Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habri zenu wadau Mimi nimekuja hapa kutokana na hii tabia ambayo nimekuwa nayo miaka ya karibuni na naona inazidi kukita mizizi. Kifupi ni kwamba siwezi kabisa kubembeleza mwanamke, yaan akisema...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Licha ya kwamba marafiki zangu wengi Ni dungadunga na madungwadungwa,mm sijaathiriwa na hiyo tabia, bado nimetulia zangu nikiwa single nikitafuta anayeendana na mimi; mwenye mapenzi ya kweli na...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari za jioni jf, napenda kutanguliza shukrani zangu. haya moja kwa moja nijikite kwenye mada, ni kama wiki mbili zimepita, toka msichana wa jilani atoroke kwao. wazazi wake...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu mimi napenda sana wadada weusi yaani nikiwaona huwa nachanganyikiwa na sababu zinazonichanganya ni:- 1.Ni wa mooooto 2.Rangi yao hainunuliwi dukani kama weupe 3.Hachakai haraka 4.Halafu...
33 Reactions
686 Replies
158K Views
Wakuu habari Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa mwanamke asiyezaa, nahisi huyu binti anataka kuzeekea...
6 Reactions
147 Replies
10K Views
Kwenu wanaume, najua kuna wakati huwa mnatawaliwa na hasira lakini kabla ya kumtusi au kumkashifu mwanamke rudi nyuma mtazame mama yako, dada zako au hata mabinti zako kama upo mbali nao tazama...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
Hivi wakuu nanyie mnaona kama mimi au? Mbona kama ile Tamaduni yetu ya kutembeleana haipo tena. Unajua ile tunakua, ilikua unasikia..Likizo hii tunaenda kwa Shangazi..kwa Baba mdogo. Kwa...
12 Reactions
80 Replies
7K Views
Hello Jamiiforum, moja kwa moja kwenye mada. Neno ndoa linachukuliwa kirahisi sana kwa sasa, na hii inachangiwa sana na Mambo yafuatayo. Mwanamme kuishi na mwanamke pasipo kuoana, almaarufu Kama...
9 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wanajamvi pendwa la MMU. Ni siku ya tarehe 05/05/2021 kwa wale ambao siku ya jana 04/05/2021 ilikuwa siku ndefu poleni na wale ilikuwa kinyume chake hongera kwenu. Acha...
5 Reactions
56 Replies
6K Views
Hapo mwanzo nilikuaaga muumini wandoaa,maarufu kama sogea tukae,kipind hicho nasoma chuo kimoja maarufu nchini Tanzania. nikiwa na geto langu moja kali ukutani Tv yangu ich 43 ikisindikizwa na...
6 Reactions
33 Replies
7K Views
Mnamo mida ya jioni( saa kumi hivi), ikiwa ni majira ya spring katika mji wa Houghton (Michigan) nilikuwa nimetoka kufaidisha kinywa katika mghahawa wa Rodeo Mexican Kitchen, nilipokea simu ya...
32 Reactions
180 Replies
30K Views
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana. Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach...
14 Reactions
215 Replies
14K Views
Nimejikuta naandika hapa kwa namna nilivyojionea mwenyewe kwenye mahusiano. Unakuta uko kwenye mahusiano na mtu...unamsaidia mambo hata kama si kuyamaliza ila yale ya dharura unayapa kipaumbele...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Limbwata ni dawa ya kumpumbaza mwanamke au mwanaume. Hufanywa na mwanamke kwenda kwa mwanaume au mwanaume kwenda kwa mwanamke. Wazigua wanayo dawa ya limbwata ambayo ni mzizi mdogo sana...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
KUACHWA NA MTU ULIYEMPENDA ZAIDI SIO MCHEZO ZIFUATAZO NI DALILI ZA MTU ALIYEACHWA ~ Muhanga wa tatizo hili hukosa utulivu wa akili katika kufanya na kukumbuka mambo yake binafsi na hata ya...
5 Reactions
23 Replies
6K Views
1.Hatua ya kwanza piga moyo konde kukubali matokeo kila lenye mwanzo Lina mwisho huyo sio wako tena. 2.hatua ya pili futa kumbukumbu zote kuhusu yeye ikiwemo namba za simu picha Meseji n.k ili...
7 Reactions
18 Replies
5K Views
Unavyodhani ndivyo, sivyo na huenda ukashangaa sana nikikuambia huu ukweli kuhusu wanawake. Huenda ukafikiria wanawake wengi hupenda wanaume wenye pesa na magari lakini sivyo hata kidogo. Kuna...
-1 Reactions
32 Replies
7K Views
Miadi ni saikolojia. Hizi ni kanuni za mahaba ingawa hazijaandikwa kama za TFF Wanawake mjifunze kutoka kwenye taarifa ya TFF! Mwanaume unapompa miadi kila kitu hufanya kwa kuzingatia...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Mahusiano ni kama sanaa kuna wakati mahusiano yanaweza kukupa stress na msongo wa mawazo kiasi kwamba ukajutia kwanini umeingia katika mahusiano huyo mwanamke au mwanaume maana kuna time unaona...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaamuni wakuu. Mahusiano yanapo vunjika either ya mke na mume au wapenzi tu wa kawaida walioshibana ikatokea sintofahamu baina yao hadi kupelekea kuachana je kati ya Me au Ke.... 1: Nani huwa...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom