Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Aisee kuna wadada warembo "pisi kali" ambao hawapendi kabisa hela, kontrare tu popyula bilifu. Mimi binafsi nimeshakutana na wadada kama watatu wanne hivi ambao pamoja na kuwa nao kwenye mahusiano...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Bill Gates And Melinda Gates Divorce: Reason Behind The High-Profile Split That Shook Everyone Bill and Melinda Gates are the second ultra-rich couple to split up in the US. By India.com Lifestyle...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa...
13 Reactions
128 Replies
10K Views
NI STORI NZURI YENYE FUNZO HASA WALE TUNAOCOMMENT KTK MITANDAO YA KIJAMII BILA BUSARA, HEKIMA WALA STAHA. MY STORY: KATOTO KENYEWE KABAYA, NANI ATAKACHANGIA, ANGEKAACHA KAFE TU! Tofauti na...
33 Reactions
48 Replies
5K Views
Alizaliwa miaka 8 baada yangu. Nikiwa mtoto wa 3 kuzaliwa kati ya watoto 5, huyu yeye ndie kitinda mimba cha Mama Fohadi na ndiye kaka wa mwisho wa familia. Japokuwa nina upendo wa dhati kwa ndugu...
23 Reactions
77 Replies
6K Views
Ghafla mpenzi wangu amenichukia na kunikasirikia kutokana kushidwa kumtimizia jambo lake alilokuwa akilitaka kutoka kwangu kushidwa kutimiza imefika hatua hatoi ushirikiano wowote wa kitu chochote...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinachooumaa kama kuachana na mtu uliyempenda sana au mlipendana nae sana. Hakuna kitu kinachoouma kumuona mtu uliyempenda sana akiondoka kwa furaha toka maishani mwako huku...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za weend mabibi na mabwana! Hivi kuna wanaume wanaojiuza au kutoa huduma kama wanazotoa wanawake makahaba?? Yani nao wanajipanga kama kawa kuonesha ushindani wa viungo vyao ama inakuaje...
-1 Reactions
56 Replies
3K Views
Ndugu zangu, kuna mambo flani huwa yananichanganya Kuna mtu mmoja tunaishii naye nyumbani (mimi nakaa kwa baba mdogoo bado sjafanikiwa kujitegemea). Mtu huyu ana nafasi kubwa kwa baba yangu mdogo...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya. Nisipoteze muda iko hivi Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga...
17 Reactions
227 Replies
21K Views
Vijana wengi wakike na wakiume wanapotafuta mke/mume huandika kuwa wanamtaka mcha Mungu. Hivi ni nani atakuambia kuwa mimi simchi Mungu? Kumcha Mungu (kumwogopa Mungu) ni jambo la ndani ya moyo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna harusi ya dada yake keshokutwa, sasa ameanza kunipanga muda mrefu kwelikweli kwamba niwepo. Sasa dah! Mimi kama baharia huwa nakwepa sana hizi public appearance maana mimi najulikana flani...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Let me tell you a story of how you will meet your Soulmate/ May be you have already met her/him. 1. You will meet him/her at the most inconvenient place and no one between you will even know that...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wadau, Kwa wale wanaume tulio katika ndoa ambazo si changa mtakubaliana nami kwamba wengi wetu tumekuwa tukikumbana na majibu maarufu kama "nimechoka","naumwa","we nawe unataka kila...
4 Reactions
62 Replies
20K Views
Mimi nikiwa sina stress huwa sina mood kabisa ya Ku sex na ata kma nikisex nakua sienjoy kabisa nafanya tu kwa vile labda mwenzangu anataka kufanya. Lakin nkiwa na stess nakua active sana na hamu...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Nina rafiki alikuwa ananisimulia jinsi hali yake mahusiano yake anayopitia amepatwa na hofu muda wowote mpenzi wake atavunja mahusiano na hofu hiii inatokana dalili za mabadiliko ya tabia na...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Bob Marley's wife, Rita, once took a bullet to the head that was aimed at Marley in an attempted assassination in Kingston. Despite being shot in the head, she survived, due to her thick...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mimi nimewahi kuwa mwalimu wa sekondari, shule ya mchanganyiko. Nina uhalisia fulani na mazingira ya shule za kutwa. Kwa kipindi hiki ambacho elimu ya ngono inafundishwa kuanzia shule za msingi...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni jambo linalonitatiza aswaa wakuu, kwa kweli sasa nimepata ule Ubavu wangu niliokuwa nautafuta,kwenye hizo siku zangu zote za uchakataji. Nimepata binti mzuri, wife material mwanamke ambae ndio...
0 Reactions
66 Replies
4K Views
Back
Top Bottom