Wengi wanapenda kuwa na wapenzi na hatimaye kufunga ndoa; Swali, Je tarajio lako la kuoa au kuolewa lilikuwa ni kwa ajili ya kupata watoto, kupata utamu, kuondoa upweke, au kuwaridhisha watu...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo... Kichwa cha habari chajieleza hapo juu...
Kumezuka mtindo wa akina dada kujiuza kwa style tofauti huku wengine wakiwa ni wanaume wakijipatia nafasi hiyo...
Mimi DJ. DON NALIMISON Ni Mwanamuziki hivyo lazima nioe Mwanamuziki. Mimi Ni producer wa Muziki hivyo lazima nioe producer ili mipango yangu ikae sawa. Mke wa kufanana naye katika makubaliano...
Hakuna aliyefikia hatua ya kuitwa mkuu bila kuwa na sifa zinazofaa mbele yake anayetakiwa kumfanya mwingine kuwa mkuu. Kila ukuu kwenye maisha yako hujalisha mahusiano na watu wale wanaokuzunguka...
Je, ni ni pale unapo mnunulia mpenzi wako zawadi na kumtimizia mahitaji yake kwa wakati? Au ni pale anapopatwa na matatizo na mpenzi wako akawa nawe bega kwa bega
Nauliza hili nikiwa na mifano...
Nimeona nishare hii story ......ilikuwa mwaka 2019 enzo hizo nakaa Tabata Kimanga KWA dada yangu . Kuna siku niliingia whatsapp nikakutana na msg ambayo namba ilianzia na +1____ , ilikuwa inasema...
Habarini Wadau wa MMU, suala la malezi ni changamoto sikuzote,kulea watoto halijawahi kuwa rahisi hata mara moja
tena wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,kwamba utu au tabia za mtoto wako ni...
Habari za wikiendi wapendwa. Kuna jambo lilishawahi kunikuta linanitengenezea maswali mengi kichwani yasiokua na majibu sahihi.
Nilishawahi kua kwenye mahusiano na mwanamke fulani kama mnavyojua...
Mm ni mwajiriwa hospitali moja hapa Jijini Dar es Salaam. Ni mwaka wangu wa pili kazini na ni mzoefu katika kazi za kuhudumia hadi saa nyingine huwa boss ananiambia nibaki kuhudumia wagonjwa then...
Salaam wanajamvi la JF.
Ukienda kwenye vituo vya elimu za watoto wadogo, awali, msingi na kuendelea ukapata wasaa wa kuzungumza na watoto au walimu utapata kufahamu kuwa watoto ambao wanaishi au...
Hapa tu wadau wengi wenye kutupa mirejesho,uzi,visa na mikasa,matukio na n.k
Ambao wapo kwenye mahusiano, ndoa, wapenzi na wengine ambao bado mishale ya inasoma au wapo wapo tu!
Suala linakuja...
Wapenzi wangu wote niliowahi kuwa nao waliniambia hii kauli kuwa Wana marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake wenzao Sasa sijaelewa huwa wanajihami Ili siku ukikuta Wana mazoea na wanaume ujue...
Unajisikiaje unapoona kuna msichana anasoma chuo na wewe, anashindia mlo mmoja kwa siku?
Unajisikiaje kuona msichana aliye chuo anavaa hovyo kwa kukosa pesa wakati anapenda kupendeza?
Naumia...
Hili ni swali kwenu wanaume; Ni kwann huwa mnapenda kushika kwenye dushe lenu Mara kwa Mara hata mbele za watu?
Huwa hamuoni aibu?
Hii hufanywa na wanaume walio wengi
Naomba nipatiwe majibu please.
Sijui huyu ni demu wa aina gani? Ipo hivi; one day usiku ilinitafuta namba ngeni kwa sms(ilinitext Mambo), sikutaka kuchelewa nikapiga, najua wanangu wa halotel mnajua wingi wa dakika za halotel...
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, hakuna upendo wa kweli Afrika, wanawake wanaolewa kwa shida na njaa za familia zao.
Wanawake wanaolewa ilo kujishikiza, wanaficha tabia zao mbovu na...
1. Kutokiri makosa
2. Kutoa hewa chafu hadharani
3. Kumuangalia mwananke mwingine
4. Kukoroma usingizini
5. Kukataa kufanya kazi zaid ya moja
6. Kutomfanyia vitu vya kumshangaza
7.Kutomsikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.