Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu leo nimeenda kupanga foleni ya kuchukua chakula cha bure kinachotolewa na mamlaka za jijini hapa kwa ajili ya wahamiaji, nimeona haiwezekani na ni ujinga mwarabu na raia wa ulaya akapange...
20 Reactions
202 Replies
18K Views
Habari za leo wakuu, Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nikiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi. Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa? Ni mazingira gani yanaweza...
11 Reactions
148 Replies
10K Views
Nikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience. Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali...
7 Reactions
91 Replies
13K Views
Wengi wanajutia au hata kufurahia uamuzi wao wa kujikuta wanachungulia ujumbe na mawasiliano ya wenzao katika simu zao za mkononi lakini matokeo yake ni jambo ambalo hawakulipangia. Ni kifaa...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Ingawa baadhi yetu twaweza kuleta ubishi juu ya hili lakini ni ukweli unaowakuta zaidi ya asilimia 80 kama sio 90 ya Wanandoa wamejikuta wameoana kutokana na sababu moja au nyingine, wengi ikiwa...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing...
45 Reactions
409 Replies
32K Views
Habar wadau, Ni hivi nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3, sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi, sasa tumezoeana sana, mara nyingine...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Huyu binti ambaye niliwahi kuleta taarifa yake ya kuninyima mzigo licha ya kulala kwake siku 2. Wadau walitoa maoni yao nikawaelewa. Nikambana kwanini alifanya vile akasema ni woga tu( nahisi ni...
13 Reactions
99 Replies
9K Views
Nawasalimu kwa jina la JF, shuhuda ziendelee. Mara nyingi mahusiano ya wanamme iwe ni mabaya au mazuri, huwa ya kulindana hasa linapokuja suala la mapenzi au mahusiano. Kuna wakati jamaa zetu...
4 Reactions
53 Replies
5K Views
  • Closed
Kwa mujibu wa sheria ya Mtoto (2009), Watoto wana ruhusa ya kufanya kazi baada ya kutimiza umri wa miaka 14. Kazi haipaswi kumzuia mtoto kuhudhuria masomo au kupata muda wa kujisomea na kupumzika...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nilikutana na mtu humu tukachart kweli for al most 5 months picha nilizokuwa nimetumiwa sizo zenyewe. For more months to come finally video chart kumbe sio mwenye zile picha kazi na kila kitu...
14 Reactions
233 Replies
16K Views
Wakuu ushauri naomba, Hapa ninapokaa tupo kama watu 12 hivi, sasa nina jirani yangu (Mke na Mme na watoto wawili) wamehamia siku si nyingi. Sasa tuliwakaribisha vizuri nami ninaishi mwenyewe...
11 Reactions
121 Replies
15K Views
Some girls are given , they are naturally beautiful and they have beautiful bodies . Meet Unathi Ditaunyane who loves and appreciates her body . She's more comfortable in wearing clothes that show...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
KARIBU USHIROMBO!, Kila ijumaa pale NEW WADUTYA CLUB ni siku ya mabakurutu pia wadada wanajiuza ili kupata pesa, Kwa wafuatiliaji wa nyuzi zangu watakuwa na kumbukumbu juu ya lile jimama...
1 Reactions
70 Replies
9K Views
Igweeeeeeeeeee, Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti. Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini Dar es...
8 Reactions
44 Replies
4K Views
Kuna wahudumu wengine sijui kama wanajua wajibu wao kwenye lodge walizoajiriwa Kuna tabia imezuka hasa ya wahudumu wa kike kukuhoji kuwa una wapenzi wangapi na huku si kazi yake,kazi yake ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mtoto wa kwanza uhakika Ni wa kwako kwa sababu penzi bado jipya una muda wa kumbembeleza mke asitoke nje poa utamzalisha mwanao.Sasa mtoto wa pili tofauti itaanza mke Ana uwezekano mkubwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Hi everyone, I hope you have a bright Sunday, Super weekend na nini na nini hata kama mambo yako ndivyo sivyo, have faith it’ll come your way just work hard. Sasa bana, huku nnakoishi uswazi...
19 Reactions
76 Replies
5K Views
Matiti yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi yanakuwa mekundu mpaka unahisi maumivu hata watoto sidhani kama wananyonyaga mpaka wanawaumiza...
17 Reactions
272 Replies
37K Views
Habari wanaJF, kwa wajuzi wa mambo ntaka kufahamu kitu katika hili kama ilivo kwa title hapo juu. Yaam mke alitumia soap kujpaka maeneo yake ya siri then dakika chache akaingia kwenye tendo na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom