Wakuu tumaini langu najua mko wazima wa afya na kwa wagonjwa Mungu awape ahueni ili muwe wazima hatimae muendelee kujitafutia Ridhiki.
Niende moja kwa moja katika mada hii ambayo nimeona kwa...
Mpendwa rafiki yangu,
Zama ambazo vijana wengi wanahangaika kumpata mtu sahihi ni zama hizi kwa sababu watu wengi wanakuwa wanavaa barakoi yaani mask katika nyuzo zao hivyo ni ngumu kumjua yupi...
Ni aibu kioo Cha jamii kuandika utopolo Kama huu as if it's funny when its not [emoji1751]
Back those days I remember nilikua bado mdogo sana naishi na dada yangu nilikua nikiishuhudia dada yangu...
Tupate maana tofauti tofauti ya Mapenzi
1 Ni hisia kali juu ya mtu ambaye mna jinsia Tofauti
2. Ni jaribu la kutesa moyo bila Utaratibu
3. Ni upofu wa Muda mpaka mtakapo achana
Najua kila...
Nani kama Mama?Jibu ni kuwa hakuna kama Mama hapa duniani.Mwaka jana niliskia matukio 6 ya wamama waliyofanyia watoto wao,ila tukio lililonivutia kabisa ni lile la yule mama wa kizungu aliyempiga...
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, sina haja ya kutoa salami kwani hatupo salama. Nimewahi kushuhudia mke wa ndugu yangu akitoa kipande cha nyama kwenye uchi wake na kukichanganya kwenye sufuria la...
Kuna mambo mengine ya ajabu sana aisee, kuna muhuni anamtumia rafiki yangu videos nyingi 50 kidogo, akiblokiwa anatuma kwa namba nyingine, namba za Whatsapp anazotumia ni za china , india...
Mimi ni kijana wa miaka 30 naishi Makongo nataka ushauri kidogo. Nilikuwa na mwanamke tulikutana mwaka 2011 nikianza mwaka wa kwanza UDOM lakini mwenzi wangu alisoma Engineering chuo kimoja...
Though unknown to many, some parts of their body which have the genetic coding that influences their response to romance affects their relationship behavior. Ladies legs say a lot about their...
Toka nimuoe hajawahi kupatia kwenye mapishi, kila anachopika lazima kiwe na mapungufu; kama sio chumvi nyingi, basi chakula kitakuwa kibichi lakini kweke yeye chakula kukosa chumvi ni kawaida...
The question that persisted in my mind, and I believe was the case in the minds of a number of these ladies, was "When is he going to come?" There are ladies who heard the "Mr Right is on his way"...
Si vyema kuishi bila rafiki lakini je, unamuamini rafiki yako kiasi gani na mangapi kukuhusu wewe anayafahamu.
Kuna baadhi ya marafiki zetu, tunaowaona kuwa watu wa karibu wamekuwa na tabia za...
Habarini !
Kwa kawaida ndoa Ina mambo mengi sana na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivyo katika pita pita zangu nimekutana na mada hii ambayo imelenga sana Kwa wanawake hasa waliopo kwenye...
Hali kwa sasa imekuwa mbaya sana hasa kwa sisi ambao tunazunguka mitaa mbalimbali town na mitaani sometime unakutana na majaribu makubwa kushinda hata ya ayubu.
uvaaji wa dada zetu siku hizi...
jamaa yangu ameoa binti mmoja mzuri mwaka wa pili sasa. na mimi ndo nilikuwa best man wake so nilihusika vizuri sana kweny ehiyo ndoa na harusi yao toka mwanzo. katik aharakati hizo ndip mama mkwe...
He's one of my best friends,
I've been closer to him than I have to anyone else
He knows everything about me
EVERYTHING
I always felt like i could rely on him
When everything and everyone else...
Miaka ya nyuma nilikuwa na msichana wangu mweupe(ugonjwa wangu aisee) Ni msichana ambae nilimpenda sana kwa sababu wenge la mapenzi ndo alinitoa yeye.In short nae alikuwa mzuri sana(according to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.