Wakuu kuna uhusiano gani, kati ya wenye nyumba ndogo kuwa na msongamano wa watu, na wenye nyumba kubwa kuwa na msongamano mdogo wa watu?
Unakuta nyumba kubwa ipo kwenye ekari moja, lakini...
Mkulungwa nimerudi tena, mpaka leo bado nipo tu home wife aliniombea ruhusa ya week 2, korodani zangu bado zinauma mno, yaani hata kuoga peke yangu siwezi.
Wife amekuwa akiniogesha hizi siku...
Jamani napenda mbegu za kiarusha
Mimi ni mtu wa Morogoro (Mluguru)short and beatiful. Young girl 23 years. Nipeni mbinu za kuwa na Muarusha au Moshi Boys ambaye ni Muislam wapo maeneo gani?
Nakubali mwili una mahitaji yake lakini akili pia ina mahitaji yake.
Mahitaji ya mwili most of the time huizidia akili na akili nayo kukubali kutawaliwa na mwili, hii ni kwa wengi wetu kama siyo...
Wakuu mko poa?Jumatatu inaendaje mimi niko poa sikwenda job leo maana nimeamka na hangover ya pombe kinoma noma jana nilikua nasakata rumba si unajua ujana maji ya moto? Ngoja nirukie kwenye sub...
Na hii imetokea kwa vijana wengi, wakiwa mikoani kelele ni nyingi sana mara watakwambia ukija mjini tutafutane angalau tubadilishe mawazo, mazingira, na tupeane fursa.
Sasa ukifika mjini...
Wakuu Salaam;
Kila mmoja hupitia mambo kadhaa katika mahusiano na mojawapo ni hili la mahusiano kuvunjika kwasababu mbalimbali.
Binafsi Mpenzi wangu wa kwanza tuliachana kwasababu kadhaa baada...
Ubaya wa kitu upo katika macho ya mtu aliyeona ubaya huo.
Na uzuri wa kitu pia upo katika macho ya mtu aliyeona uzuri huo.
Kitendo cha kushindwa kutambua kwamba kila mtu yuko hapo alipo...
[emoji116][emoji116][emoji116]
Mdada wa kuoa, anatakiwa kuwa mshamba kiana......
Sio mdada anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,zarumendra...._
huna hata cha kumdanganya?...._
Inatakiwa...
Poleni na majukumu katika kuanzisha mahusiano na mwanamke yeyote yule awali kabla hata ya mgegedo lazima tukwazane na Mara nyingi vitu vya kipuuzi tu mfano ananiambia Malakipesa njoo,nikimwambia...
Kwakweli nawachukia Sana wanawake wapiga mizinga Yani unamtongoza Sasa hivi baada ya dk moja anaaanza kuomba hela ya kula au Kama Ana mtoto (singo maza) itaanza kusikia kesho nampeleka mtoto...
Wasaalam waungwana!
Kama kichwa cha habari kinavyo gieleza.
Nataka kujua madhara ya kisaikolajia,yatakayao mpata kijana ambaye atafanya mapenzi na wanawake wengi,especial kwa wale ambao hawajaoa...
CHANZO CHA UVUNJIFU WA NDOA NA MUARUBAINI WAKE.
Katika mambo yanayowadumbua watafiti mpaka leo hii ni suala la kuvunjika kwa ndoa makundi kwa makundi.
Kipindi Cha nyuma enzi za mababu zetu...
Wadada wengi mnapokuwa katika mahusiano huwa wanapenda ku insist upeleke barua kwao au uchumbie
Hivyo ningependa kufahamu hivi lengo kuu la kuandika barua ya posa na kuchumbia huwa ni nini haswaa...
Akiwa anatuma meseji badala ya kuandika "sasa" ataandika "xaxa"..., au anataka kuandika "sweet" lakini ataandika "cwry"..., au badala ya kuandika "so much" ataandika "xo much"
Masela wenye tabia...
Nawasalimu Asalam aleykum!
Kwakweli inasikitisha sana tasnia ya kutongoza imeharibiwa vibaya mno!
Vijana wa Sasa utongozaji wao ni wa mwendokasi, yaani ni blah blah tu
Maneno machache, "I love...
Katika mahusiano kuna watu huwa wanafikia hatua
1.tiyali wameshatoa mahali
2.tiyali wameshatambulisha kwa wazee
3.tiyali wameshatoa posa
Alafu linabakia swala la kufunga ndoa dakika ya...
Habari wana JF
Husika na kichwa cha habari hapo juu,, ningependa nieleze japo kwa uchache juu ya historia ya maisha yangu, familia yangu pamoja na hali inayoendelea hv sasa.
Mimi in kijana, umri...
Habari za muda jamani
Haraka haraka bila kupoteza muda twende kwenye mada ,Kuna haka katabia flani binafsi Kana niboa Sana watu kuhusisha moja kwa moja sababu ya mwanamke kucheat ni kutopata...
Nawasalimu wana Jamvi!
Hivi karibuni miaka kama 5/6 nyuma kumetokea wimbi kubwa la wanawake kutafuta wanaume wa kuwaoa. Ukipita kila mahali kwenye social media unaweza shuhudia hilo. Na kwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.