Sitosahau mapenzi yalivyonilaza polisi.
Hivi ushawahi kupiga, kupigwa au hata kulazwa polisi kisa mapenzi? Leo naomba tutoe uzoefu wetu katika kuyatafuta mapenzi umepitia mikasa gani ambayo kwako...
Ushawahi kutoka deti na mwanamke halafu ukafikia mahali katika chat yenu unaishiwa na maneno ya kuongea?
Ama umeagana na mwanamke mtoke deti siku ya pili halafu umekuwa ukikesha siku nzima...
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyosema ulianzaje kujipanga na maisha kabla ya kuingia kwenye ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba.
Hebu tupeane mawazo wenzetu mliioowa mlianzaje...
Hii kauli imenishutua, ni kauli kutoka kwa rafiki yangu ninayemfahamu kwa muda mrefu. Ndoa yao ina miaka 5 sasa na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike, kwa haraka haraka unaweza kuiona ndoa...
Tumezaliwa watoto watano kwa mama na watoto 9 kwa baba.Mimi ni mtoto wa tatu kwa mama na ni mtoto wa tano kwa baba.
Mimi nina bahati kubwa kwamba nimefanikiwa mapema kwa upande wa elimu na upande...
Hivi juzi kati nikiwa nimechill geto mida ya jioni nilimuona Shem wangu (Kwa bahat mbaya) akiwa kwenye harakati za kutoka kuoga..(kanga ilidondoka) . Ila yy hajaniona... Oooh nikafanikiwa kuona...
Wakuu habari.
Moja kwa Moja kwenye mada.
Mabraza mliotangulia kuoa, ni ushauri gani mfupi mnaweza kutupatia sisi ambao tunatazamia kuoa hivi karibuni?
Vitu kama umri wa kuoa, kushare mishahara...
Hii hali ipo kwa kila dereva? Nina tatizo la kutofika kabisa mwisho wa safari hata nikibadilisha rubber maana mimi ni mpenzi wa kutumia raba naogopa mpigiri.
Juzi moja nilipata gari moja hivi...
Naleta huu uzi kwa niaba ya wanaume wenzangu. Kiukwel tunapenda sana kurudi nyumbani ila tukirudi mapema kelele ni nyingi kuliko kuachwa upumzishe akili.
Kama wewe ni mwanamke punguza kelele...
Ni kitu gani huwa kinakukata stimu wakati wa sex(kunyanduana)?
Kwangu mimi manzi akiwa ananuka mdomo, ananuka mkojo, au papuchi inatema!aisee hapo vaibu yoote inakata hamu yote kwishney!
Vipi...
Habari wataalamu, na tumaini ni wazima wa afya.
Leo nimeona kituko na nilikuwa sijajua Kama wadada au watu ni waoga wakujua afya za au kupima HIV.
Kimsingi kujuana afya wapenzi inapendeza Sana...
Salamu kwa wakubwa zangu na wadogo,
Ipo hivi katika maisha haya kuna changamoto familia zinapitia kiasi kwamba unakuta waliooana wanatengana na kwenda kuoa/kuolewa kwingine.
Tuseme mama ameolewa...
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani hakuna cha mke wa...
Sababu za Mahusiano/Ndoa kuvunjika:
Kumekuako na maswali mengi sana kuhusu Mahusiano/Ndoa kuvunjika.
Swala hili wakati mwingine ni tatizo kubwa katika jamii kwani tumekua tukishuhudia ndoa nyingi...
Habari kaka na ndugu zangu,
Nimekuja na swali kwenu wanajukwaa nataka kujua kuhusu pete ya uchumba. Sasa nimeingia kwenye penzi la kweli na tunahitaji kuvishana pete ya uchumba. Binafsi mimi ni...
Ni ile hali ya kuwa na mpenzi ama mke ambaye ni Zero brain kiasi ambacho hana mchango wowote wa mawazo katika mahusiano!
Utakuta unamwambia Dear nimepanga kufanya hivi na vile wewe unaonaje...
Kisa cha kweli kilichompata rafiki yangu.
SEHEMU YA KWANZA
Umasikini ulikua chanzo cha mimi kugundua mapema kabisa tofauti iliyokuepo kati ya baba na mama yangu, Nililala na baba na mama yangu...
Habari za adhuhuri wapendwa!
Leo nidamka mapema kwa shughuli zangu za hapa na pale, nikaingia kwenye gari siunajua tena purukushani za hapa na pale nikapata siti eeee bana we!
Siti mbili mbele...
Habarini.
Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi.
Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi, 35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.