Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini Wana MMU, Nimekuwa nikijaribu kufikiria hii kauli ya "mke sio sura bali tabia" na matumizi yake,wengi hasa vijana wa siku hizi wanaichukulia kauli hii kama kauli iliyopitwa na wakati...
7 Reactions
58 Replies
5K Views
Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani. Appetite ya kuwa naye imekata...
29 Reactions
108 Replies
11K Views
Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga...
5 Reactions
68 Replies
10K Views
".......yupo DAS nasikia anamapungufu ya kimaadili, anachukua wake za watu, sasa natengua uteuzi wake, RC nani unadhani anawezaweza hii kazi?" RC: Yupo afisa tawala wa wilaya anaweza. Rais...
15 Reactions
76 Replies
7K Views
" Huyu dada amekuwa akiandika kwenye mitandao kuwa nmemtelekeza na kwenda chumbia mwanamke mwingine. Nlianza naye mahusiano nikiamini angekuja kuwa mke wangu.nliepuka kwa muda mrefu kufanya naye...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mtanashati ameonesha nia kutaka kunioa. Nami nikaona niwe muwazi kwake mapema isije ikazua balaa siku za usoni. Nimefunguka kinaga ubaga kuwa mwanamke mazingira, mwanamke matunzo. Nikaenda...
8 Reactions
221 Replies
17K Views
Jamani hizi ni zama za nipe nikupe! Huu ndio ukweli wa maisha ya siku hizi. Wadada mnaopenda kuhudimiwa na wanaume( Karibu nyote mnapenda) mjipime na kujitafakari kama huduma mnazotoa zinakidhi...
16 Reactions
104 Replies
8K Views
Sio kila mwanaume au mwanamke anaingia katika mahusiano na wewe ana nia ya kuolewa na wewe hapana kuna wengine wanakuja kupunguza stress, wengine wanakuja kwa sababu they need financial support...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Hivi ndugu zangu hili swala lipoje, unakuta mwanamke upo nae karibu sana anaonyesha kabisa kukupenda, ila ukimtongoza anakataa kata kata[emoji23]. Ukimpoteza anarudi kuwa karibu yaani kiasi...
13 Reactions
88 Replies
9K Views
In some cases, when we spruce up and check our look in the mirror, we begin grinning and respecting our outfit particularly on the off chance that we understand that we look beautiful Our...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Ni muda kidogo sijaonekana humu Ila nimeludi Niende moja kwa moja the issue iko hivi Nina mpenzi wangu tuna miezi kama 5 hivi. Ana malengo ya kunioa ananipenda sana najua...
7 Reactions
176 Replies
15K Views
Swali!! je, mwanamke anaekuomba hela au pesa anakupenda au hakupendi, jibu linaweza kua Yes au No kutokana na mazingira Muktadha wa mahali husika Mimi nikiwa kama mchunguzi wa saikolojia huru...
7 Reactions
69 Replies
9K Views
Nimeshachoka kuchakata chakata bila sababu ya msingi, Leo nimekuja kwenu waungwana Nipo Natafuta mke wa kuoa ,, Sina vigezo vingi kigezo ni kimoja tu awe anapumua tu Tosha , Awe muislamu ...
8 Reactions
28 Replies
2K Views
Nataka kumuacha huyu mchepuko ila nashindwa. Kuna wakati tunakasirishana akiwa mbali, mpaka inafikia hatua ya kusema simtaki. Ila tu akionekana karibu na macho yangu tu nimekwisha,najikuta...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Nipo kweli mahusiano almost two years sasa! Sema kweli huyu binti nampenda lakini tabia zake hazifai kuwa mke hata kwa kubahatisha! Kasoro zake! Mtu wa visirani na visasi yaani akimchukia mtu...
0 Reactions
66 Replies
5K Views
Jirani yako akibuni njia nzuri si mbaya kuiga ilimradi ufikie malengo yako. Tunakubaliana watoto weng wa kike chini ya 18 wamenona, wanajipamba na wao wanatia watu majaribun kwa tamaa na haraka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MKASA WA KWANZA: Unanihusu mimi mwenyewe Naanza na rafiki yangu: Juzi jumamosi nimeamka salama, baada ya kufanya mambo yangu nikaona ngoja nimtembelee jamaa mmoja hivi ni rafiki yangu sana...
15 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwenye mahusiano,Kuna wanawake wengi ambao wanaumia kwakua wanaume wao wamepoteza kujiamini. Mwanaume anapopoteza kujiamini mara nyingi anakua na Gubu, anakasirika vitu vidogo vidogo, anakua na...
6 Reactions
40 Replies
7K Views
Ikiwa ni jioni tulivuu, nimeshamaliza kazi zangu na ninatafakari kuhusu maisha yetu ya kila siku. Ukweli ni kwamba maisha haya ya duniani SOTE TUNAPITA jamani! Hakuna atakayeishi milele! Na kwa...
10 Reactions
9 Replies
2K Views
In short, ndoa ina miaka minne sasa na karibia tunapata mtoto. Tatizo rafiki zake mke wangu wa kike wanapokuja nyumbani hata kama ni wabaya kumzidi mke, mimi nakuwa nawatamani sana ata...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
Back
Top Bottom