Kwanini vijana wanaume wengi wanatanguliza sex sana kuliko mahusiano kwanza?
Wanakuwa wako serious waoaji au ndio wapo Ili mradi wapate sex tu?
Msaada🙏
Kuachana na mpenzi uliyetumai atakuwa mwenza wa maisha siyo jambo rahisi. Lakini vipi mahusiano yanapopitia mawimbi yasiyo na mwisho. Dharau, vipigo, kuvunjiana heshima au hata usaliti. Bila shaka...
Habari JF,
Kuna kausemi wanawake wengi wanacho "nilianza nae chini au nilimkuta hana kitu" then what? Kuanza na mwanaume chini kumvumilia wakati hana haikubadilishi wewe ukawa mwanaume mwenzie...
Habari wadau. Biblia inasema usimuache Mwanamke wa ujanani. Hii inamaanisha wewe kama Mwanaume jitahidi Sana usiwe chanzo au wa kwanza kutaka kuachana. Maisha ya Mungu yeye ndo anatupangia utaishi...
Binafsi ni stori ndefu kidogo ila nitaifupisha. Mwaka 2004 baada ya kugraduate UDSM nilifanikiwa kuajiriwa katika shirika la umma na nikapangiwa mkoa mmojawapo wa nyanda za juu kusini. Baada ya...
Wanadada punguzeni mizinga isiyo ya lazima.Mtu hamjaoana lakini hela anazoomba ni zaidi ya mke wa ndoa.Anakutajia shida lundo we kama babake.
Weaving 50,000,nguo yangu ipo kwa fundi...
Habari zenu waungwana
Katika maisha yetu ya kila siku huwa tunakutana na watu tofauti tofauti na kujikuta tunapeana namba za simu kwaajiri ya kuwasiliana zaidi.
Kadri mnavyozidi kuwasiliana...
Ni kweli kwasababu ya utandawazi, mambo yanabadilika. Namna za kuishi pia zinabadilika, mapokeo nayo kutoka kizazi hadi kizazi yanabadilika. Je hekima imesafiri? Au amepotea njia? Au maarifa ya...
Nasikia siku hizi wake wa watu hasa wale wenye waume wazee wamekuwa warahisi Sana kuchepuka nje kwa Kuwa Sasa hivi namba ya wanawake imekuwa nyingi Basi Baadhi ya wanandoa wanafanya usaliti kidogo...
There is difference between "having" and "giving". One thing is to have, and another thing is go give from what one has. There are men who have more than enough money but they are stingy(they...
Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi...
Unamkuta mdada ni mrembo tu,na ana vigezo vya kuitwa mrembo,na mwanaume yeyote anaweza kukutongoza popote ulipo lakini cha kushangaza loh!
Unamkuta mdada amejipodoa kapendeza na kavaa na kweli...
Na hii inatokana na miluzi mingi anayokutana nayo huko duniani. Kama pisi kali atakuwa ameajiriwa/kujiajiri lazima akutane na miluzi ya wenye fedha, mabosi wake n.k Na ujasiri wa kuikwepa au...
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na...
Wakuu habarini ya jioni, poleni kwa majukumu ya siku..
Wakuu nina mpenzi wangu ambaye ni mke mtarajiwa kwa kuwa bado taratibu kadhaa awe mke Rasmi.
Kwa muonekano (mpenzi) ni mrefu, mwembamba...
Kubambikiwa watoto katika familia ni jambo la kawaida,inawezekana hii tabia ilianza tangu enzi za mababu zetu. Kwa kizazi cha sasa, tusitumie teknolojia (DNA) kufahamu kama mzazi mwenzio...
Kama title inavyojieleza hapo juu huyu jamaa ni kweli amepita nao wengi sana lakini kwa huu ujinga alioufanya siwezi kumsapport amecreate group amewa add ma ex zake wote mbaya zaidi ameweka picha...
USIOE/KUOLEWA NA MZIGO
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Leo sina maneno mengi, zaidi ya kutilia mkazo katika suala la ndoa hasa kwa wale ambao bado hatujaingia kwa ndoa.
Usioe mwanamke mzigo, tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.