Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea. Nikiri, nilimsumbua...
26 Reactions
51 Replies
6K Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2016, kuna binti nilijikuta naanzisha mahusiano na yeye lakini nilikuwa sina malengo nae ya ndoa ila yeye alikuwa na malengo na mimi ya ndoa, alikuwa anapigania sana...
7 Reactions
32 Replies
5K Views
Duuu, zenji dar mkuu. Shuka nami, Nikiwa chuo mwaka wa pili, nilikua nimepanga kitaa na na washkaji zangu wawili, mmoja kutoka Moro town chalii wa kinyamwezi ila walowezi wa moro, na mdigo mmoja...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
Habari za mchana ndugu zangu, Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi...
4 Reactions
87 Replies
8K Views
Habari za kutwa wanajamii, Jamii ina changamoto nyingi mbalimbali zinazowakabili watu wake.. Baadhi ya changamoto zinapatikana ufumbuzi katika ngazi za kifamilia na jamii nzima kiujumla, lakini...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Shetani ameharibu sana fikra za watu kwa kuendekeza watu kuzini na hata kuwafanya wengine wajione hawana thamani lakini je Kweli starehe ya mume/mke wako MUNGU, Anaweza akaifanya isimridhishe...
6 Reactions
21 Replies
10K Views
Hivi kwanini wanawake wanapenda kudate na wanaume waliondani ya ndoa na wana kauli zao utasikia "MUME WA MTU MTAMU" Ni kipi kinawafanya kuwa na wanaume ambao tayari wako ndani ya ndoa..!!
3 Reactions
77 Replies
8K Views
Juzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap! Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Nimempenda binti wa kilokole sanaa, mnooo na nataka kumuoa. Sujaomba hata busu nikaomba kwenda kwa wazazi wake ili nifuate taratibu zote na si uchochoroni. Cha ajabu wazazi wa binti wamekataa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF naombeni ushauri kwa hili jambo, Mimi ni kijana wa miaka (25), nipo katika mahusiano na binti mmoja miaka (20). Katika mahusiano ni mwaka mmoja na nusu sasa tumedumu. Wazazi wa...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Am not that good narrator ... Kifupi ... Nilikuwa na mdada ( nilimuelezea humu Katika baadhi ya comment zangu nikiwa chuo SAUT. Tukamaliza chuo akaolewa akiwa na mimba nilimsihi sana nikiamini ni...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni Ex girl friend wangu baada ya kutemana mwaka Kama na nusu hivi akapata ujauzito alfu msela kasepa akabaki kwenye mazingira Tata Sana. Nikajitolea tu kumsaidia ili asidhalilike Ila baada ya...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Kutoka katika album yake ya "House of Exile" ya mwaka 1991, Lucky Dube alitengeza masterpiece inaitwa "It's not easy". Nyimbo ambayo Lucky anaelezea alivyooa mwanamke aliyempenda sana kwa kiasi...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Oa s'andame hadaa, moyo ukahadaiwa Oa anaye kufaa, mke mwenye kusifiwa Oa upate kuzaa, kama ulivyozaliwa Oa ukijaaliwa, mupendane...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Hodiii, Ni wapi kuna live band Eid ya leo ijumaa hapa mujini:) ? Nzuri zaidi ikiwa haina kiingilio but descent location. Thanks
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari wadau! Katika mihangaiko ya hapa na pale kuna binti nilimkuta mahali, kifupi nikamtamani na nikataka nipite tu. Baada ya mbinu za hapa na pale, alinipa namba na tukajikuta penzini, baada...
17 Reactions
182 Replies
18K Views
Nilikuwa nimetoka matembezini Niko na mdada goma langu sasa Nikakuta sehemu babu yangu amekaa nikamwambia Babu huyu niliye naye ndo mchumba nitamuoa nataka nitume mahari. Baadae jioni babu akaja...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama una mpango wa kuoa, usichelewe sana. Usiwaze sana harusi, waza ndoa. Kama una kipato kidogo, fanya hima uoe. Wenzetu hawa huja na riziki nyingi. Utashangaa milango ya kiuchumi itakavyoanza...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutokana na elimu zangu nimechukulia nje ya Tanzania wakati narudi Tanzania baada ya kugraduate nimeona utofauti mkubwa Sana wa maisha ya wanawake. Wanawake walio kule ufaransa ni civilized Sana...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Wengi huingia kwenye ndoa bila kuyajua haya ndo maana ndoa huvunjika kwa mda mfupi, hivo jifunze hapa ili uwe na uchaguzi sahihi uingiapo ndoani/katika mahusiano. Wanaume na wanawake wapo katika...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom