Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hello, I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread? I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married...
66 Reactions
1K Replies
56K Views
Habari wakuu. Mimi nachukulia kitendo cha kuingia chumvini kama kujitoa mhanga, unahitaji ujasiri wa juu sana kujitoa mhanga, kutembea na bomu mfukoni au kujifunga suicide belt. Wanaume wenzangu...
28 Reactions
204 Replies
31K Views
Hello, it's me again Ndugu zangu kuna jambo naliona sana huku duniani kuhusu mahusiano ya kimapenzi wa ke/me tunaojihisi tunawapenda sana! Mahusiano mengi sikuhizi hayana mvuto/hayafiki mbali...
14 Reactions
23 Replies
3K Views
Hodi wakuu! Napenda kushukuru kwa mchango wenu wa mawazo yenu kwa kunishauri kwa upendo na wengine kuwa na hasira ila kifupi nimesaidika sana Mungu awe nanyi wapendwa ila tafadhari Sana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa wakati wa hii wkend ndefu nilisoma bible kidogo nimekutana na ule mstari unaosema enyi waume ishini na wake zenu kwa akili maana yake nini na akili inakaa wapi ?maana kuna mstari nyingine...
2 Reactions
29 Replies
12K Views
Wakuu wasalaaam. Basi Mzee baba katika mishe za kuzisaka nlitua Uganda kikazi. Kazi niliifanyia pale Entebe kwenye hiteli moja ya kibabe sana. Ila pale sasa kuna upuuzi niliufanya siwezi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hivi ni kitu gani nyinyi wanawake mnapenda kwa mwanaume ukiachana na pesa
7 Reactions
280 Replies
13K Views
Hope mpo poa kabisa, Nakumbana na changamoto sana katika kumpata mwanamke wa kuoa ili tutengeneze familia kutokana na fikra mbovu upande wa jinsia b. Nilijaribu kutafuta ushauri kwa watu wa...
1 Reactions
88 Replies
6K Views
I hope mko poa, Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye kuzoeana na mtu inanipaga wakati mgumu japo nikikuzoea nakuwa loyal sana kwenye urafiki wetu na nitajitoa sana Wakati naanza chuo mwaka wa kwanza...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna demu nimemtongoza akakubali fresh sasa hivi niko kwenye mahusiano naye mwezi wa Tatu huu lakini kwa kipindi chote hicho hataki kunipa mbususu anadai yeye ni BK na hiyo BK yake ni kwa ajili ya...
8 Reactions
139 Replies
16K Views
Habari..! Hivi ndivyo maisha yangu ya kila siku nani mwingine anaishi kama mimi..? I real just living a life.! I ain't dating, I ain't being a hoe, I don't like nobody and nobody like me! Nobody...
64 Reactions
471 Replies
39K Views
Maisha yanasonga kila kitu mahala pake, Angalia events yoyote iwe send off, harusi au engagement , kipaimara, Msiba wanaume wanafucus kuhakikisha protocols zote muhimu zinafuatwa mpaka utimilifu...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Nipo njiani naelekea tabata baracuda ambapo familia ya binti inaishi nipo na mshenga wangu kuna binti tunaenda kwao kupeleka barua ya posa hiyo familia wenyewe Ni wasukuma
2 Reactions
18 Replies
868 Views
Hii topic hii! kwenye civics ipo Kwenye history ipo Kwenye geography ipo Kwenye kiswahili ipo Kwenye mathematics ipo Kwenye General studies wimbo ni ule ule Kila mtihani swali la woman...
1 Reactions
2 Replies
812 Views
Wakuu pole na majukumu,, Nimebahatika kutembelea na kuishi mikoa nane ya Tanzania bara adi Sasa. Nimefanya utafiti mdogo sana na kugundua maeneo "KOROFI" Maeneo hayo yamekuwa yakitumika sehem...
0 Reactions
7 Replies
844 Views
Habari za j2. Wiki 2 zilizopita nilikuwa kisiwa cha mafia, katika refreshment ofisin. Nikamuaga mama yenu mdogo kuwa naenda huko kwa muda wa hizo wiki mbili. Ni kurudi salama kabisa. Sasa siku...
0 Reactions
5 Replies
884 Views
Natumaini mnaendelea vizuri. Nikiri msiba unauma jamani. Yaani maumivu niliyonayo nashindwa namna ya kuyaelezea[emoji24]. Nimempoteza mzazi wangu wakati ambao bado nilikuwa namuhitaji ,umri wangu...
67 Reactions
210 Replies
11K Views
[emoji117]Maisha ya hostel, [emoji117]Wanawake tofauti, [emoji117]Narudi mtaani, [emoji117]Napata wengne, [emoji117]Nawapa mimba, [emoji117]Nakushauri utoe nawewe unatoa, [emoji117]Wakati...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Wewe kama mwanamme au mwanamke, najua unahitaji sana kulitunza penzi lako na kufanya lidumu milele kama wenyewe mnavyosema. Lakini wacha nikwambie kutunza penzi si ghalama kama watu wengi...
13 Reactions
192 Replies
38K Views
Back
Top Bottom