Majuzi mdogo wangu alinitembelea nyumbani baada ya stori za hapa na pale akanieleza sababu ya kunitembelea.Akanieleza kuhusu matatizo yanayomsibu katika mahusiano yake,maelezo yake yako hivi...
Mzazi akikupa hadithi za ujana wao mwambie sawa nimekuelewa,, ila usinifundishe namna ya kuishi na Mzazi mwenzio.
Kuna wazazi hata kama alimfumaga baba na mchepuko siku ukipata kazi itakuwa...
hasa wa kitanzania kuwa mwepesi katika kukata kiuno akiwa anacheza mziki au ngoma au kudatika na mlio fulani lakini binti au mwanamke huyo huyo ukiwa nae kitandani katika suala zima la kufanya...
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa...
Mim nikijana nIna 26. Kuna dada nIlimpata chuo ananipenda sana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhusu ndoa.
Nami ninamthamini...
Wasalamu wanaJF..
Nimekuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti sijaachwa kama nilivyoachwa kwenye mataa round hii.
Mtoto mkali wa kitanga, nimetongoza kwa miezi kadhaa, kanielewa mapenzi yakaanza...
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nakusihi wewe kijana ambae bado hujaoa, kamwe usioe wala hata kupata wazo la kumuoa mwanamke anae au aliewahi kuishi sijui alipanga akaishi mwenyewe.
No...
Mambo vipi.
Jamani leo nimekuja na shida moja nimekua Sina kabisa hamu ya tendo la ndoa nashindwa kuelewa shida ni nini?
Lakini kinachotokea ni kwamba nasimamisha mnara Kama kawa lakini Raha...
Kuna ujinga mmoja ambao wadada wanafanya, narudia ujinga ambao mnafanya. Umekutana na mwanaume, ni Malaya, yaani wakati unakutana naye hata kabla ya kumkubali ulishajua kuwa ana wanawake zaidi ya...
Nimekua nikitafakari sana, visa na migogoro ya wanandoa na mahusiano ya kawaida , ni matokeo ya utandawazi , asilimia kubwa ya wanawake wanataka kushindana na wanaume,
Kiasili mwanamke aliumbwa...
Habarini wana jamvi. ..
Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha...
Wana JF,
Kwanza kabisa niseme ukweli mimi nina miaka 31, katika umri wangu niliwahi kulala na wanawake wawili tu, mmoja wapo ni mke wangu niliyemuoa sasa.
Nikiwa kidato cha kwanza wazazi wangu...
Mimi imenitokea, mwaka 2017 npo chuo, Nlitokea kumpenda binti wa kiislamu,nlitengeneza mazingira ya urafiki, ila wa upande mmoja yani mm ndio nimtafute.
Nlimjali Sanaa ili kuongeza urafiki tu kwa...
Uki date na vi slay queen [emoji73] akili zao zote wamewekeza kwenye mitandao ya kijamii! Mama ya kijinga jinga ya kupostiana ndio changamoto kubwa sana aisee! Nilikuwa na tabia ya kupost ili aone...
Habari wanandoa na wanauchumba.
Hivi unajua kuwa mwenzi wako anapoamua kujenga nyumba au kufanya jambo la kimaendeleo bila wewe kujua hapo anajiandaa kuishi bila wewe?
Hii dunia ina mambo sana...
Wandugu
Hili janga ni kubwa sana kwangu, nimekuwa na kawaida ya kununua mahitaji yote ya nyumbani kama baba na kiongozi wa familia kuna kipindi kulitokea mtafaruku kisa kikiwa shemeji zangu...
wadau, habari zenu,
Dada zangu mnao uza papuchi, hivi mmekataa kabisa kufikilia aina nyingine ya biashara, mkachagua kujiuza? Siku zote yule muuzaji ndio mbaya sana, wateja watajuaje aina ya...
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lakini nimemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mimi naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa...
Nimetafakari Sana Mahusiano ya watu tajwa hapo juu, Yan kabla ya kijana kuoa na baada ya kijana kuoa.
Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani...
Habari zenu wadau: let me go straight to the point,,, kumekuwa na malalamiko kuhusiana na nguvu za kiume, bahati mbaya watu hawaelewi tatizo hili linasababishwa na nini, kiukweli tatizo linaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.