Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna ongezeko kubwa la mabinti kuzalia home kwa wazazi kabla ya kuolewa. Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na 1. wanawake wengi kukata tamaa...
8 Reactions
60 Replies
8K Views
Wakuu kwenye mahusiano ya kimapenzi kuna watu unakutana nao ambao kwao hamu yao ya kufanya mapenzi imepita kiasi, yanii wao kila muda wanataka. Hebu fungukeni visa mlivyokutana navyo na kama...
9 Reactions
265 Replies
34K Views
Nimetoka kazini nimeshuka zangu kituoni paaap! Ghafla namuona ex wangu ambae hatujaonana takriban mwaka naaa hivi! Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna mdada nimekutana naye wiki hii anafanana sana na Mama yangu pia na mdogo wangu wa kike. Vijana mbalimbali wahuni wanamtongoza ( ofcourse wanataka wamchezee), nimejikuta roho yangu inauma...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Hi guys, Naomba kufahamishwa usahihi wa hii nadharia ya kila mnayependana kwa dhati ni lazima muonane ina ukweli kiasi gani? Maana ukizungumzia tu upendo wa dhati halafu hayo mazungumzo...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi.natumai mu wazima kabisa. Siku za nyuma kidogo nilileta Uzi humu kuhusu kutoelewa ujauzito alioupata mpenzi wangu .Na hii ni kutokubaliana na maelezo yake ambayo yanakinzana...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Hello Guys Leo ningependa tushee visa, hisia, vituko n.k Ilikuwaje kwa mara yako ya kwanza kupata utamu/kuingiliana na mwanamke/ku do /kula tunda /kuonja papuchi? Mie nakumbuka ilinichukua...
7 Reactions
34 Replies
9K Views
Ndugu zanguni habari zenu, nimekuja kwa ushauri wenu pamoja nakuweza kupanua mawozo yangu nakupunguza stress za kifamilia. Mimi nina mke na tumejaliwa watoto wawili (2) wakike na wakiume, Mwaka...
47 Reactions
165 Replies
20K Views
Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi. Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka...
7 Reactions
138 Replies
9K Views
Habar wadau jf.. Binafsi napenda kutoa haka ka kisa cha kupigwa kelubu(kibao)na mwenza wako a km ni wife or girlfriend ..ilikuwaje,kwa sabab gan na baada ya kupigwa ulifanyaje/ulimfanyaje km ni...
7 Reactions
161 Replies
11K Views
Habari wana MMU. Bila shaka sitakuwa nje ya content ya jukwaa nikisema mahusiano yangu na baba mzazi wangu wakati niko teen's ages yalinifanya niishi kwa wasiwasi sana nikijuwa nanyimwa haki na...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Salaam, Ukiwa mwanaume mwenye lengo la kuanzisha familia na mwanamke uliemchagua, kisha ukajua shemeji yako mtarajiwa wa kike na mamamkwe wanafanya hila ili ukishampata mwanawao wakuteke uwe...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari wana JamiiForums, Imezoeleka kwa watu wengi na katika jamii nyingi watoto wa kike yaani dada zetu na mama zetu ndio wenye hulka ya kusuka. Lakini siku hizi wanaume wengi wameiga mitindo ya...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Mahusiano hujengwa na vitu vingi kama mapenzi, imani, huruma n.k towards mwenzi wako. Mahusiano 'ideal' ni yale ambayo unampenda, unamthamini, unamhurumia, unamuamini, unamtamani mpenzi wako...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Kama kuna mwanaume ambaye mmekutana online na anaweza kuchat nawe mpaka saa nane usiku basi jua kua huyo mwanaume si wako, anaweza kuwa mume wa mtu au ana mpenzi wake ambaye anampenda na wewe ni...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Mwaka 2018 nlienda kumsalimia dogo wangu wa kiume shuleni kwao boarding. Kipindi hicho nipo chuo mwaka wa pili. Tulipiga story sanaa na kuzunguka mazingira ya shule, akanitambulisha kwa marafiki...
10 Reactions
62 Replies
6K Views
Hii nimeikuta kwenye mahojiano sehemu kwenye blog moja, mdada mmoja mrembo tu umri 32yrs yeye anadai hataki mtoto kwa vyovyote vile. Kaenda mbali sana hadi kuwa na watoto sio garantii ya wao...
10 Reactions
446 Replies
26K Views
PDA Is Off-Limits Although the couples in the royal family might love each other dearly, they are not supposed to show public displays of affection. Marrying a prince might seem like an actual...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Back
Top Bottom