Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu zangu nimekuja hapa kuomba msaada wa mawazo. Siku hizi niliachwa na mke wangu, lakini sasa kabla ya kuwa na mke wangu kuna dada fulani ambaye niliwai kumtongoza kipindi cha nyuma akanipiga...
6 Reactions
52 Replies
5K Views
Naombeni msaada wa mawazo hivi ni kawaida kwa mwanamke kumnyima mwanaume unyumba miezi mitatu mfululizo kwa kisingizio cha kulea au ndo naibiwa kimya kimya. Naombeni ushauri wa ki utu uzima kabla...
3 Reactions
169 Replies
11K Views
Habarini wakuu.. Miezi kadhaa iliyopita nilijiwa na mshkaji wangu wa kitambo sana mtaani kwangu. Katika story za hapa na pale akanipa mbinu moja ya kumfikisha demu kileleni mapema ambayo yeye...
5 Reactions
94 Replies
32K Views
Wakuu, Kuwa na six park sio mbinu ya kumfikisha mwanamke kileleni. Watu wamekazana kwenda jim kuvimbisha vifua wenzako wanatumia sayansi ya mapenzi. Kama tu kidole cha pete kinaweza kumfikisha...
9 Reactions
53 Replies
9K Views
Sifa za mwanamke mzuri na anayevutia 1. Chuchu size inayoonekana 2.Tako size inayoonekana Nimemaliza hapo ndio mwisho. Hivyo ndivyo vinafanya hata nguo zimpendeze.
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Kwa sie watu wa bara wengi wetu hatuna huu utamaduni wa kujifukiza udi, ila wenzetu wa pwani naona wanao huu utamaduni. Hivi kazi ya udi ni nini hasa na je wake kwa waume hujifukiza hii kitu au...
1 Reactions
150 Replies
42K Views
When we're in love there are lots of crazy things we do because of love, we do things that we never imagine we do. We end up inloving people with whom we need to imagine, that's just the sweet...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nikwambie kuna watu Wanaonekana ni watu kabisa Yaani wanafanya kazi kawa kawaida na wanamarafiki kama kawaida ila ni mawakala wa shetani.. Leo nipo ki imani hawa watu mara nyingi huwaingia wale...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
KWA wengi suala la mahusiano ya pembeni katika ndoa haliruhusiwi kamwe. Lakini licha ya haya, kuna baadhi ya wanaume ambao bado wana mwanya wa kurambaramba vya nje. Daniel ni mmoja wao...
0 Reactions
3 Replies
838 Views
Kuna aina flani ya watu mkiwa katika mahusiano hujiona ni watu ambao wako very perfect katika mahusiano ni watu hujiona wapo right kwa kila jambo wanalolifanya na huwa hawapendagi kupingwa na hata...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Inaonekana wanawake hata ukienda nap kavukavu wenyewe wanakuwa na uhakika hawajali cha mimba Wala UKIMWI. Ukimuhitaji kavu unamnasa na ukitaka condom hawapendelei ni kama vile watatuua...
23 Reactions
115 Replies
12K Views
Wanaume wanene tunanyanyasika sana,ukiwa unakula kitu kizuri anapita mwembamba utasikia,"Unaharibu mwili wewe".Nikipata dada mzuri hata kabla ya kufurahi naye utasikia hee"We mnene kweli punguza...
43 Reactions
59 Replies
6K Views
Je, unaweza kua kama kunguru kwenye swala la mahusiano? Binafsi ziwezi aisee niwe tu mkweli [emoji3]
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwenye miaka ya themanini, Bill Gates akiwa bado kijana, alichumbiana na Ann Winblad. Mwaka 1987 Bill Gates akaachana na Ann na Kwenda kumuoa Belinda waliyeishi naye kwa miaka 27 na kupata naye...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Wajuvi wa mambo inakuwaje kuwe na mlolongo wa aina hii. Je ni sheria? Ama mila na desturi zinazoweza achwa. Mantiki yangu: Kuna umuhimu wa kupitia hatua zote hizo na si kupotezana muda labda...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana Jf , natumai mu wazima wa afya , natamani kushare hii kitu na dada zetu , Ni hivi dada always kaa ukijua , mwanaume hawezi kutulia mpaka umtulize , mindset ya boys ni kwamba ni watu wa...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawasalimia nyote Ngja niende kwenye mada moja kwa moja. Nimejaribu kuwaza kwa sauti kidogo. Hivi hata wazee wanapokuwa faragha na wezi wao wanakuwa na purukushani nyingi kama ilivyo kwetu...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Niko kwenye Kipindi ambacho nahisi nimeibeba dunia yote, Akili imestuck kabisa nikiwa nawaza miezi 3 niliyoambiwa nisubiri na madaktari nikapime tena afya itakuaje Kama nikiambiwa Niko positive...
24 Reactions
189 Replies
22K Views
Nataka mwanamke aliyetayari kuwa mke wa pil.Umri 20 to 30 kabila lolote dini yoyote.Pm
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni mama yangu mdogo kabisaa, sijui kwanini imekua hivi, yani nafanya nae mapenzi kama demu wangu na kama tumeringana umri, hua nashindwa kumuangalia nikiwa nipo nae mbele ya mama yangu, ila sio...
19 Reactions
266 Replies
88K Views
Back
Top Bottom