Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanajanvi kwema? Ninaleta kwenu stori ya kweli ya mkasa uliyonikumba mimi mwenyewe hivi karibuni. Miezi minne iliyopita nilikuwa safarini kutokea Singida Kuja Dar, nikiwa stend Singida nilipanda...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Screenshot itasaidia ujumbe wangu kueleweka kwa wepesi. Hii ni kero yangu kubwa tu. Mapenzi motomoto upeleke kwingine halafu bajeti upeleke kwingine. Hii sio sawa. Mimi kwenye hili huwa sitaki...
4 Reactions
7 Replies
902 Views
Kuna faida na hasara gani kuoa mwanamke aliyezaa na wanaume wawili tofauti mimi nikimuoa nitakuwa mwanaume wa tatu na nikizaa nae atakuwa amezaa watoto wa Tatu kwa baba watatu. Je hii...
2 Reactions
50 Replies
10K Views
Nawasalimia Wana jf wote nikitumai mu wazima na weekend hii tulivu. Mimi ni member mpya katika jukwaa hili kwa kuandika na kuchangia maada lakini nimeanza kuichungulia Jamii forum tangu mwaka...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mapenzi ukitaka kuyapima basi angalia tu kuhusu mabaya kama unaweza/anaweza kuyabeba na kuyavumilia. Asili yetu binadamu tumeumbwa na mambo mazuri na kupenda mazuri,hivyo mtu akikupenda kwa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Katika utafiti kidogo nilioufanya nimeweza kugundua mengi kuhusu uvaaji wa pete hususani ya ndoa au ya uchumba kwenye...
0 Reactions
17 Replies
24K Views
Nilikuwa nakaa jirani na washkaji fulani hivi wawili 2 wa kishua. Ilikuwa nipate mteremko wa kiungia state "United of America" kwenye intership kupitia mgongo wa washkaji zangu wa kishua ambao...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake. Jamani...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Habari ya asubuh wakulungwa? Natumai mnaendelea vema na ujenzi wa taifa...!! Niende kwenye mada sasa, iko wazi kwamba neno mapenzi lina tafsiri ndefu sana viumbe wenzangu na haipingwi. Sasa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wenyewe tumetulia tuli, na tumeridhika na hali zetu lakini wao/wanawake ndio wapo Mstari wa mbele kututafutia Tiba za kuponya tatizo hili. Barabarani utawakuta wanauza vipande vya nazi, mihogo na...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naombeni ushauri... Hivi ikitokea kuna binti umempa ujauzito na maisha yako hayaeleweki nikiwa nina maana kimaisha bado haujasimama vizuri unawezaje kutatua Aina hii ya changamoto katika...
6 Reactions
45 Replies
4K Views
Habarini wakuu, Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me). Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Mara nyingi huwa napiga mashati ya vitenge na chini namaliza kwa suruali la kitambaa. Matenge ya kijani na rangi ya njano nayakubali na chini suruali ya darka blue. Sometimes nagonga kaunda suti...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Yea Ace Hood See mama, all I want you to do is hold it down for me I want you to be my ride or die While I go get this money, I promise I'm get us out the hood baby Even though I'm in the streets...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Unapoanza safari ya mapenzi, shika muongozo huu na uuamini; Amini katika mapenzi siku zote. Siyo tu yenyewe kama maneno, bali mapenzi katika maana na mzani wake sahihi. Amini kuwa zipo nyakati...
3 Reactions
16 Replies
9K Views
Nilikutana na mama mmoja ana real estate, nyumba zake hazipungui 20. Nilikua na hamu ya kufahamu alianzaje. Aliniekeza kuwa alipata ajira yake ya kwanza akiwa na miaka 26. Kazi ilikua nzuri na...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Mawasiliano ni nyenzo moja nzuri na muhimu kwa wanandoa. Iwe umesoma au haukusoma, uwe kijijini au mjini, uwe na hela nyingi au chache lakini huwezi kosa kabisa. Hebu tafakari, unaoa ama kuolewa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Praise The Lord! It is tradition kila mwaka siku ya mwanamke duniani lazima nitoe my 2 cents humu Jf, and this year hatutovunja that tradition. Kwanza natoa shout out kwa CRDB bank siku yaleo...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wakuu, Hapo awali kabla magojwa yanayosababishwa na ngono zembe kuwepo kwa wingi, kulikuwa na tabia hii hapa... 'Mwanaume anatongoza msichana na akikubaliwa, wanaanzisha mahusiano ambapo...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Za kazi wadau. Maisha yanahitaji fedha sana kuyaendesha.Ila wasichana mmekua na tamaa na kuweka wazi shida zenu mapema zaidi. Kamati kuu kama tulivyokubaliana, hakuna kuwaoa watu wa dizaini hii...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom