Ukiwa single kwa mwanaume ni rahisi kupata mwanamke wa kupunguzia haja zako pale unapohitaji kwa gharama nafuu. Ila ukiwa umeoa hapo ndipo changamoto ilipo 'escort' ndio itakuwa chimbo lako; kwa...
Hello,
Hivi hii ya kufanyia mila vitovu na nywele za uchanga za mtoto ni kila kabila? Na kwa makabila yanayofanya hivo usipofanya hivo na ukavitupa au kuflash chooni nini hutokea?
Lets share kwa...
Umefika 30+ hajaoa lakini nyumba yako inapendeza. Unapenda sana umaridadi hata dining table yako ni ya kioo na sofa za leather. Jumamosi asubuhi unapolish meza na unasafisha nyumba ndiyo...
Kumsikiliza mtoto kunaaminika kuwa ndio ngao muhimu zaidi ya kumlinda mtoto. Wataalamu wa malezi wanatuambia kuwa mtoto anayesikilizwa huwa jasiri na muwazi kwa mzazi au mlezi kwa yote...
Nilikuwa namsikiliza mwana saikolojia alphaxad joel kupitia yotube channel yake
Katika mafundisho yake anasema mahusiano yana nafasi kubwa ya kujenga na kubomoa maisha yako
Hivyo kila baada ya...
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.
Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya...
The secret behind this song is that it's Big.. Biiig!
Wimbo huu nilimsikilizisha my girl back in 2006. Hakuwa shabiki wa muziki kihivyyo, kama mnavyokumbuka miaka hiyo.
Niliandika hizo lyrics...
Dah! Hili suala huwa linanipa shida sana.
Napataga marafiki wengi wa kike ambao kwa namna moja au nyingine huonesha dalili za kunipenda niwe mtu wao sema shida inakuja pale wakianza kuongea na...
Kiukweli the so called "mimba za bahati mbaya" ni janga....
Ndio sababu kuu ya mabinti kutoa mimba hovyo, wanaume & wanawake kulazimishwa/lazimika ku-commit kwa watu ambao hawakua na nia nao...
1. HAKIKISHA UNAFAHAMU HASIRA ZAKE ZIKOJE
Kila mtu huwa anakasirika hivyo ili uweze kuishi na mpenzi wako vizuri Unatakiwa ujue hasira yake ikoje? Je! Huwa anakasirika haraka au anachelewa...
Ndio dunia!
Ukiwa na pesa ni matatizo, ukiwa maskini ndio kabisa, ukiwa hivi yani kila kona ni matatizo.
Sasa hawa wamezeeka hata mapenzi kwao kusema wakachepuka wanachepuka vipi.
Huyu dada nilikutana naye Hotel Moja ya Kimataifa katikati ya Jiji la Dar, nikamtokea. akanikatalia kuwa si sahihi maadili ya kazi hayamruhusu nlimwambia pale tumeonana tu mazoezi mengine...
Eeh bhana maisha bado yana safar ndefu..tunaendelea kuishi na kitu pekee napenda maishani ni ubunifu wa jinsi ya kuishi vizur na kwa furaha na binadamu.
Before 2018 nilikua mtu wa kukutana na...
Kumekuwa na tabia ya kubaguana katika kutafuta wapenzi; wapo wanaosema wanataka wapenzi wao mara wawe weusi, weupe, warefu, wanene, wenye chura, macho goroli, kiuno nyugwi, aliyejazia kifua n.k...
Huyu shemeji yenu anahangaika sana na dunia. Kuna sehemu aliacha kazi toka January, sasa kapata kazi nyingine mahala pengine tofauti.
Nimemwambia sawa hiyo kazi ni nzuri ila nakuambia haya...
Habarini wana JF natumai muu wazima
Kilichonifanya niwe hapa ni speed yangu katika mahusiano nimekua mtuu wakuharakisha mambo sana.
Mfano naweza muomba mwanamke namba alafu halijapita lisaa...
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.
Leo siku ya kumbukizi ya kifo cha Baba WA Taifa Mwl JK Nyerere. Sina cha kusema Ila Mungu Amuweke anapostahili. Kila mtu atavuna...
Jaman eeeh! Naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitibu au kuna namna naweza tumia kuifanya mashine iwe kubwa
Nimekuwa nikikosa radha ya mapenzi kwa kuwa na kibamia yaani nikiwazamisha inakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.