Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za Asubuhi wanaJF ni tumaini langu Mwenyezi Mungu anazidi kuwabariki katika maisha yenu kwa kadri mnavyostahili na kwa kadri ya mapenzi yake! Majuzi nilikuja na uzi hapa JF, link hii hapa...
4 Reactions
69 Replies
9K Views
Mimi kwa asili yangu nina sifa ya kuwa honest katika mahusiano, siwezi chenga chenga, kudanganyana na mambo kama hayo. Huwa naamini kama kuna mtu ana nia ya kupenda kwa dhati sina haja ya kufake...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ilikuwa mwaka 2015 life after Chuo hapo sina ajira wala mishe ya kueleweka ya kuniingiziamtoto mmoja WA kichaga nilipigwa faini ya milioni moja kwa kumzalisha binti ilikuwa hatari. 500,000 faini...
5 Reactions
51 Replies
8K Views
Humu mada nyingi nizakuachwa. Umri sio tatizoo tatizoo ni kuwa makini katika uchaguzi . Mke mwema huja mwenyewe asilimia kubwa tatizo hao mnawapuuzia mnaishia kupata wanawake ambao bila hela wewe...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakubwa na wadogo Katika ulimwengu wa sita kwa sita binadamu huwa tunakua wadhaifu sana na inafikia wakati kutokana na raha ya tendo unaweza muhaidi mpenzi wako kwamba utampatia...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
.... Delete ... Moderator Please delete huu Uzi.
19 Reactions
117 Replies
9K Views
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia...
9 Reactions
74 Replies
11K Views
Mimi nakumbuka kabla dada yangu wa kwanza kuzaliwa hajaolewa, yeye ndie tulikuwa tunamuonea kwenye kupika kila siku. Dada yangu alikuwa hana jinsi maana sisi ndio tulikuwa wadogo zake. Ila...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Anekubali asili yake au wa haki sawa ngangali ngangali
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi upande kuna binti tulipendana sana mahusiano yetu na binti alinipenda sana ila alivyopataga kazi tuu nilishangaa ukimtafuta anakwambia yupo bize bize yee hata hanitafuti akinitafuta ana shida...
17 Reactions
30 Replies
6K Views
Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo. Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu...
7 Reactions
83 Replies
8K Views
Ciao jf Nimekua nikifwatilia mda mrefu wa nini wanawake wengi wa sasa kwa nini awadumu kwenye ndoa zao...jibu nililo pata litawashagaza wengi ila ni ukweli unao pingika wa kiwango kidogo Rejea...
31 Reactions
63 Replies
8K Views
Ciao jf Bila kuchelewesha mada mezani kama swali hapo juu linavyo uliza! Je mpenzi wako (me.ke) alikuhamasishaje kujengeka au kuimarika kiutaftaji pesa? Sharing is caring waungwana😎
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta...
19 Reactions
68 Replies
9K Views
Mijitu mingine sijui ikoje....hovyo sana. Mtu anakuomba ushauri halafu kumbe tayari ana maamuzi yake kichwani. Unataabika kufikiri unampa ushauri anaanza kuongea shit tena. Mijitu kama hii...
20 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari za jioni wanajamvi, moja kwa moja niingie kwenye nada, nimekuwa mhanga mkubwa wa wanawake hasa ninaowapata kwenye whatsapp groups, binafsi nina groups nyingi ambazo najitahidi ku socialize...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Nikifikiria sipati picha. Huyu mwanamke wangu wakati wakushiriki tendo la ndoa anasema anapenda kua slave, na pia anapenda nimfanye slave mara kwa mara ila kwasasa naona nimuache tuu kwani naona...
6 Reactions
67 Replies
7K Views
Huyu mpenzi wangu sijui ana shida gani? Yuko na kazi zake kapanga mahala flani hivi. Kuanzia tuanze mahusiano ni mara chache tu ndio yeye huja kulala kwangu ila mara zote anataka mimi ndio nitoke...
5 Reactions
41 Replies
4K Views
Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye. Kwanini...
17 Reactions
220 Replies
29K Views
Hivi kuna ulazima wowote wa kubadilisha namba ya simu baada tu ya kuoana? Nyie mnaobadilisha sababu gani inawafanya mbadilishe namba zenu za simu?
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom