Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka...
Wakuu, habarini za wakati huu na poleni na mabadiliko ya tozo za miamala ya kifedha kwa njia ya mitandao ya simu.
Kuna nyakati kweli tunafanya mizaha lakini hapa nawashirikisha jambo hili 'on a...
Wakuu nimekaa na wakurya sehemu mbalimbali, hawa watu wamenivutia kwa confidence waliyonayo.
Sio waongeaji lakini wanajiamini sana wanapofanya jambo.
Hawa jamaa kila nilipokuwa nao karibu...
Heshima kwenu ma great thinkers, nliwahi kuleta uzi hapa wa mpenzi wangu niliyempenda kupitiliza, nimeutafuta niuunge hapa sijauona. Nlienda naye hadi nje ya nchi ili kumweka sawa tusiachane ila...
Hope mko poa,
Nyie wanaume wa humu naombeni jibu.
Hivi pale inapotokea unamchumba wako ambae soon mnafunga ndoa alafu ukachit inakua;
a) Tamaa
b) Tabia yako
c) Nature kama mnavyodai
d) Mchumba...
Nimezaliwa katika familia ya kawaida tu iliyokidhi mahitaji ya msing mwaka 1988. Baba yangu alikuwa mwalimu ila baadaye akaacha bila kutoa sababu za msingi. Sababu yake kubwa ninapomuuliza ni...
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA mbinguni hakuna laana tena.
Leo napumzka na visa vya muha nawaletea kisa huko cha dogo na mchepuko wake.
Nina dogo langu mmoja ni Mzee WA PGO ( police ) dogo...
Kama una mpenzi mpya wa kike alafu kabla hamjazoeana sana ukaruhusu akupikie unaumia. Hapo ndipo atakapo kumaliza kwa madawa ya mitishamba.
Mademu wa kibongo wanaamini sana mitishamba.
Ndio...
Hello watanzania wenzangu!
Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.
Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi...
Kusema ukweli zero nimekufa nimeoza kwako wewe mrembo wa jf mwenye Avator ya miguu,miguu iliyonona kabisa natamani sana nishare nawe one knight stand,
Angalau siku moja tu, maana kwa miguu yako...
Kuanzia mwaka 1994,nilipokuwa darasa la nne, hadi mwaka 2000 nilipokuwa kidato cha tatu, nilikuwa nafuga njiwa. Nilifanikiwa kuwa na njiwa takribani 2000. Kilichofanya nisiendelee kufuga ni...
Wakuu habar zenu!
Nina bint tuko mahusiano mwaka wa 6 huu,,mwanzo nilimuona kawaida japo ukweli mzur kuanzia sura ,tabia,heshima na ukweli anajielewwa sana!mtafutaji haswa mtu wa kufanya...
Naanza kuwasalimu kwa utukufu wa Mungu wa mbingunanchi.
Nimeona post kadhaa zikitumia morning glory kama ni tendo la kujamiiana la alfajiri.
Jamani mimi nadhani tutafute neno jingine kwa hiyo...
Habari wana MMU!
Eeh bwana uaminifu umekuwa wa kusaka kwa manati hasa kwa vijana walioko kwenye uhusiano wa kimapenzi na hii imekuwa ikichangiwa na simu za mkononi kama chombo cha mawasiliano...
Wakuu imekaaje hiii!!!!Kweli mzazi wa kiume ukague simu ya binti yako kweli??University student, umri zaidi ya miaka 20. Mzee unakagua simu yake ili ugundue nini????
Haya ghafla hii hapo...
Hello Guys,
I have a hard time making friends. I am not really shy or anything but it's really hard to me to stay in touch with people. It's like I quickly become bored with them. Na sio kwamba I...
Ulysses umri 94 na Lorraine Dawson mwenye miaka 92 wote wa huko west Virginia wanasema ndoa yao hiyo ya miaka 75 ilikuwa na furaha na changamoto nyingi, wakati wanasherehekea anniversary hio mume...
Ukirejea katika Uzi huu > Nahisi mke wangu anani-cheat, nifanye nini kumkamata?
Ambao ni Uzi nilieleza jinsi mke wangu alipoanza kunicheat, Leo ni week ya 4 Sasa, Nimekuja na Muendelezo wa...
Habari zenu wanajamvi...nashindwa kumuelewa huyu mpenz wangu ni yule mtu ambaye ikitokea mmekorofishana atakuongelea maneno machafu sana yan hauamin kama yametoka katk kinywa chake,ivi karibuni...
Wakuu salama !
Ipo hivi, nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.