Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu habari zenu, niende moja kwa moja kwenye topic Mimi kwa sasa ninaishi mkoa tofauti na mpenzi wangu, sasa siku ya tarehe 26 huyu dada aliniambia anaenda Dar kufata mzigo wa viatu na pia...
50 Reactions
288 Replies
23K Views
Salamu Wana jukwaa. Niende kwenye maada moja kwa moja,kama unavyojua kwa wale tuliozaliwa vijijini mwanzoni mwa miaka ya sabini mpaka mwanzoni mwa miaka ya themanini.Shule za sekondari zilikuwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanawake, mko nyuma ya keyboard. Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa...
6 Reactions
454 Replies
47K Views
Kwanza hakikisha unatafta mwenza (well for men only) 1. Mpite miaka zaid ya 10 2. Elimu yake kibongo bongo awe La saba or form4 or six 3. Awe hana kazi inayoeleweka yaan wewe ndio mtaftie mchongo...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwanini unafanya hivo? Unakuwa na malengo gani? Mimi nakuaga bize ila siku nikitulia naanza kuwasaka mmoja mmoja. Bahati mbaya unakuta wamebanwa na kazi au tayari wana wapendwa wengine na wengne...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini, Jana katika kupitia taarifa za group, la shule niliyosoma secondary, nakutana na ujumbe kuwa naima, anaolewa jumamosi ya leo, nimekosa raha ndugu zangu, kwani ni miaka takribani 13...
100 Reactions
321 Replies
28K Views
Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu. Sasa tatizo lilikuja vipi Mimi nili safiri kwenda zangu USA ndugu zangu wali nifanyia visit...
9 Reactions
91 Replies
9K Views
Tukiwa tunaadhimisha siku ya hedhi duniani mojawapo ya Jambo ambalo ningependa kulizungumzia ni uelewa wa wanaume juu ya matumizi sahihi ya taulo za kike au ped /sanitary pad. Je, wewe kama...
5 Reactions
67 Replies
4K Views
Sio siri hii kitu iko wazi na nimeshawahi kushuhudia watu wangu kadhaa wakikumbwa na hii kadhia! Unakuta mtu yupo na mpenzi wake katikati ya mahusiano mambo yanakuwa tight ghafla labda mchizi...
9 Reactions
113 Replies
8K Views
Wadau eeh! Its time. Najaribu kuvuta taswira ya wanawake warembo na wazuri. Huwa najiuliza hivi uzuri/urembo wao unaweza kuchangia kunogesha tendo. Mimi kwa akili yangu najuaga mwanamke akiwa...
5 Reactions
127 Replies
16K Views
Junior ni Mholanzi mwenye asili ya Tanzania. Wazazi wake walihamia Uholanzi wakiwa bado vijana. Maisha yake yote Junior ameishi Amsterdam. Alikuja Tanzania kwa mara ya kwanza akiwa na miaka...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Na imani mu wazima wa afya Kama kawaida tupatapo upenyo lazima tulete story kijiweni ili kijiwe kizidi kunoga kwa sisi wazee wa mitandaoni [emoji2956] Basi kipindi hicho Ni kijana mdogo ndio...
4 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu Kuna binti fulani wife material nimempenda Sana nimeona nijiingize na Mimi katika mahusiano mchumba nishamtongoza na sasa Bado ananifikiria fikiria kwa kuwa Bado muoga wa haya mambo Basi...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi nimeoa yapata miaka 5 sasa na tumejaliwa watoto wa 3 katika ndoa yetu na mke wangu, sasa shida inakuja imetokea nimefanya kosa na kuomba msamaha kwa mke wangu, itachukua hata siku 4 au 5...
4 Reactions
69 Replies
12K Views
Habari wakuu Kuna binti tulikua kwenye mahusiano kama mwaka mzima ila niliamua kuyavunja baada ya kutoridhishwa na mambo flani yaliyotokea mbeleni. Sasa baada ya kuachana kuna line nyingine ya...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Habari za siku wana JF, Kuna dada mmoja kabila lake msukuma tulifahamiana kazini kwangu nkaanza kumtania na tukajenga urafiki kwa muda mfupi tukawa tunachati kiasi, katika kunipeleleza kwake...
4 Reactions
65 Replies
5K Views
Nawasalimu kwa jina la nchi, Kupitia magroup fulani fulani huko Facebook na mtaani,nimeona kwa sasa ni kawaida kukutana na mtu mwenye majina ya pande mbili za kiimani. Mfano, Josephat Rashidi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Siku kadhaa zilizopita, kuna wanandoa wawili walikuja kupata huduma ofisi ninayofanyia kazi. Katika huduma hiyo kuna fomu walitakiwa kujaza kila mmoja, na kulikuwa na k kipengele cha kuzaja tarehe...
7 Reactions
45 Replies
7K Views
Kama ilivyokuwa 2020 vijana wengi waliowahi kuishi ndani ya mahusiano ya muda mrefu mengi yalivunjika na asilimia kubwa tulioumia ni sisi wanaume kwani hakuna kitu kinachouma kama kumuona mpenzi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanajamvi, Umofia kwenu! Mimi ni mwanaume mtu mzima kidogo, yaani miaka 44 hv.nimeoa na nna watoto. Mwaka 2015 hapa nyumbani kwangu nilipata shida ya msichana wa kazi za nyumbani, yule...
6 Reactions
73 Replies
7K Views
Back
Top Bottom