Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nilikaa Juliana Pub, kadri muda ulivokuwa unaenda aisee kitu nilicho kiona ni ongezeko kubwa sana la watu ilikuwa wanaoongezeka zaid ni wanawake yan walikua wengi kuliko wanaume, nikatoka...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza. Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya...
39 Reactions
191 Replies
14K Views
Naombeni ushauri humu jamani sijui mimi ni binadamu gani katika haya mapenzi yaani mtu akionesha kunipenda na kunijali naona kero. Nimepoteza demu mzuri tu mpole aliyekuwa ananijali na kunipenda...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwa majina naitwa MFAUME A MRISHO (majina halisi),,nimezaliwa na kukulia manispaa ya Morogoro,,umri miaka 27(sio umri halisi),,nimeoa,,mke wangu ni mzaliwa wa Morogoro pia,,umri miaka 27(sio umr...
23 Reactions
56 Replies
5K Views
Ndugu WanaJF, Salamu kutoka Bonheur Travels Tanzania. Tumekuja na mjadala mwingine kwa maslahi ya umma. Tunashukuru kwa ushirikiano mkubwa tunaoupata kila tunapoleta mada mezani. Mjadala wa leo...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Unapokuwa mwaminifu utu wako huthaminiwa, na utu wako huheshimiwa sana tena sana. Watu wengi tumetaka utu wetu kuangaliwa kwa upendo lakini asiyekuwa mwaminifu hajawahi kupendwa, na hata kama...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Ni zaidi ya hekaheka! Jamaa mmoja huko mbezi beach anadaiwa kumlaghai mke wa mtu kiasi kwamba mke huyo kahama kabisa nyumbani kwake (kwa mmewe)! Mke huyo kafikia hatua yakumpeleka huyo bwana...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Je Kisheria Ni Sahihi Mwanamke Kufanyiwa Kitendo Kama hili? Je Kimaadili Ni Sahihi Mwanamke Kitendo Kama Hiki Hadharani?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za majukumu wakubwa na wadogo... Juzi katika pita pita zangu fb/messenger nikakutana na rafiki mmoja wa kike kwa bahati mbaya ama nzuri tukasalimia kidogo. Sasa bwana... Baada ya salam hata...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Salam! Haya ma-game hatari kabisa, yaani nimepiga bao 2 leo kisa tu haya ma-game, jamani tusizoee kucheza haya ma-game yanahamasisha ngono sana, hasa haya Western games balaa tupuuuu. Na hivi...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
Hii nimeishuhudia leo Mlimani city katika mgahawa mmoja maarufu wa chakula, yaani kijana na nguvu zake inakuaje anakubali kununuliwa chakula na mwanamke ili hali angeweza kutumia nguvu na akili...
10 Reactions
46 Replies
4K Views
Ikitokea mwalimu mwanamke akabeba mimba ya mwanafunzi kisheria nani mkosa na ipi hukumu yake?
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Wanawake wengi asilimia 80 ukiondoa K, hamna kitu kingine wanachoringia. Hebu fikiria wanawake kadhaa ambao umedate, wengi utakuta siku atakayokwambia kuwa K yake imeziba ndo unambwaga hapo hapo...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Inakuwaje unaishi na mwanmke kwa miaka kadhaa inakuja kutokea sintofaham na mnafika kutengana kwa muda, anaolewa baada ya miaka kadhaa anakutafta anataka kurud kwako wakati ni mke wa mtu. Haya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Hawana hapewi talaka,,, huu msemo nimeambiwa na hawala baada ya kupotezana miaka mingi sana. Akatafuta namba yangu Mnyabi akapiga akaniambiwa hawala hapewi talaka. Yaani nikagundua hakuna wivu kwa...
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Wazee wetu wenye hekima walikwishasema, heshima ni kitu cha bure. Mazoea huondoa heshima ndani ya muda mfupi sana. Nirejee kwenye mada kuu. Nasikia kwenye mitandao na mitaani kuwa, ni kawaida kwa...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Simu yake iliita kwa Bahati mbaya wakati wa ibada akiwa kanisani. Mchungaji alimfokea. Waumini walimzonga baada ya maombi ya ibada Wakati anarudi nyumbani, njia nzima mkewe aliendelea kumsema kwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu Nilikua na girlfriend wangu na nilimpenda sana aisee sasa mwezi mmoja nyuma tuligombana na alilia na kuwa myonge sana but sikujali maana alikua anatabia ya kushindana na mimi sasa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom