Sinaga complication sana na mahusiano yangu, mi nikidate na mtu huwa simfatilii kuanzia kwenye simu zake mpaka movement zake za mtaani,
Mi ninachoangalia kikubwa ni nidhamu na uhakika wa kupewa...
Wakuu
Mapenzi mi siyaelewi kabisa, yananitia tu katika stress, nilipokua single nilikua fresh kabisa nilipoingia kwenye uhusiano
Ni stress tupu mawazo chungu nzima
Wivu, hila yani mapenzi...
Wataalamu wa #Malezi wanatuambia ni muhimu kuwapa watoto elimu ya afya ya uzazi ili kuwaepusha na madhara kama kujihusisha na kujamiiana wangali wadogo, mimba za utotoni, ndoa za utotoni na kupata...
Wakuu habarini za saa hizy??
Ndugu zangu naandika uzi huu nikiwa nimejawa na furaha ya kuepusha kuvunjika kwa mahusiano yangu.
Jana usiku nikiwa na mpenzi wangu getoni kwangu, kwenye muda wa...
Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri. Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa. Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na...
Habari Wana JF,
Natumaini wote ni wazima wa afya, na kama si wote basi kwa wale ambao afya zenu hazipo poa basi MUNGU akawafanyie heri.
Lengo la huu uzi ni kutaka kupata experience ya how to...
Hizi ni roho ambazo shetani amekua akipandikiza kwa watu wengi wa kizazi cha leo kwa nia ya uharibifu. Spirit of man mwanaume kuvutiwa kimapenzi na mwanaume mwenzie vivyo hivyo kwa upande wa...
Salaam wanajukwa,
Ijumaaa hiyo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe...
Kwanza kabisa kabla hata ya kujadili Co-parenting....tuangalie nini hupelekea wazazi kutoweza kulea mtoto wao kwa pamoja in the same household.
Jibu ni......SEPARATION!
For many, separation is...
Vitanda vya zege vinaimarisha ndoa, hata kama umepanga havisumbui majirani hata watoto wanakuwa hawaelewi kinachoendelea. Mnavyojua mahaba ili yaende vizuri yanahitaji utulivu, kwa hiyo nawashauri...
Habari zenu jamani, leo sina gazeti kubwa Sana, labda kwenye comments mikiamua nyie kuandika magazeti.
Hiki ni kitu ambacho hata Dada zangu na shangazi zangu nilitamani niwafanyie ila ndio vile...
Habari zenu humu wana jamvi.
Leo nimeamua kuweka wazi humu mambo ambayo wanawake huyafanya tinapokuwa ndani ya mahusiano ya kimapenzi ambayo kimsingi huwa yanachangia pakubwa sana kwa mimi kuamua...
Je nikijichanganya mitaa ipi hapa nitakuwa na nafasi kubwa kukutana na wazungu wengi na hatimaye nikaopoa mchumba ?
Nahitaji kuanza kucheza mechi za kimataifa ili niwe balozi
Msaada please
Kwa mfano una mume,na mumeo Ana kimada/michepuko,siku moja katika kufua nguo,ukapekua simu yake,,ukaja kuta Kuna sms imeandikwa na michepuko wake,hivi HIZO LAKI NANE ,MPE MKEO AKAFANYE MATUMIZI...
Hivi ulishawahi kukutana na mwanamke kwaajili ya kufanya mapenzi uume ukagoma kabisa kusimama, yani katakata?
Hii imenitokea jana sielew imekuajekuaje ni tatizo au ni nini?
Nilikua safarini...
Hii ni observation ndogo tu nimekuwa nikifanya. Si maanishi nipo sahihi wala sitaki kuamini kama nipo sahihi ila nilitaka kujua hii kasumba ni kwanini ipo hivo. Imejitokeza sana kwamba mtu mweupe...
Kwa ufupi ni kwamba nilipata bahati ya kusafiri na Kiongozi mkubwa, mtu mwenye mamlaka makubwa kwelikweli katika nchi hii awamu ya nne.
Safari hii ilikuwa katika moja ya nchi kubwa Ulaya, kama...
1. UZINZI MATAWI YA JUU, mfano munatoka Tanzania mnapanda ndege munaenda China kufanyia uzinzi, au mnafanyia uzinzi kenywe hotel za 5 stars dau linakuwa kubwa kidogo kama 400,000/= kwa siku
2...
Hivi wewe mwanamke au binti, ambaye umeolewa au upo kwenye mahusiano: [emoji116][emoji116][emoji116]
Hivi wewe ikitokea mumeo anataka kukuua na anakupiga kiasi cha kutaka kuutoa uhai wako, je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.