadai kuwa Wanaume wengi Wanavutiwa na Wanawake wenye Makalio makubwa lakini kwenye suala la kuoa wanaangalia sura na sio shape wala makalio Pia, Wataalamu wa mambo wanadai...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna jamaa hapa kampata mtoto fulani hivi mkali sana. Pisi hii ipo kwenye moja ya Elite bank hapa nchini na anasukuma baby car fulani hiviii. LOL Sasa huyu jamaa akagundua hii pisi imedate na...
7 Reactions
76 Replies
5K Views
Back
Top Bottom