Hii imekaaje wakuu Kuna pisi yangu moja hivi kila baada ya kuinyadua inaomba maji ya kunywa hata Kama hapo chumbani hakuna maji atakuomba ukamtaftie maji ulete anywe ndo show iendelee round...
Habari zenu.
Ni kwamba nimekua na kawaida ya kuamka saa sita usiku na kukaa macho hadi saa kumi hadi saa kumi na moja alfajiri ndio usingizi huja tena hadi saa moja kasoro.
Imekuwa hata nikilala...
Habari wadau
Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya...
Assalamualaikum.
Katika maisha kuwa katika mahusiano ya kimapenzi, ni Jambo la kawaida kwa kila kijana, ni muda wa kumtafuta yule wa ndoto yako wa kujenga nae maisha ikiwezekana mfunge ndoa...
Habari zenu wanajamii forums,
Miezi 6 iliyo pita mahusiano yangu yalivunjika sababu ambazo zilikua juu ya uwezo wangu. Niliamua kujipa mda kuzipumzisha hisia zangu katika swala zima la mahusiano...
Jamani nifanyeje na Mimi nataka kutulia na mwanaume wangu ambaye hajulikani nilikuwa na mwanaume ambaye alijitambulisha hadi nyumbani.
Lakini badae akaanza kuninyanyasa kimapenzi kunisaliti na...
PICHANI: Mwanaume aliyempa talaka mke wake na kumuoa mfanyakazi wao wa ndani huko Zambia.
Mwanaume huyu toka jamii kutoka Ndola aliamua kumuacha mke wake waliyeoana miaka saba iliyopita na...
Habari wana JF,
Samahani nimekuja tena kwenu mnipe mawazo,
Tafadhalini eti nahitaji nimpeleke mzazi mwenzangu Ustawi wa Jamii kutokana na amenizalisha na hataki kulea mtoto na isitoshe mtoto...
Kwakweli ndoa yangu ya miaka miwili naona ikienda kuvunjika vipande vipanda.
I have been doing lots of Dramas to my wife, can you imagine getting a condom in my pocket?
Its too much
Hello wana jf hpe mko poa nimekuja Zanzibar mara moja nimepata bahati kukutana na mwalimu mzoefu wa biology ,k wa bahati mbya sitoweza kumtaja jina,kwa bahati nzuri tukafanikiwa kuongelea mada ya...
Nawasalimu wana jukwaa. Natumai mu wazima sana humu ndani.
Kuna jambo ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je, hivi ni muhimu kufahamu chanzo cha kuvunjika mahusiano aliyotoka mpenzi wako kabla ya...
Maisha ya mapenzi na ndoa yana changamoto sana. Ila matatizo ndio kipimo cha uvumilivu. Hiki kisa cha masheikh hawa, kimenikumbusha kisa cha Ayoub kuugua hadi kubaki ulimi tu na mkewe alisimama...
Habari wanajamvi, poleni na majukumu ya kila siku.
Naamini hapa panawengi na penye wengi hapaharibiki jambo. Hebu pitia hiki kisa hiki kisha tumshauri kinacho mstahili ili kuweza kumsaidia. Si...
Dah! Hawaa madem wanao ishi kigeto geto ni wakuwa nao makini saaanaaa. Unaweza kujiona umefika kwamba we ndo kidume umepata pisi inageto lake unaenda unajisevia muda wowote utakavyo, mzee...
Mambo vipi wadau!!
Napenda ku-share mkasa huu ili kusaidia watoto wetu kwenye hizi changamoto
Nakumbuka pindi nikiwa na miaka 6-7 hivi tulikuwa na binti wa kazi nyumbani. Kwa wakati huo yeye...
Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete...
Mwenzenu na mwaka wa nne sasa hivi. Kila msichana ninayemfuata mimi hajawahi kunikubalia na wengine wananikataa kwa dharau sana halafu wasichana ninaowafuata ni wakawaida mno. Mwanzoni niliona...
Nina mchumba ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu.
Kwa kweli namshukuru Mungu ananitimizia kila kitu na ana mapenzi kwangu, ndugu na marafiki zangu. Tatizo moja na ninalohisi...
Wanaume ebu tuambieni kwa mwezi mnatumia Tsh ngapi kuwatunza wapenzi/ wachumba zenu.
Me Nakumbuka those days Baby wangu alikuwa anatumia like 40k kwa mwezi na nilikuwa naridhika
Wanaume...
Habar wadau !!
Naomba thread hii isiunganishwe na ile ya kula tunda kimasihara na ile ya kukiss kule humu kuna big brain ndo maana napost vitu tupate majibu au uelewa mpana
Ipo hivi kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.