Habari za muda huu GUYS...
Niende moja kwa moja kwenye mada,nipo kwenye uhusiano miaka minne sasa...Nina miaka 23 na mtu wangu ana miaka 20..nampenda &ananipenda sana(tunapendana).
Kwa mara ya...
Habari wana JF.
Kama title inavyosema ni kabinti kangu yaani katoto kangu ka kike kenye umri wa miaka 9.5 sasa.
Majuzi nimekaa nako kwenye gari nikisubiri bidhaa nilizoagiza huku nataniana naye...
Hii mambo ya vijana kuchukuana na kuanza maisha bila kutushirikisha wazazi imekaaje?
Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu?
Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila...
Pamoja na wazazi wengi kuwasajili watoto wao shule za mbali na wanakoishi ili sababu ya ubora wa hizo shule ukweli ni kwamba wamekua wakiwatesa sana watoto wao.
Fikiria mtoto wa Dar es salaam...
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana.
Leo naendelea na muha taeleza siku naondoka rasmi na kuachana Naye.
Nakumbuka nyakati hizo Yule mwanamke alizidi kunipanda kichwani...
Wakuu
Mtu anayetembea na mke Wa mtu kimapenzi kwa kufahamu kabisa. Huyo mtu Mimi namuonaga kama takataka tu tena mpumbavu.
Hana tofauti na mbwa, Malaya mkubwa
Kwanza kabisa!
Heshima kwenu watumiaji wa pampuchi za Bei Nafuu pamoja na wale wote walio kwenye mahusiano..
Sitaki kuwachosha Sana.. Yafutatayo ni Mambo yalionifanya Nichukie kwa dhati ununuzi...
Kitendo cha kushindwa kutambua kwamba uliye naye hakupendi ni tatizo kubwa sana.
Unapokosa utashi wa kujua unapoteza muda kwa huyo uliye naye ni kutaka kuwa mtumwa wake.
Upendo umepungua sana...
Katika kitabu cha John Maxwell kiitwacho Thinking for Change kuna point alizungumzia kuhusu mahusiano ya mwanamke na mwanaume kama hawashiriki tendo la ndoa au sex hapo hakuna TRUE LOVE zaidi ya...
Habari zenu wana jf Uzi wangu wa kwanza huu nitililike kwenye mada.
Kijana mwenzenu naelekea kutwaa jiko ivi karibuni ivo nlitaka kufahamu ni aina gani ya mke ni sahii kuishi nae maisha ya ndoa...
Blessed is he who expects nothing, for he shall never be disappointed
Mara nyingi maumivu au depression inawafika wengi wenye matarijio makubwa, (hata kwenye urafiki na mahusiano).
Kwanini...
Dondoo za kuzingatia katika mjadala:-
1. Ndoa nyingi zimeacha kufanyika baraka kwa ndugu (Charity that does not begin at home).
2. Ndugu za mwanamke akiishi katika ndoa anatoboa kimaisha kuliko...
Wadau imenitokea nipo katika mahusiano na mwanamke mmoja tuna miezi miwili na mipango kadhaa tatizo lake hataki kunitumia picha zake Whatsapp wala kupiga picha na mimi anadai hana muda wa kupiga...
Napitia Uzi kibao na comment mbalimbali nikiona wanaume wanawakashifu masingle mother wakati wimbi Ili la masingle Maza wamesababisha wao Kwa kukwepa na kukimbia majukumu Yao. Wimbi kubwa la...
Aisee! Mnaoishi na wanawake mnawezaje! Hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9, hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years, hana fujo zozote ila...
Wakuu duniani hapa kuna mambo, acheni tu.
Mimi ni mtu wa kazkazini, mkoa unasifika kwa kutoa makamanda wengi wa jeshi. Katika haya maisha nilimpenda mtoto moja wa kigoma hawa waha.tulishindana...
Nyie mwenzenu mapenzi yananitesa sana nikisema niyaache niwe single nafall tena kama kuna mshauri anisaidie ntakufa ety[emoji24]
Iko hivi yani sijawahi kubahatika na mahusiano toka nianze kuyajua...
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.
Moja Kwa moja kwenye mada. Nilipohitimu chuo niliamua kuanza maisha ya kujitegemea rasmi yaani mi nilihama nyumbani kabla sjaenda kupanga...
Wakuu nilipata kuzaa na mdada mmoja miaka kama mitatu hivi imepita. Kiukweli nimekuwa na mahusiano mema tu na mwanamke huyu kwa muda wote japo mie nimekuwa mtu wa harakati za hapa na pale na...
“Dereve taratibu bana usije ukatuua, mi sina mtoto hata mmoja” Msemo kama huu husikika sana katika jamii yetu watu wakimaanisha ni kama mkosi kufariki kabla hujaacha mtoto. Imefikia watu kuona ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.