Ndugu zangu, nimekuwa kwenye stress za muda mrefu kiasi cha kupata panick attacks mara kwa. Nimekuwa mtu wa kunywa antidepressants sasa.
Naombeni mnipe neno la faraja angalau nione kuwa dunia...
Hali bado sio nzuri kwetu wanaume kama bado wanawake mtaendelea na msimamo wenu ule ule kuangalia mwanamme una nini au unafanya kazi gani naona mwisho wenu utakuwa mbaya zaidi.
Mmevunja mahusiano...
Kwa wanaume waliokamilika na wanaojitambua kweli kweli mwanamke anaachwa kwa sababu kuu mbili tena bila vikao wala mjadala wala ushauri!
1:Mwanamke msaliti hastaili msamaha wa aina yeyote fukuzia...
Ukweli bado vijana wengi tuna dhana ile tunaamini mwanamke ambaye hakuombi hela ndo anafaa kuwa mke sasa limeibuka wimbi kubwa la wanawake wapiga mizinga ukisikiliza maoni ya vijana wanasema...
SEX IS SWEET BUT THEIR IS POISON BETWEEN LEGS
Most men's falls are caused by several girlfriends.
Sex is a spiritual encounter, I want to be corrected, not all girls have a good mind, some are...
Habarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini...
Mahusiano ya kimapenzi huwa na mazuri pale mwazoni, wengine hudai kuwa unavyoanza mahusiano mapenzi mwanzo ndivyo hukua.
Je, ni kwanini baadhi ya mahusiano ya mapenzi huvunjika na mengine hudumu...
NIME IKUTA MAHALI
UKIAMUA KUWA NA MAHUSIANO NA MUME WA MTU LAZIMA UKUBALI KUWA MTUMWA WA MAMBO YAFUATAYO:,
1.Baby samahani dakika moja, wife anapiga simu.
2.Baby muda umeenda Sana mke wangu...
Mkuu,
Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufilisi.
Hizo hela wekeza kwenye miradi, someshea ndugu wa familia yako yaani kaka na dada zako wa mama mmoja ili kupunguza utegemezi.
Kama umeoa hizo...
Kuna dada msomi mwenye career yake, mume na watoto wawili. Wana nyumba nzuri watoto wanasoma shule nzuri. Maisha yake aliyaona yamekamilika. Mpaka siku alipokua na shida na msichana wa kazi...
Nastahajabishwa na ukojoaji wa huyu dogo
Ni mtoto wa wiki 1 sasa tangu azaliwe ni wa kiume ,akikojoa anarusha mkojo mbali utafikiri ni mtu mzima
Kwa wataalam wa mambo hali hii inasababishwa na...
Ndugu zangu!
Hii ni zawadi kubwa na ya kwanza unayoweza kuwapatia wanao kabla hata hawajazaliwa. Wapende na uwaheshimishe wanao, wachagulie mama bora chini ya jua.
Hata kwa mujibu wa mandiko...
Habarini wadau,
Wale wanaume ambao ni waumini wa Katoliki au Lutheran ambao waliwahi kupata wachumba kutoka haya makanisa ya kilokole,ni changamoto gani mlipata kutoka kwa hawa wapendwa...
Hello guys..
Hebu leo tujadili juu ya hili kovu la kuzaliwa nalo ambalo hugeuka tena kuwa kachumbari ya mahaba na kuleta msisimko wa nguvu mara tu sehemu hii inapoonekana especially kwa wanaume...
Habarini za wakati huu mabibi na bwana wa JF.......!
Mimi ni kijana wa kwanza kuzaliwa kwa wazazi wangu.
Kwa sasa nina umri wa miaka 27, kama mjuavyo huo ni umri sahihi kabisa wa mimi kuwa na...
Mimi ni mpenzi wa hizo timu mbili, nikivaa jezi za timu hizo warembo wanakuja kunipa namba wenyewe, imenitokea mara nyingi sana. Halafu mimi kwa sasa nimeokoka sitaki kabisa dhambi, kuna siri gani...
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.
Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda...
Salamu zenu wakubwa,
Mimi ni kijana mwenzenu wa Kitanzania mwenye miaka 29, sina mtoto wala mke, nina Diploma ya Ualimu na kwasasa nafanya kazi katika moja ya shule binafsi hapa Dar...
Wakuu heshima kwenu
Kuna binti nilikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi kwa muda wa miezi 3
Yeye alimaliza form 4 mwaka juzi na hakufaulu kulingana na alivyonambia
Nikiri sijawahi kufanya naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.