Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mambo vipi wanaJF Naombeni ushauri wenu kama unalo lolote la kunishauri!! Nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 7 sasa na nampenda sana tena sana tu!Jambo linalonifanya niombe ushauri ni...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wamekuwa ni watu wenye visirani na ugomvi kila iitwapo leo-usiku, hasa hasa mwanamke, amekuwa ni mtu wa kwanza kumsema mumewe kwa majirani hasa kwenye vikao vya hisa na vyama! Naomba tu kufahamu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kufanya sex wakat wa kuoga raha sana. Raha yake inaeza kuwa mara 100 ya sex zinazofanyika sehemu nyingine. Ukifanya sex wakat wakuoga especially kwenye bathtub unaweza ukahisi upo dunia nyingine...
6 Reactions
66 Replies
13K Views
Habari wakuu. Niko na mikasa mingi ambayo inanichanganya kichwa. Mnamo mwaka 2015 ilitokezea siku moja Mke wangu wakati wa mechi ghafla alibadilika alinipa shooo ya ajabu ambayo sikuipata toka...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Kwa wanao pitia hali ya kukosa amani ilio au inayo sababishwa wa wapenzi wao wake zao waume zao. Ikiwa hujakutana na hali ya kukosa amani moyoni inayo sababishwa na mwenza wako basi shukuru MUNGU...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Binafsi mie ninapenda sana wanawake nmekuwa nikionga kila wakati kusudi nifikie lengo la kukutana nao kingono Natumia hela nying sana kwenye kuchukua lodge au hotel Wakati mwingine nimekuwa...
8 Reactions
60 Replies
4K Views
Habari wana JamiiForum, Poleni na hongereni kwa majukumu. Mungu azidi kuwabariki katika utafutaji wenu mpate kile mnachokitafuta. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu, naombeni ushiriki wenu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika hali ya kawaida inaonekana ni vigumu girl kuomba mapigo toka kwa kijana barobaro, lakini hutokea kwa trick flani hivi. Mfano mimi nakumbuka nilikuwaga na mahusiano na mdada mmoja...
17 Reactions
123 Replies
32K Views
Mimi ni kijana amabaye sijaoa mpka sasahivi ninakaribia 28+ lakini vijana wenzangu katika rika hili wameshao. Kilichonifanya niseme wanawake wana baraka ni maendeleo ya vijana wenzangu walioyapata...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, leo hali ya hewa hapa DSM imekaa murua kiasi, kale ka joto ka chini chini hakaleti tabu sana. Nadhani sababu ya mvua iliyo nyesha juzi kati. Aisee!!, Jana mapema tu huyu Dada...
9 Reactions
98 Replies
9K Views
Wanapost elimu bandia kwenye mitandao ya kijamii; kujifanya wanawashauri Wanawake wenzao kuwaheshimu na kuwavumilia wanaume/ waume zao. Wanaweza kuwasilisha kwa njia ya maandishi au video fupi...
13 Reactions
28 Replies
3K Views
Simu ni moja ya kifaa cha msingi katika maisha yetu ya kila siku, ndiyo inatuunganisha kirahisi pale tunapokuwa hatupo katika uwepo wa wale tunaotakiwa kuwasiliana nao. Zaidi ya kuweza kuendesha...
33 Reactions
66 Replies
13K Views
ILANI: Huu ni mwendelezo na sehemu ya pili ya makala za Simu za mikononi katika Mahusiano ikiwa sehemu ya pili. Unaweza kusoma sehemu ya kwanza hapa...
13 Reactions
52 Replies
16K Views
Kwanza kabisa tambua watu waliopo mitandaoni ndio hao hao mnaokutana mitaani, vyuoni, kwenye nyumba za ibada, maeneo ya starehe, kazini, ufukweni. Lakini zingatia haya yafuatayo sababu maeneo yote...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana. Aisee Nina rafiki yangu zaidi ya ndugu yaani tumeshibana hasa hasa hakuna Jambo linaweza tokea la kutugombanisha tushindwe kutatua. Huyu...
8 Reactions
59 Replies
7K Views
Mwaka jana tulikuwa kikazi mkoa flani katikati ya pori. Mimi na wenzangu kadhaa. Tulikuwa tumeenda na tents na vyakula, maji na mahitaji yote muhimu maana tulikaa kwa muda wa week 6. Huyu dada...
33 Reactions
62 Replies
8K Views
Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wamama (hasa walioko katika ndoa) kutoka kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri hata mara tatu (3) na unakuta ameridhika na haogopi kuwa jamii...
22 Reactions
160 Replies
15K Views
Naomba ufafanuzi wadau, msilete mambo yenu ya kukosoa bila mpangilio. Uwa inachukua dakika ngapi mwanaume kuwa tayari kusex kwa awamu nyingine?
5 Reactions
127 Replies
83K Views
Happy women's day!!! Mama zangu na dada zangu wote wa jamii forum nawapenda sanaaaaaaa!!!! I love you all!!!!
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Daaah sisemi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jf bhana!
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Back
Top Bottom