Mpendwa mwanangu,
Nataka ujue kwa nini nilikufa nikiwa masikini wakati nina mtoto kama wewe.
Mwanangu, nilitaka kukupa baraka zangu kabla sijafa, lakini sasa nimeondoka na baraka zangu.
Chakula...
Ushawahi kuwa na rafiki kila siku ana shida yeye, analalamika yeye tu akiwa na shida haraka kwenda.
Rafiki anataka kukugeuza kama chawa wake hivi. Kukopa sasa pesa ndio usiseme
Ulifanyaje...
Habari za wakati huu, weekend inaendaje huko mliko wakuu
Binafsi nilikuwa sijui Hata kama leo ni jumamosi walai😁😁..tuachane na hilo 😊
Katika pitapita zangu mitandaoni leo nikakutana na picha ya...
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.
Yaani nina mawazo mno sijui...
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa...
Wakuu Kama mnavyojua siku zinaenda kasi na kila kijana ndoto kubwa nikupata familia Bora ..
Me Hali yangu nimkimya mpole kuongea namtu Sana Sana labda niwe nimemzoea kweli kweli ..
Sasa naomba...
Naandika hapa nikiwa na hasira sana, ila nimeona bora nimalizie hasira zangu humu labda michango yenu wanajamvi inaweza kuwa na mantiki na ikaniliwaza na kunitoa kwenye hasira niliyo nayo...
Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu, nimeoa...
Habari za mchana ndugu jamaa na marafiki,😊natumai mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Unajua si kila Ex anakuwa amekufanyia mabaya tu, si ndio e Ehee. Kama...
Why can't we(Africans) set apart woman and motherhood.
Africa kama wewe ni mwanamke basi ni kama vile hujakamilika bila kuzaa.
Karibia kila mwanamke Africa anataka azae.
Kwa muda mrefu sana...
Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za...
Wapendwa wanaJf habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale na kazi katika ujenzi wa taifa.
Napenda kuja kwenu kuwaomba ushauri kuhusu suala ambalo nimeona nije niombe ushauri kwenu...
Wakuu, ni matumaini yangu kuwa hatujambo wote!
Yawezekana nikawa mgeni, lakini ninastaajabu Sana ninaposikia eti mtu yupo katika ndoa na anabakwa na mwenza wake waliojenga ndoa pamoja!
Niliziona...
Hii tabia nimeiona kwa wadada wengi. Mtu kakupanga muda mrefu kwa ajili ya kupigwa mti. Ajabu mnafika eneo la tukio, badala ya kuonyesha ufundi, hamasa na mahaba kwa mwanaume unaanza kulalamika...
Wajumbe Wazima?
Ni yuleyule Mr. Liverpool from Anfield.
Baada ya salamu hebu twende direct kwenye mada.
Kwanini mkishaoa huwa ndoto zenu zina kufa?
Scenario 01:-
Walimu wa2 from Songwe. Hawa...
Wakuu mnaendeleaje na majukumu ya ujenzi wa Taifa?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kuwa huyu kiumbe muda sometymz ni ngumu kinoma noma, basi bana kunaye demu mmoja hivi tulianza kama marafiki...
Just imagine una mwanamke mchumba wako mna mahusiano karibia Mwezi wa Tano mnaishi mikoa tofauti ila ni mikoa jirani, mimi nimewahi kumuuliza historia yake na hata picha za wazazi wake nilimuomba...
Unaanzaje kumkashifu mwanaume ambaye tayari kaona utupu wako, hoooo wewe fala umenihonga zaidi ya milioni halafu mimi nimekupa mara moja tu, kabao kenyewe kamoja tu ka kichovu, je hiyo pesa ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.