Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni....Nimeingia mwanza mida ya jioni nikachukua tax mpaka hotel moja mpya,nikalipia rum na kukabidhiwa keys.Wakati naelekea rum nikapita kwenye ukumbi wa...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Leo nimekumbuka hiki kisa, nikaona weekend hii ni-share na Wanajamvi wenzangu, sijajua kama hapa ni jukwaa sahihi au la! Miaka mingi iliyopita nilikuwa nchi za watu kimasomo, wakati huo nikiwa...
183 Reactions
176 Replies
23K Views
Habari za Jumapili. Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama Sasa ujinga ni kuwa kufika tu...
68 Reactions
234 Replies
17K Views
Kuna mtu alinifunza kuipenda haki. Kwa kuyapitia maumivu na mazito nilijifunza kuwa na huruma. Kwa mara ya kwanza nikamuamini mwanamke. Ama kweli mapenzi ni matamu mno, nilijikuta nazama zaidi...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Nyumba tunazoishi za kupanga, nyumba moja familia tano. Mke wa mtu unavaa suruali unapoinama kuosha vyombo au kufua chupi jeupe linaonekana kiunoni limekatika na kuonyesha shepu lote la makalio...
4 Reactions
58 Replies
7K Views
Ndio Kama nilivyo Anza na kichwa Cha habari hapo juu. Ni ukweli usio pingika kwamba dunia ya Sasa imejaa wanawake wapuuzi,matapeli,majizi, majuaji nk. Hivyo basi kuishi na watu wa sampuli hiyo...
20 Reactions
69 Replies
5K Views
Habari za muda huu Hadi naileta humu hii mada basi ujue suala lishakuwa zito.. Kuna mdada mmoja nilimkopesha hela alikuja akanililia shida kwani alinambia kuna dharura kaipata alikuwa anataka...
15 Reactions
119 Replies
12K Views
Leo nimeamua kuleta story yangu ya kweli Naitwa Nelkonphy ni mzaliwa wa Mbeya greencity Na wazazi wangu ni wenyeji wa Tukuyu mbeya ila waliamia Mbeya mjini hivyo Na mm niliaama shule toka Tukuyu...
1 Reactions
60 Replies
5K Views
Wanajamvi salamu, Kuna ukweli upi juu ya hizi nadharia. 1. Mwanaume unaweza ukawa na mke na michepuko kibao lakini bado ukawa na mapenzi ya dhati kwa mkeo 2. Mwanamke akishaanza kutoka nje ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Baba yangu aliwahi nambia, usije thubutu kumuacha mkeo kwa sababu zako binafsi, ukaoa mke mwingine na usije thubutu kumuongezea mkeo mke wa pili. Kiukweli wakuu, kama mtatoa muda wa kutafakari...
13 Reactions
66 Replies
6K Views
Hello WanaJf Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi? Mimi: Hapana Bibi Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja...
7 Reactions
110 Replies
9K Views
Miaka ya 1980-90 kuna msichana mrembo aliishi Oyster Bay na baba yake. Baba yake alikua mfanya kazi wa ndani wa Mzungu na walipewa servants quater. Yule binti alikua na akili sana shule na...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
Nilivyosafari kuenda kwenye shughuli zangu za biashara takriban mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu hayupo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa huko na nyumbani hamna mtu yeyote...
28 Reactions
295 Replies
21K Views
Wadau nauliza kama UKIMWI upo maana uzinzi na uasherati baina ya wahusika umekuwa kama mnyororo fulani na hakuna anayejali. Basi ukigusa huo mnyororo, imeisha hiyo. Ni dhahiri kwamba mlolongo wa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Salam kwa jina la jamhuri[emoji4][emoji1362] Currently nimekutana na cases mbalimbali pamoja na hii inayohusu binti kuzimia kwa kuzidiwa na pumu wakiwa katika privacy zao, Kifafa na changamoto...
12 Reactions
86 Replies
5K Views
Jamani wanaume wenzangu ulimwengu umebadilika sana kwa sasa, zamani ilikuwa tuvumiliane wakati wa shida na raha, siku hizi pesa kwanza mapenzi badaae, asije akakudanganya mwanamke eti anakupenda...
9 Reactions
30 Replies
5K Views
Alinipiga chini miaka kadhaa iliyopita,mwaka mmoja baadae nikasikia ameolewa, kwa mara ya kwanza baada ya kuachana tumeonana mwaka mwezi uliopita, ndipo nikaamini ule msemo "WAPENZI HUWA...
31 Reactions
137 Replies
54K Views
Wadau natumai mko poa. Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu...
2 Reactions
59 Replies
4K Views
Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja. Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom