Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Vitu ambavyo vinaweza kumfanya mwanamke kukubali kuolewa ni hivi hapa! Umaarufu wako Hii inawakumba sana wasanii,watu maarufu au kitu fulani,biashara. Hapa bwana wimbi la wanawake watapenda...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Tulianza mahusiano vizuri tu baada ya mwezi akapata scholarship kusoma nje ya nchii baada ya mwezi mmoja, mawasiliano yakapungua kinoma, na sasa cha kushangaza ameniblock kabisa.. Nifanyeje...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Mida ya saa 20:30. Nilikua natembea zangu road, Ile naangalia mbele naona watu wawili, wanasukuma njiani, mwanamke anaelekea barabarani jamaa anamfata nyuma. Kwa speed. Yule Dada alipo fika...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kuwaasa vijana wenzangu tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI bado upo na ni hatari. Miezi 4 iliyopita nilifanya ujinga nikalala na mwanamke bila kutumia condom ama bila kumfanyia vipimo...
8 Reactions
113 Replies
8K Views
Mke na mume wanapoamka na kuswali usiku hurehemewa na Mwenyezimungu na kupataa Baraka njema katika ndoa yao. Usiamke kuswali ukamuacha mwenza wako akiwa amelala bila udhuru wowote Kila jambo...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Nina mpango baada ya miaka mitatu nione, nipo kwenye mahusiano na msichana flani hivi ambao kabila lao linasfika kwa viburi, ana umbo na ni mzuri kiasi. Picha linaanza anapenda sana kula na mm...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana JF! Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha? Mtu wangu alini-cheat nikamsamehe ame-cheat tena na sasa moyo wangu umechukia...
14 Reactions
214 Replies
15K Views
Habari wanazengo Nipo na gal tumedate since high school lakn recently nmekuja kugundua anaongea na mchizi mwingne na mchizi yupo very close na dogo.. nmejaribu kumkanya lkn naona dogo yupo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Different deceiving items worn by women to make them seem more attractive to men are described here. Listed here are 14 various kinds of fictitious things that women may use to make themselves...
0 Reactions
4 Replies
626 Views
Uzuri wa muonekano muhimu mtu asikudanganye... Tena nawashauri vijana, weka mwanamke mzuri wa mwonekano ndani. Wapo wanawake wazuri wenye akili sana tu kichwani... Ina maana gani kuwa na pesa...
20 Reactions
91 Replies
13K Views
Nawasalimu kwa jina la JMT Mimi ni miongoni mwa vijana ambao mapenzi hayajawahi kuniumiza, nimewahi kupenda sana sio kwa mtu mmoja lakini kuja kwenye swala la kuumiza kwenye mapenzi sijawahi...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Katika hali isiyoendana na maadili yetu ya Kiafrika Best angu kaja kunipa story kua mke wake alienda kumsalimia wifi yake ambaye dada wa best angu dukani kwake katika mazungumzo yao wifi akaanza...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Nimefanya kautafiti kadogo, nikagundua walimu na manesi wakike wanaolewa kwa wingi sana ukiringanisha na hizi fani zingine. Ni vigumu sana kukuta nesi au mwalimu ambaye yuko kazini kwa zaidi ya...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Ndugu wana JF, Nimekuwa nikifatilia mabandiko mengi yanayohusiana na suala la watu kufanya mapenzi binafsi (self love) au maarufu kama punyeto.Kwa ujumla mimi ni mdau na nimefanya sana punyeto...
15 Reactions
222 Replies
49K Views
Kuna muda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume. Hata ukiwa mzee, mlemavu, sura mbaya ila pesa kama ipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata. Mambo ya kutongoza...
10 Reactions
42 Replies
5K Views
Salaam! Kwangu mimi nimeshindwa kabisa, yaani msichana hata akiwa na uzuri kiasi gani, nisipompenda tu siwezi kusimamisha uume, ila nikimpenda daaah yaani kitu ngangari mwake mwake. Nirudi...
6 Reactions
93 Replies
9K Views
Unakuta kijana kula yake ni ya shida, halafu anakimbilia kuoa akitegemea maisha yanaweza kubadilika na kuwa mazuri; hii ni sawa sawa na kubahatisha. Unakuta kijana anaanza kuchakaa mapema...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Flirting with a man is difficult for most women, with the exception of a small number of them. The ideal situation would be for men to always be the ones to take the initial step. However, because...
0 Reactions
2 Replies
575 Views
Habari za muda huu, Nakuja moja Kwa Moja kwenye mada, home hapa kuna beki3 ana kama miezi 3 hivi tangu aje naona anaanza kuniletea mazoea flan hivi dah, najua bimkubwa lazima atajua nafanyaje...
6 Reactions
38 Replies
9K Views
Tuambizane basi posa/mahari huwa ni kiasi gasi kwa kabila yenu?maana suala la kuoa huwa huwezi kukwepa utaratibu wa kikabila. Mnapokea viumbe wanaohema wangapi kama mbuzi, kuku, ng'ombe, kondoo...
0 Reactions
80 Replies
22K Views
Back
Top Bottom