Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu wakuu, Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani...
32 Reactions
164 Replies
48K Views
Kila mtu binadamu mbinu yake ya kuachana na mpenzi wake pindi anapoona amemchoka na haitaji tena kuendelea na hayo mahusiano. Wengine huwatamkia waziwazi wapenzi wao kwamba waachane na wengine...
5 Reactions
75 Replies
14K Views
Yaani hadi nastaajabu jamani! Kama kawaida yetu mabaharia tupo katika mgomo baridi wa kutolitumia neno ”NAKUPENDA" kwa hawa warembo. Sasa stori iko hivi: Niko na mazoea sana na huyo msichana...
2 Reactions
54 Replies
6K Views
Some women would rather work themselves to early death than bring a house girl into the house. In the event that they do bring one, they go to great extents to find an elderly house girl, one that...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi! Kama mada husika hapo juu ilivyoandikwa ningependa niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nimetokea katika familia yenye watoto wa4 wawili wa kiume na wawili wakike baba...
35 Reactions
122 Replies
16K Views
Habari wana JF. Katika ulimwengu wa sasa hivi kupata mtu ambaye ata anza mahusiano na wewe kwa mara ya kwanza, kwa maana kuanza mahusiano na mwanamke ambaye ndo mara yake ya kwanza kimapenzi na...
1 Reactions
41 Replies
9K Views
Habari yako ndugu msomaji; Ukweli ni kwamba wanaoteseka kwenye mahusiano ya kimapenzi hasa ni wanawake. Hivyo Leo naorodhesha sifa ambazo mwanamke anaweza kuzichunguza ili kujua anaingia kwenye...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada tuambiene ukweli. Hivi wewe huwa unatumia condom? Kama ndio ni kwanini na kama sio ni kwanini? Mimi situmii kwa kuwa huwa zinaniwasha, halafu...
1 Reactions
109 Replies
15K Views
Baada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata...
2 Reactions
72 Replies
8K Views
Kama wewe ulikuwa huna habari naye yeye akajileta mwenyewe ukamuonea huruma ukaone acha usimnyime ukampa anachokitaka sasa kumbe mimba ikanasa na wewe haukua tayari kuwa mzazi mwenzie. Je...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi. Naamini mko salama kabisa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Naandika uzi huu kuwakumbusha tu muishi nao kwa akili na pia umakini na kufatilia mambo kwa hawa wake zenu...
5 Reactions
33 Replies
4K Views
Waarabu waliwakusanya kwa kuwakamata waafrika na kuwauza Amerika na Ulaya., Biashara ile imeisha, tunaona sasa wamebadili mtindo wa utumwa, mnachukua watoto wa masikini vijijini na kuwafanyia...
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania wakuu wote, wanyonge na mabwanyenye wote. Haraka sana kwny mada iko hivi mi fb akaunti yangu picha nimeweka ya mke wng mbaya zaidi hata jna...
6 Reactions
73 Replies
9K Views
Tupeane uzoefu wazee wa kuingia chaka, wazee wa kujilipua, wazee wa kujitafutia mabalaa.... Sio kutongoza tu hata Kama ushawahi kubanduana nao we lete mrejesho hapa ikawaje, maana naamini humu...
4 Reactions
141 Replies
25K Views
1. Mazoezi: Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa...
6 Reactions
19 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu. Nimekuja hapa kwa lengo moja pindi nilipoanza kushiriki mapenzi mwanzoni nilikuwa Vizuri tena sana Ila shida ilikuja kuanza mwaka 2017 baada ya kulala zaidi ya wanawake...
7 Reactions
90 Replies
8K Views
Unakuta mwanaume mzima unaongea nae haishi kula kucha, mara kuchora chini kwa kidole cha mguu, Mara kuangalia pembeni yaani wanafanana na wadada kwa kila kitu. Hivi wanaume kama nyie huwa...
8 Reactions
95 Replies
9K Views
1. Epuka hasira za hovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo) 2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa...
12 Reactions
40 Replies
7K Views
Hukizunguzia mapenzi hakuna yaliyomuacha kila mtu yamemgusa kwa namna moja au nyingine. hapa chini nmeandika mambo 5 ambayo unatakiwa kuyajua ili uhepukane na athali kubwa za mapenzi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom