Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mpaka unaamua kumkaribisha nyumbani first dinner mpenzi wako ni lazima umemuamini na kuna vitu vimekuvutia kwake. Hii ni nafasi yako ya kujionyesha kwake uhalisia wako. 1. Nyumba iwe kwenye...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wana jamii forums mimi ni Kijana eg yangu 29 nilianza mahusiano na mwana Dada eg 26 Tulianzisha mahusiano mwaka 2015 tukiwa Dsm Tulifanikiwa kupata mtoto wa Kike mwaka huo huo Lakini...
8 Reactions
109 Replies
10K Views
Wale wote waliopo kwenye ndoa na mahusiano ambayo yanapumulia mashine muda wowote yanaenda kuzimu basi leo kuna mwarobaini wa tatizo lenu hapa. Ukitaka kuishi na mke wako bila ugomvi inabidi...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Proof that women's chests really are a man's 'first fixation' Women have long complained that their faces are often the last thing men look at – and now a scientific study has proved them...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
MUNGU ni mwema! Jumatatu nyingine tunakutana . Kama mada inavyojieleza hapo juu, kuna mapenzi ya dhati kwenye dunia ya sasa? Najua jibu la swali hilo kila mtu analo kutokana na mapito yake. Wengi...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Juzi kati nikiwa natoka kwenye mizunguko yangu nikakutana na demu aliyewahi kuniletea nyodo, kwenye dala dala, tukapiga stori mbili tatu huku tukiendelea na safari. Ikaja zamu ya konda kuomba...
9 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari za wakati huu mabibi na mabwana Nimekuja live hapa napenda niwe very open. Nina mpenzi tunapendana ila yupo nje ya nchi kikazi. Kiubinadamu kuna wakati nakuwa bored na mpweke sana yes I...
22 Reactions
117 Replies
11K Views
Unajua ni kwanini watu wengi wanakosa fuaraha katika maisha ? Kuwa na furaha ya kweli sio mchakato wa hatua moja. Ni kubadilisha mfumo wa maisha ulio nao sasa, ni kutambua nini unapaswa kufanya...
7 Reactions
18 Replies
6K Views
Umemfumania mpenzi wako na mpenzi wake mwingine akakudhalilisha sana kwa matusi na maneno ya kejeli, ukaumia sana. Baada ya muda kupita anakuja kukuomba msamaha Je, utamsamehe?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Haya maisha haya.! Nilienda Dathramu kwa bashasha tele ili tu kutesti zari langu, miaka yote niliyokaa huko holla! Zunguka sana maeneo ya fukwe na mapango pendwa, lakini wapi![emoji2377] Kuna...
4 Reactions
4 Replies
918 Views
Umeoa, umepanga katika nyumba ambayo kuna mpangaji mwingine ambae nae ana mke. Ikatokea kitu kama umemwelewa mke wa mpangaji mwenzio hivi ukimramba kuna ubaya gani most especially pale unapoona...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Huyu binti nimekutana naye mara moja na sikuwahi kumjua kabla ila ananinyima usingizi. Juzi jumapili wakati natoka Makumbusho usiku alipanda gari nililokua nimepanda tukashuka wote Buguruni...
7 Reactions
56 Replies
5K Views
Habari zenu. Mimi ni kijana nakaa Dar na nina kazi. Elimu yangu ni shahada. Mimi nipo single ni muda mrefu kidogo sababu sikuwa napata mwanamke ambaye naona atanifaa. Kuna binti wa kazi nyumba...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Mambo mengi mda mchache... Naombeni kuuliza hivi mwanaume ambaye mwenye elimu ya u Dkt. Engineering, Prof. akaoa mwanamke ambaye hana elimu yoyote yaani hajaenda shule hata kaenda alifeli darasa...
6 Reactions
90 Replies
12K Views
Habari wakuu! Leo nimemkumbuka mpenzi wangu tuliekutana mazingira tatanish kidogo. Nakumbuka mwaka2013 tulipata tenda nchini Malawi nilikutana na mtoto mmoja hivi kisura ni mzuri kaumbika yeye...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu, Mfano kuna manzi ulikua unamfeel mbaya halafu ukamweleza hisia zako ye akakuchomolea na haoneshi kukupenda kwa namna yoyote ile ingawa we unajipendekeza kumtafuta mara kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar zenu wanabodi Jamani nataka kulipua bomu ila daah kila nikitaka kulipua nashindwa. Kuna demu ananipenda sana ila mimi simuelewi wala nini nataka kumpiga chini ila bila kumuumiza nimwache...
3 Reactions
69 Replies
9K Views
Poleni na tozo za miamala Mimi nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo. Nikimwambia 'Nakupenda' anajibu ahsante. Nikimpigia simu anasema ana kazi...
13 Reactions
162 Replies
16K Views
Kama title inavyouliza; -Mwanamke anaweza akalia na kutoa machozi akidai anakupenda kumbe ana wanaume wengine pia.( Ni wazuri sana kudanganya na kuigiza) _Jiulize,mwanamke akitembea barabarani...
6 Reactions
271 Replies
22K Views
Hapa mtaani kwetu jirani yetu ni fundi wa magari. Ana garage yake mtaani na watu wanamwamni ni fundi mzuri sana. Ameoa msichana wa mijini peace kali, wale wa dada wa human hair na lace wigi...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom