Hivi ni kwanini mahusiano yakivunjika yanaleta uadui kati yao Hawa waliokuwa na mahusiano?, hata ule urafiki wa mwanzo unapotea!!
Na ni kwanini ukimtongoza msichana unaefahamiana nae akakataa...
Habari wakuu
Kuna kibinti hapa kitaa nimekielewa sana
Sasa changamoto ni kuwa kikipata shida flani kinakuja kuniomba ila majuzi tuliweka promise kije home tuongee issue flani kikapotezea ingawa...
Habari za mchana natumaini nyote wazima kbsàa poleni na tabu za maji,umeme na joto Kali kwa wale wakazi wa Dar. Bila kupoteza muda tuende kwenye mada yetu ya leo ndugu zangu.
Kwa siku za hivi...
Maisha yana mambo mengi, vyovyote unavyoweza sema. Kupigwa chabo hasa ukingonoka faragha bila ridhaa huwa ni jambo la fedheha kubwa na agharabu likakupeleka katika msongo wa mawazo. Wengine...
Kabla usiku haujawa mnene....
Mwaka 2021 unaisha kwa namna yake kwa upande wa Bi Kasinde.
Kuna jambo limenibidi/limenifanya nifanye maamuzi manene/mazito yenye/yasiyo na mashiko.....
Mlango wa...
Wadau hivi unaweza kua na mahusiano ya kimapenzi na mchumba/ Dem wa rafiki ako endapo walishaachana?? Je ni zipi faida au hasara? Je, mshkaji wako akijua nn kitatokea? Uzi tayari! Maoni plz
AINA NNE YA WAKE.
Katika ndoa mwanaume hukutakana na Aina nne za wake. Na Aina hizo zinaathari katika ndoa yake kwa namna moja au nyingine. Na aina hizo ni.
1. Mke penzi kubwa.
Mke penzi kubwa...
Mm ni mwanaume nilie kwenye my late 20's, niliwahi kuwa na girlfriends in my late teens, Ila baadae, baadhi ya girlfriends nliokua nao niliwaacha, because sikua na malengo nao, wanajamii wengi na...
Katika kipindi chetu cha Gidi na Ghost asubuhi kitengo cha 'Stori za Ghost' mtangazaji Ghost Mulee alisimulia kisa kimoja kilichohusisha wapenzi wawili ambao ndoa yao ya miaka mitatu...
1.Mwanaume ambaye anasubilishwa kupewa papuchi hadi wafunge ndoa wakati anafahamu binti aliyenae sio bikraaa
2.Mwanaume aliyeoa au kufunga ndoa na mwanamke ambaye ametolewa bikra na mwanaume...
Pale unapo piga show mbovu kwa demu yaani kigoli kimoja alafu chalii hua unajitetea vipi ili aelewe asikuone dume suruali hii imenitokea na sio kawaida yangu maana hua nakiwashaga sijui imekuaje...
kuna utafiti nimeufanya nimegundua hapa BONGO wamegawanyika katika makundi yafuatayo.
1.MWANAMKE SHIDA hawa ni aina flani ya wanawake wao maisha yao wanategemea mwanaume...
Ni mda Kama wa miaka mitatu Sasa inaenda niko na uyu binti kwenye mahusiano tulipendana Sana nakufikia kuweka malengo ya kuwa mume na mke hapo baadae.
Mwezi uliopita aligundulika anaujauzito...
Mada tajwa hapo juu,
Wakuu demu wangu anatoka na wavulana wengine tena zaidi ya mmoja lakini naogopa kumwambia ili asije akaniacha.
Shida sio kuniacha shida ni kwamba ananipaga mzigo kila wakati...
Mficha maradhi kifo umuumbua wiki iliyopita niilijichanga uswazi kupinga masanga na kutafuta kipoozeo(demu) kwani nilikuwa na ugwadu balaa si unajua tena sisi wazee wa lokoo daile.
Nikafanikiwa...
Napenda kuwaachia ujumbe huu wake/wapenzi wetu,wakwe na mashemeji kwamba kusaidia ukweni hususani mume kusaidia upande wa mwanamke ni kitendo cha hiyari na sio lazima
Kitendo hiki cha hiyari ni...
Habarini.
Naomba Niende Direct kwenye Mada husika. Ni kama Story hivi.
Mimi Hapa Nina Washikaji 3 Let us tuwa name A, B, C by then tupo zetu chuo 4 year now, sa inshu ipo hivi Mshikaji wangu A...
Katika pitapita zangu nikakutana na mrembo mmoja hv wa Kibondei; mtoto hatari modo mashine futa la nazi tu anawaka balaa alafu alichoniua zaid vibom vyake sio hatar kiviiiile Mzee mzima nikaona...
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.