Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Asikwambie mtu, Hii kitu inavutia aisee Walevi wa hii kitu tukutane
15 Reactions
86 Replies
11K Views
Unapompatia namba yako ya simu, yeye ndio anakuwa wa kwanza kukutafuta, iwe kwa meseji au kwa kukupigia. Lakini wengi sisi huwa tunakosea, unakuta wewe ndio uliyempatia namba yako ya simu na...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Wasalaam JF, Kuna binti nimetokea kuwa naye kwenye uhusiano miaka miwili sasa. Nampenda jinsi alivyotulia mpole , mstaarabu ,mcha Mungu na asivyo na tamaa hana makuu. Tatizo Academic exposure...
5 Reactions
137 Replies
8K Views
Baby mama culture a threat to marriage institution? SUNDAY OCTOBER 24 2021 Social media and appealing internet phots such as these “mommy-and-me” photos tend to glamourise the baby mama trend...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndoa ni nadhiri au maagano mnaojiapiza mbele ya Mungu yaani kwamba mume na mke mtavumiliana kwenye raha na shida. Katika karne hizi vijana mnafunga ndoa kama sanaa za maonesho tu baada ya hapo ni...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu. Mama Agness...
25 Reactions
120 Replies
14K Views
1. Mtoto mtulivu, mkarimu Huyu ni mtoto anayewaamini wazazi na watu wanaomzunguka. Utulivu wake unasababishwa na kujiona yu katika mazingira salama na hivyo hana wasiwasi. Kutokuwa na wasiwasi...
11 Reactions
19 Replies
5K Views
Hivi kwanini wanaume hua mnasema mwanamke ni kiumbe dhaifu? Japo biblical sijaona andiko linalosema wanawake ni kiumbe dhaifu?!!
2 Reactions
104 Replies
7K Views
Siku za leo neno kuachana kwenye ndoa kimekuwa kitu cha kawaida sana na isitoshe mpaka baadhi ya watumishi wa Mungu kuhalalisha kabisa na kuruhusu hili swala. Kwa kwale linaniumiza moyo sana...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuna Safari ngumu katika maisha kama Safari ya mahusiano maana kuna kipindi kipindi mahusiano yako na mpenzi wako yanakuwa ya furaha kuna kipindi mahusiano hayukupi furaha...... Lakini pia...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
.
16 Reactions
268 Replies
11K Views
Wakuu habari, Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe? Ni hivi, kijana hana uwezo...
8 Reactions
137 Replies
10K Views
Hapa mtaani kuna madoni kama watatu. Baada ya kujaribu kupata cv zao na wake zao nilishangaa sana. Doni wa kwanza alipata mke kwenye danguro na mpaka leo wapo pamoja. Doni wa pili alipata mke...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!! Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!! Na...
33 Reactions
264 Replies
20K Views
Habari zenu wakuu. Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao. Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake...
14 Reactions
80 Replies
8K Views
Nikiwa katika pitapita zangu, nilimuona mtoto Mmoja mrembo Sana akiwa ameket kibarazani(Kama mita 500 kutoka ninapoishi) Nilishangaa kuona navutiwa naye Sana kiasi cha kutotaka atoke machoni...
10 Reactions
148 Replies
23K Views
Kwema wakuu? Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje...
12 Reactions
87 Replies
7K Views
Video ya Ngono ya Walimu Uingereza Yawaletea Balaa Walimu wawili nchini Uingereza wako kwenye hatari ya kupoteza kazi zao baada ya video yao waliyoitengeneza wakati wakiepeana uroda nyumbani kwao...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Maisha ya mtanzania wa kawaida yamekua na mzunguko unaoelekeana sana. Anazaliwa, anakua, anasoma, anapata kazi/biashara, anaoa (anaanza kulalamika majukumu mengi ya familia, anahangaika na kipato...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna watu wanapitia mateso mpk anasachi hivi Google..🤣
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom