Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Women they don't LOVE Men, they love what we can do for them Men they don't LOVE women, they love good feeling women provides to them ATTRACTION is not the reason to be loved by WOMEN Women...
3 Reactions
7 Replies
711 Views
Mpenzi mwana MMU mwanamme! kwa wale wenye wapenzi tu, ni nini kilikufanya kwa nyakati fulani fulani uka “ pull away”( sijui Kiswahili chake) Kwa wanaojua tu maana yake lakini, maana humu kuna...
6 Reactions
60 Replies
6K Views
Wadau naombeni ushauri, niko na mwanamke wangu kwa muda mrefu ila tukiwa katika mchezo mwenzangu akimaliza tu haja zake anasema amechoka anataka tupumzke na kwa upande wangu nakuwa bado sjiamaliza...
5 Reactions
138 Replies
13K Views
Katika mahusiano sio siku zote mambo yataenda vile unavyotaka kuna kipindi mpenzi wako anaweza akawa ameanza kukuchoka tuu kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe. Na moja kati ya maeneo yanayonesha...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Za leo wana MMU. Natafuta sehemu moja tulivu iliyotulia inapiga mzika wa taratibu wa polepole huku swimming pool ya private ipo i mean nataka self contained room na swimming pool sitaki watu...
4 Reactions
137 Replies
23K Views
Wana wa familia ya JF mambo vp? Katika miangaiko ya kuyatafuta maisha hatimaye mwenzenu nimefika nchini Rwanda nimempata binti mmoja wa kihutu anaitwa Grolia nimempenda sana na nimeanzisha...
0 Reactions
44 Replies
33K Views
Ni kilio kutoka kwa jamaa yangu wa karibu sana, anadai kwamba demu wake anamlalamikia kwamba, hamridhishi kwasababu haonganishi mabao wakiwa wanafanya sex, sasa anaomba ushauri afanyeje ili aweze...
4 Reactions
244 Replies
42K Views
Kwa upendo Wa mungu naamini wote wazima kabisa hivyo nitaenda moja kwa moja kwenye Maada tajwa hapo juu! Kichwa kinajieleza kabisa labda tu nianze kwa kukiri kuwahi kudate na hawa viumbe Wa...
7 Reactions
93 Replies
14K Views
Habar wakuu, Muda mrefu kidogo nilijuana na huyu mtoto ambaye hasomi ana miaka 17, nilianza mahusiano naye mwezi wa 7 mwaka huu, lakini kutokana na tabia zake za kuchepuka kwenye mahusiano...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Kama si kuwasikia basi ushawahi kuwaona au kuishi nao kabisa nawazungumzia mama huruma au majo maramoja au maharagwe ya mbeya hawajui hapana vichwani mwao hawana msamiati wa HAPANA ukigusa tu...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Baada ya mgogoro na kelele za muda mrefu za lini utakuja kwetu kujitambulisha mara nyumbani hawanielewi kila siku wananiuliza lini utakuja, mara unavyozidi kuchelewa unaniweka katika wakati mgumu...
6 Reactions
35 Replies
7K Views
Hi there 👋👋 Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa akina Mama najua wao ni wepesi kwa kuwagundua mabinti zao ila hapa nataka kwa sisi wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa binti yako mpendwa kabisa wanamume wameshaanza...
6 Reactions
81 Replies
9K Views
Mara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume...
2 Reactions
125 Replies
15K Views
Kuna familia moja naifahamu ina mke, mume, mtoto mmoja, mdogo wa mke wa kike, wa kiume, binamu wa mke beki tatu, mtoto wa dada wa mke na pia kuna ndugu wawili wa mume. Huyu mume ana mchepuko...
10 Reactions
61 Replies
6K Views
Naskia wamama hasa kwa watoto wao wa kike wanauwezo mkubwa wa kujua kua huyu binti yangu ametoka kudinyana. Pia, naskia mademu zetu au wake zetu wana exceptional capability ya kueza kutugundua...
8 Reactions
95 Replies
15K Views
Amani kwenu, Wadau nimepata mwanamke ninae taka kuoa kwa maana ya mke wa pili,tatizo kwa haraka haraka alilonalo amejichora tattoo kwenye paja tattoo hiyo ina jina la mwanaume wake aliemuacha na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mapenzi bhana. Kuna wadada wawili tumbo moja, wazuri na wanavutia sana lakini mdogo mtu alikuwa mzuri zaidi, mkimya mwenye dharau ndani yake ya kujiona yuko level flani hivi za juu. Huyu ndio...
25 Reactions
113 Replies
16K Views
In as much as you want to run things with many girls, you need to be extremely careful else you fall into the hands of the ones that will ruin you completely. There are girls out there who are...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana MMU, Salaam. Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU. Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu. Watu...
12 Reactions
180 Replies
25K Views
Back
Top Bottom