Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Baada ya kimya cha hapa na pale leo nimeaamua kuja na kisa kilichowahi kunitokea kipindi fulani.......nimeona leo nishee nanyi....... Ilikuwaa hivi..... Mimi kwa kweli wake za watu nimekula wengi...
5 Reactions
37 Replies
9K Views
When a woman starts liking or loving you, she tends to get closer to you and ask you a few questions to get to know you better. As a man, it is good to observe these traits in a woman and to...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Huyu binti nina mwaka nipo nae katika mahusiano na moja kati ya promise niliyomuahidi nitamuoa mwaka huu mambo yangu yatakapokaa sawa Ila mpka sasa mambo magumu. Na binti naye kwao wameanza...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimekuwa Single muda mrefu aisee kuwa Single kwa mtu mzima basi tu ila unaona kuna kitu umemisi bored, stressed...ukiwa mtu mzima sense of belonging muhimu. Japo mambo yaja settle...nataka...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
Wakuu habari ya asubuhi. Moja kwa moja niende kwenye mada, huyu mwanamke nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa, kuna wakati alishika ujauzito, tukakubaliana kulea mimba hiyo, basi...
2 Reactions
96 Replies
9K Views
Kuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Jambo. Mzee wa kasumba nipo safarini naelekea MWANZA natoka MBEYA. Jirani yangu hapa ni mtoto mkali flani hivi. Uzalendo ukanishinda ikabidi nimtupie swaga. Baada ya mikiki mikiki kidogo...
5 Reactions
133 Replies
15K Views
Habari zenu waungwana! Mwaka 2019 nilibahatika kupata mwanamke mmoja ambaye ni muajiriwa katika ofisi za umma.Kwa wakati huo alikuwa na miaka 28. Tulianza rasmi Safari ya mapenzi ambapo kufikia...
8 Reactions
74 Replies
8K Views
Nyumba tunayoishi tupo wawili ,mimi na mshikaj wangu wote mabachelor...ni nyumba ya vyumba vitatu ,sebule, jiko na choo...chumba kimoja tunakitumia kama stoo ... Sasa yy ni mpenz wa PlayStation...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wenu wadau, nina miaka kama mitatu nipo kwenye mahusiano na mama mmoja mwenye watoto wawili. Natamani tuachane lakini nashindwa na kanambia lazima nitaishi nae hata kama sitaki...
10 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanaume kabla hujaamua kuoa ama kuzaa, kabla hujaamua kuendeleza kizazi chako lazima ujiulize, je nikifa leo huyu mwanamke ataweza kuwalea wanangu sawasawa ama angalau vile ulivyokua unatarajia...
11 Reactions
18 Replies
4K Views
Hiki kitu nakiri ni muhimu sana kama unafukuzia manzi Umewahi kufukuzia demu akawa anakupa miadi ya uongo au miyeyusho ikawa mingi ukawa unataka kukata tamaa na kutokana na ahadi fake na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jana nilikuja na uzi kwamba leo nitampeleka mwenza wangu Clinic kufungua kadi ya mahudhurio na maendeleo ya mtoto kwa sababu ni mjamzito, Mrejesho. Niliomba ushauri wengi waliniogopesha kwenye...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
Binafs nakumbuka kulikuwa na mtoto flani wa kipare alikuwa kanizikimikia sana yani, ilikuwa ni chuoni miaka kama 8 iliyopita. Basi mimi nnikavimba sana kichwa nikawa namletea mapozi flan ivi ili...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Mambo vipi wakuu? Leo niko na swali moja tu Hivi Je! Kuna ubaya wowote kwa mwanamke kumzidi umri mwanaume au mpenzi wake? Let's say, labda mwanamke amemzidi mwanaume umri wa kuanzia mwaka mmoja...
6 Reactions
90 Replies
12K Views
Sisi wanaume kuambiwa kwamba tuishi na hawa wenzetu kwa akili haina maana kwamba wao wanaakili kuliko mwanamme hapana bali ni uwezo wao wa janja janja kucheza na uhitaji wetu wa kingono.... hapa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Siku moja nilituma text kwa njia ya kawaida nilikuwa namtumia mshkaji wangu wa kike. Msg ilikuwa mbaya yaani kiufupi haikuwa na heshima. Bahati mbaya sana ile text ilienda kwa Wife na si unajua...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi. Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na...
17 Reactions
280 Replies
58K Views
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi. Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa...
26 Reactions
241 Replies
18K Views
Miaka ya nyuma kutongoza was an art, na ilikua lazima uimudu hiyo sanaa uweze kupata ama kula watoto wazuri. Ilikua ni lazima uwe mtu wa maneno na vitendo. Miaka ya nyuma ukiwa domo zege wanawake...
10 Reactions
104 Replies
13K Views
Back
Top Bottom