Katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia inasadikika hakuna kitu ambacho kina nguvu sana kama mahusiano ya mapenzi, hata hivyo kutokana na nguvu hiyo ya mahusino, watu wengi hufikiri mwanaume...
Kuna wanawake wengi sana (Wa Imani ya Kikristo?) ambao ndoa na maisha yao yamevurugwa mno na manabii wa Uongo...siyo katika ndoa na mahusiano tu bali hata katika biashara, masomo na kazi zao...
Kawaida ya wanaume tumeumbiwa tamaa, hakuna mwanaume asiyemsaliti mke wake iwe sirini au wazi wazi, mimi na mke wangu tumepitia changamoto nyingi sana kwenye maisha, amenivumilia kwa mengi toka...
Usije ukakimbilia kumuacha mpenzi wako uliyedumu naye miaka kadhaa kwa kuamini eti utapata mwingine utakuwa umefeli sana, utakuja upate mwingine hata mwezi usiishe ukaona bora yule uliyemuacha...
From ma heart i can not protect u from cheating but its ma job remembering u,kuna vitu unafanya that affecting me 4 real,ww ni handsome and i know dat unakuwa approached Sana please usifanye vitu...
Kitendo cha kukumbatiana sio tu kinaleta upendo na kuileta jamii pamoja bali kina faida kubwa za kiafya na kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa, watu hushauriwa kukumbatiana angalau mara 8...
Mtie moyo mama mjamzito. Shika mkono wake, ongea naye taratibu, muonyeshe jinsi ya kupumua pumzi nzito zinazokwenda polepole.
Msaidie kumgeuza, kutembea, kubadilisha ukaaji, na hata kutoa sauti...
Kwa ajili ya kujifungua salama, andaa vifaa vifuatavyo: -
Sabuni na maji kwa ajili ya kunawa mikono mara kwa mara, kumsafisha mama, na kusafisha vifaa tiba. Vilevile andaa beseni au bakuli kwa...
Guys, habari zenu,
Mi sijui tuseme ni tatizo au ni nini, nikikutana na mwanamke kimapenzi, nikijaribu kuvaa condom, mashine haisimami kabisa ila nipige peku, nachochea haswa. Mnisaidie, kwani...
Nimekuwa mkazi wa kudumu katika hii dunia almost miaka thelathini, nina experience ya kutosha! Nimesoma Mbeya, nikaenda Iringa halafu nikamalizia dar, technically mimi ni mtoto wa mjini! Hiyo...
Habari zenu wana jukwaa
Poleni na majukumu na pilika pilika za wiki nzima
Nina swala moja linalonisumbua sana kichwa kwa sasa, na nimekuja kwenu kuomba ushauri wa jambo hili.
Mimi ni mwanaume...
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari...
Bado sijutii uamuzi niliofanya,
Hapo awali mtoto nilikuwa namlea kimayai huku nikijipa moyo sitaki apitie shida nilizopitia kumbe nilikuwa navuka mipaka kabisa ambayo haikuwa vema kwa mtoto...
Yaani ukiachwa halafu hauna backup utataabika sana unajua ni ngumu sana kupata demu kama huna demu! Hakikisha unakuwa na backup (sio mchepuko)ili siku ukisikia nyuma geuga unageuka na backup yako...
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa sana la ndoa sogea tuishi hali iliopelekea kupoteza na kuondoa heshima na ladha ya ndoa kwa ujumla.
Unakuta binti jioni yupo kwao asubuhi mnaamka mnamwona kwa...
Waungwana hasa wazee wenzangu nipo kwenye taharuki kubwa hapa. Nilikuwa na mtalaka wangu mmoja juzi kati alikuja kunitembelea kama kawaida tukawa katika majonzi ya kuvunjika kwa pambano la watani...
Mniruhusu nicheke kwanza....Girls, you wanna know?
Sababu chache kwanini Wanaume ni waongo hizi hapa:
1. WANAJUA
Uongo wa Mwanaume ni kama muvi. Kabla hajadanganya anapanga angle zote na majibu...
Wataalam mnaelewa maana ya hii kitu? Mke kuhakikisha anatumia maji yaliyotumika kufulia kudeki uvunguni kila mara. Na usiku mke kuweka sufuria uvunguni likiwa na tango, mkaa na chumvi inamaana gani?
Leo naja na huu uzi kwa gender zote but especialy wadada
Kuna watu wanatunza meseji nyie,balaa..Hata Makumbusho ya taifa pale Posta haiko deep kama wao.....Anatunza meseji za tangu unamtongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.