Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna kautafiti nimekafanya katika mahusiano yeyote yale iwe uchumba au ndoa ikitokea mwanamke amefanikiwa basi penzi litayumba au litavunjikaa. Shida huwa ni nini lakini?
7 Reactions
81 Replies
5K Views
Rafiki na ndugu yangu mpendwa, Nilikuja nyumbani kwenu kama tulivyohaidiana ili nipate kukuaga lakini kwa bahati mbaya nimekukosa, nilikuja kukuaga kwa kuwa hutaniona tena kwani...
10 Reactions
35 Replies
6K Views
Heshima kwenu washikadau Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Hi Pals, I hope mko poa Right. Kusema ukweli mimi ni kijana ninaye ishi uswahilini,na kutokana na kuishi uswahilini imenifanya nijifunze vitu vingi. Mimi huwa sishindi nyumbani ila weekend ndio...
29 Reactions
65 Replies
9K Views
Ninaishi peke yangu inje ya nchi, Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime...
6 Reactions
90 Replies
8K Views
Hii tabia ya wifi kuingilia ndoa za ndugu zao na kuleta mtafaruku ambao wakati mwingine kupelekea kwa ndoa nyingi kuvunjika inazidi kushamiri kila uchao. Utakuta hawa mawifi ndo chanzo cha...
7 Reactions
54 Replies
9K Views
1-Mwanamke ambaye anakuja kwako na akakukuta unakula ugali na kachumbari kisha akaamua kula nawe, huyo mwanamke oa. 2-Unakwenda naye hotelini na anaagiza ugali dagaa na maji tu, huyo oa kwani...
11 Reactions
244 Replies
17K Views
Kunae demu nimejuana naye kwa miezi 6 sasa, kiufupi ni Mwanamke wangu na mahusiano yetu yanaenda poa kabisa. Yeye ni mtu wa Arusha but anaishi Dar kwa ndugu zake, Majuzi kati kulitokea...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna mwanaume ananipenda sana naona tuna match dini na umri japo umri tumepishana mwaka 1 Mimi nimemzidi. Shida anavuta bhangi sijui ni mkumbo ila ni mpole mstaarabu. Naweza kumrekebisha au...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
Unakuta Umelala na Mama yake Kitandani mnapiga ' Soga ' Kenyewe kanalala lakini ikitokea tu pale Wewe na Mama yake mnataka Kulirudia Zoezi lililomleta Yeye Duniani hapa ( namaanisha Kufanya...
8 Reactions
85 Replies
10K Views
Habari za muda huu wana MMU, Twende moja kwa moja kwenye kiini cha uzi huu, Awali nilitoaga uzi unaosomeka NIMEZAMA KWENYE PENZI LA MAMDOGO WANGU , Jamani sitaki kuamini kuwa ni mimi niliefanya...
4 Reactions
64 Replies
13K Views
Daaaahhh kuna vitu ukivikumbuka unaweza kulia. Dunia iko kasi sana. Enzi zetu mnachati na mpenzi wako kwa sms mpaka unahisi Mungu dunia aliiumba kwaajili yenu tu. Sasa hivi mkichati kidogo tu...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Tusiache kutoa ushauri pale panapoitajika. Kuna anko wangu mmoja nilimpa ushauri kuhusu mwenendo wa mke wake kwa siku hiyo nilionekana mpuuzi leo, yamemkuta mke wake kamtumia watu wampore pesa na...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Usidanganywe na demu kama anakupenda kabla hamjaingia kwenye ule uwanja wa sita kwa sita a.k.a uwanja wa dhambi. Demu kwa mara ya kwanza anakuwa amekutamani tu na sio kweli kama anakupenda ndio...
28 Reactions
81 Replies
14K Views
Habari wakuu. Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi huwa anaikubali hiyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa...
25 Reactions
138 Replies
10K Views
Ukitaka sherehe ujipange sawa sawa. Hakikisha una pesa ya kutosha kuchukua gharama za sherehe pale Mambo yanapoenda tofauti. Vinginevyo utajikuta unawachukia watu kisa hawajakuchangia wakati sio...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari za Jumapili. Poleni kwa majukumu na pole kwa Mashabiki wenzangu wa SIMBA ila safarii bado. Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka 5 sasa (2016-2021) ila shida inakuja kwenye...
9 Reactions
110 Replies
13K Views
Umeenda semina Njombe, una ndugu yako kule. Unamtaarifu unakuja kumtembelea. Anakuambia karibu sana. Anakuelekeza panda daladala za Ramadhani shukia kwa Sanga. Unashuka stendi unamkuta ndugu yako...
19 Reactions
24 Replies
2K Views
Jumamosi nilipata mgeni binamu yangu kutoka Dodoma, ikabidi nimtoe out kubadilishana mawazo, tukiwa out nikakutana na ex-wangu. Duu akanishangaa sana, mara ya mwisho kukutana naye miaka miwili...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa...
15 Reactions
34 Replies
6K Views
Back
Top Bottom