Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna rafiki yangu aliniambia hakuna mtu asiejua kupenda hata ujifanye kauzu vipi moyo una stop center yake utadondokea tu hata chizi. Basi bwana Mimi baada ya kuachana na mtu fulani niliekuwa...
16 Reactions
91 Replies
10K Views
Amakweli Dunia ina mambo na haiishi vituko. Ni baada ya kupata ajira yangu ya mwanzo mwaka 2007, katika visiwa vya ukelewe huko. Nikiwa ktk ofisi yangu ya kazi nilipata mteja mmoja mwanamke mwenye...
18 Reactions
58 Replies
13K Views
Habari wana JFs MMU. Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa(...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Asalam aleykum Wakati tunaendelea kujikinga na ugonjwa wa Covid-19. Naomba kutoa maoni yangu. Uyachukue au uyaache lakini ukweli u-prevail. Kihistoria ya human evolution toka maisha ya enzi...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Ngoja leo tuongee na wanaume tuliooa wanawake wazuri kuona tunakwama wapi. Jana katika pita pita zangu mitaa ya kishua nikaibukia uswazi kwetu. Nikakutana na mwanadada Mashaallah analia huku...
3 Reactions
61 Replies
10K Views
Katika harakati zangu za kutafuta maisha hapa na pale. Nilifahamiana na mdada mmoja. Baada ya kuwa karibu na yule mdada tulianzisha mahusiano ya kimapenzi. Siku ya kupiga show nilimwelekeza aje...
10 Reactions
90 Replies
16K Views
Dhamira ya mapenzi imekuwa ni chumvi kwenye maisha ya kila siku lazima iwepo ili kuwe na radha ya maisha ila isizidi maana inakera na isipungue maana inabaoa. Hivyo leo nimeona nije na uzi huu...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
Tunaposema "WANAWAKE WANAOJIELEWA" hua tunamaanisha wale wadada ambao wameajiriwa ama wamejiajiri wanajilipia bills na kuendesha maisha yao wenyewe.. Sio nyie watoza...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwanza kabisa tuwasikitikie vijana wote wanaodai ni wanaume huku wakilia kuachwa. Inavyojulikana mwanaume haachwi bali anaacha au wanaachana na mke wake. Kwanini mwanaume hawezi kuachwa? Kwa...
7 Reactions
24 Replies
39K Views
Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela...
14 Reactions
88 Replies
8K Views
Habari za leo waungwana. Leo naomba tujadili hii kitu. Duniani kote mwanaume halisi mwenye genes za kiume ndani mwake na tabia za kuwa mwanaume huwa hachagui aina ya mwanamke wa kuwa naye...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada Huu ni ukweli mchungu, ndoa za kiislamu au makabila yanayoruhusu kuwa na mke zaidi ya mmja zinadumu na zina amani kuliko ndoa za kikristo.
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mi ni mtu mwenye aibu saana na sio muongeaji, home walishanizoea nikisalimia naingia rum kwangu nafanya yangu, iwe kuchati au kusoma au chochote but I like being alone. Changamoto ni kukaa na...
7 Reactions
127 Replies
7K Views
Maisha yana maajabu mengi na mojawapo ni hili la watu kuongea pekeyao achana na mazungumzo ya kimya achana na mawazo ya kawaida hiki ni kitu kilichojengwa katika wizara nyingine kabisa wizara ya...
28 Reactions
125 Replies
14K Views
Kuna watu watasema " oooh mods Uzi huu upelekeni jukwaa la intelligence kwa sababu Una madini mazito Sana" Haya Bana. Nianze kwa kusema Singo mazas sio wabaya kihivyo Kama tunavyo jaribu kutaka...
9 Reactions
109 Replies
10K Views
Katika mahusiano zipo zile up &down sasa inapotokea unaamua kumpiga mtu wako chini moja kwa moja na bado unaona anaendelea kukukera kwa namna moja ama nyingine unaamua umpige block kwenye mitandao...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa...
5 Reactions
58 Replies
10K Views
Hivi ushawahi kuachana na mtu ambaye bado unampenda? Then unaanza kukumbuka zile memories ambazo mmekua pamoja. Unakuta memories zinakuumiza lakini at the same time unaenjoy [emoji23] Imeshawahi...
11 Reactions
78 Replies
7K Views
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume. Mnapo kula chakula kwa...
15 Reactions
120 Replies
10K Views
In your past relationships, have you've been.. Cheated on Disrespected Lied to Unappreciated Taken advantage of If these patterns follow you from relationship to relationship, ask yourself -...
2 Reactions
7 Replies
678 Views
Back
Top Bottom