Siku nikiamua kuingia kwenye gereza la kujitakia mwenyewe nitahakikisha ninaoa mwanamke wa aina hii:
1: Mwanamke asiyekuwa na vikundi vya marafiki!
2: Mwanamke mama wa nyumbani [emoji817] percent...
Imagine umetoka zako nyumbani, unazunguka zunguka kwenye shopping malls au mitaani. Uko vizuri kipesa, una hela za kutosha tu kwenye pochi/mpesa/benki.
Ghafla wakati unatembea kucheki dukani...
Muda mwingine mtu kuwa katika maisha yako akawa ni mtu tofauti na ulivyotegemea usibadilike na kuwa mtu wa tabia zake. Jifunze kitu kutoka kwa mtu huyo in a positive way itakusaidia katika safari...
Haya Mambo Kublock Wapenzi wenu ni Ushamba Unakuta Mna Kaugomvi Kadogo tuu ila Mnalimana block kila sehemu then baada ya mda mnapatana then Mnajiunblock huo ni Ushamba na Upumbavu, utoto na...
Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu wanaume waolifanikiwa kupata wapenzi humu JF kwamba waliwezaje? Na confidence waliitoa wapi? yakuweza kujiamini kiasi hicho.
Nasema hivyo kwa sababu ukijaribu...
1. MCHEPUKO LAMI:
Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.
2. MCHEPUKO VUMBI:
Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba...
Wakuu natumaini mko vizuri katika afya.
Kama mada inavyojieleza hapo juu.
Mimi nikijana ambaye tangu nizaliwe sijawahi kufanya tendo la ndoa na sikuwahi kujihusisha na mapenzi hata siku moja...
Usiombe hivi vitu viwili (2) vikutokee katika maisha yako;-
Maradhi ya muda mrefu
Kesi mahakamani
Hivyo vyote viwili, vinamaliza pesa na vinapoteza muda; vinaweza vikakubadilisha ndani ya muda...
Unaempenda hakupendi kumbe naye ana mtu ampendaye
Huyo anayependwa naye hampendi anayempenda huku naye kuna mtu anampenda na yeye hapendwi
[emoji23]
Mpenzi mliyekutana accidentaly mtadumu kuliko...
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita.
Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon.
Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani...
Wanasaikologia ni kweli wanandoa au wapenzi, wakifanya mapenzi sehemu za hadhi ya chini, kama vile msituni, shimoni, chini ya vibanda vya wazi, beach sehemu ya uwazi, vichochoroni, kwenye dari...
Hapa nawahusisha ma-housegirl wanaofanya kazi hapa nchini au hata nje yaani nchi za kiarabu. Juzi niliona clip kinamama wa kiarabu wanamchoma visu binti bila shaka walimshuku anawaibia...
Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Mkeo anakupokea kwa furaha
Anakuvua koti
Anakuvua viatu na soksi
Anakuvua nguo zote
Anaenda kukuogesha
Anakuandalia chakula na...
Huu mchezo wavulana wengi huuanza kwa kufundishwa na wenzao hasa hasa wanapoanza kubalehe, Mara nyingi wengi huuanza form one wanapojiunga sekondari. Wanapouanza wanapewa nondo kadha na kadha...
1. Mwanamke anapokasirika, zaidi ya nusu ya mambo anayoongea anakuwa hajamaanisha.

2. Wakati mgumu kabisa kwa mwanamke ni pale anapokuwa mbali na mwanaume anayempenda kwa dhati au...
Leo ni thursday (alhamisi) sio mbaya kukumbushia kidogo mambo kadhaa, tbt throwbak thursaday.
2011 nilikuwa nimemaliza form six nikiwa na miaka 20,
Mitihani tumemaliza mwezi wa pili, vyuo...
Unasikia mwanaume anasema Mbona mama Fulani au mke wa fulani, ikifika jioni anapendeza? Hayo ni Maneno ya wanaume Wengi kwa wake zao.
Vichekesho Kweli* : unatarajia kuvuna wakati hujapanda...
Habari wadau. Kuna mtu wangu wa karibu amenifuata akitaka ushauri juu ya mahusiano yake. Anajiuliza kama anaweza kumuacha mpenzi wake au aendelee nae.
Anasema alikutana na huyu binti miaka miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.