Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Huyu jamaa alipotea toka may 15 mwaka jana na tuliachana naye pale Mabibo Hostel kifupi jamaa ali graduate Mzumbe akaja Dar kutafuta job ila akaishiwa pesa akishindwa kuendelea na apllication...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Kama ilivyo Mahusiano kufa pia Mahusiano hubadilika uliyemuamini juzi leo haaminiki tena mpka unashangaa lakini ni muhimu tu kujua kuwa Mahusiano yanabadilika wapo watu wapo kwenye ndoa lakini nje...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu, mimi ni kijana mwenzenu msomaji mzuri sana humu ila si muanzishaji sana wa nyuzi kuna jambo kidogo huwa linanitatiza wanawake niliowahi kuwa nao wengi huwa na mambo mengi yaani...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu ipo hivi nilisafiri toka Jutano mkoa fulani plan ya kurudi ilikuwa Jumamosi kesho jioni lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jioni. Sasa...
28 Reactions
375 Replies
33K Views
Amini mkuu, mwanamke ambaye umekutana nae kwa mara ya kwanza....Hakujui nawe haumjui. Lakini unamset na anasetika, mnaenda maeneo ya faragha....Ajabu mnakwichi na analala usingizi mzito wa fofofo...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu, Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada...
7 Reactions
42 Replies
7K Views
Jamani yaani kila ninapomuona huyu mdada, nachanganyikiwa sana. I really love her, sitanii ila nilipomtupia maneno matamu akaniambia ana jamaa yake sasa mimi SIKUBALI nataka kumpindua jamaa. What...
2 Reactions
65 Replies
16K Views
Husika na kichwa cha habari hapo mnamo mwaka jana niliweza post humu kuwa nimempa mimba binti wa chuomwaka wa pili mimba. Wengi humu walitoa ushauri kwamba nisije jaribu kumwambia huyo binti...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Wapendwa habarini za kazi, nipende kwenda kwenye hoja yangu, wazazi wengi huwa wanasomesha watoto kama ni sehemu ya uwekezaji wao ili baadaye mtoto akipata kazi amtegemee kwa kila kitu. Binafsi...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Barua hii imenikumbusha mbali sana...! Kupendwa Raha Sana.....
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari za mida wana JamiiForums. Naomba nami nitoe kisa changu cha maisha cha kweli. Kifupi nimelelewa na wazee wangu, nimesoma kwa tabu sana, ila kwakuwa nilikuwa vizuri darasani nilitoboa kila...
31 Reactions
672 Replies
43K Views
Katika mademu kumi nitakaowatongoza Basi nane au tisa wananikataa hii Ni kwa sababu Mimi waga nikikutongoza Leo au nikikupenda leo nataka uingie geto siku hiyohiyo na ndo maana ndugu zangu kazi ya...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
#1 Wakati wowote mnapokosana, ni wewe ndiye unayelaumiwa. Ukiwa na huyu mwanamke na kila wakati mkiwa mnagombana, mwisho lazima uchukue lawama hata kama kosa ulilofanya si lako. Na utapata...
18 Reactions
55 Replies
6K Views
Mimi ni binti wa miaka 23 sasa. Nimekuwa kwenye mahusiano na kijana wa miaka 32. Mahusiano yetu ni ya mbali. Yeye yupo Dar ila mimi nipo mkoa wa mbali sana ambapo kukutatana kwetu ni pale tu...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwanza mimi ni mgeni hapa but hii Forum naona iko na good advise. So mimi am married naishi ulaya na huwa tunarudi sana nyumbani Africa kutembelea wazazi na marafiki. Once in a year. Nimeolewa na...
5 Reactions
125 Replies
13K Views
Mwanzo nilikuwa najua sitapata shida kupata mchumba kwa kuwa Mimi ni handsome boy, genius nina akili Sana nikiamua hata kuwa professor nakuwa na hivi JF imeniongezea madini na pia kwetu tuko...
6 Reactions
53 Replies
5K Views
What is a 'female orgasm'? Orgasm is really a reflex reaction that involves muscular, hormonal, blood flow, emotional, psychological variables, and petrochemicals all in one coordinated event...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Habarini za uzima wakuu, rejeaa mada husika hapo juu. Kumekuwa na misemo mingi inayozungumzia athari za uzinzi ,mmojawapo ni "uzinzi gharama". Masaa mawili au chini ya hapo Leo tarehe 30 05...
13 Reactions
143 Replies
12K Views
Ingawa yapo mambo mengi unayopaswa kumpa mtoto wakati ukimlea, leo tunazungumzia mambo unayoweza kuyaita tunu za maadili. Tunu hizi zitahakikisha anakuwa mtoto muadilifu na mtu mzima mwenye kuishi...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom