Hivi ni kwa nini mwanaume akigundua mke wake anachepuka, ama mpenzi wake anamsaliti huwa mkali na mwishowe kuvunjika kwa ndoa, ilihali na yeye huwa anachepuka?
Wadau hebu tujadili hapo tuone...
Wana great thinkers
Kuna ushauri tafadhali unahitajika.
Kwa ufupi kuna mzazi (mwalimu wa sekondari) mkristo alizaa na wanawake wa 2 tofauti Wa kwanza mke wa ndoa watoto wa3, Mwanamke Wa pili...
Nakumbuka nilikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu.
Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka...
Nimefanikiwa kutengeneza urafiki na mama muuza genge hadi katokea kunipenda na kuniamini sana. Alipenda kujua maisha yangu ya kiroho na maisha ya kawaida na kuridhika nayo.
Baada ya kumaliza chuo...
Kila mwanamke ashawahi kua mchepuko/mchepukwa kwenye mahusiano katika hatua fulani, kuna baadhi wabishi watakataa hili. Kua mchepuko muda mwingine hujihisi mpweke, ila una faida zake, kama vile...
Ee bhana hii issue mmoja yupo DSM mwingine yupo Dom imeleta migogoro sana kwenye ndoa. Juzi msela kakutwa na demu baada ya mke kusafiri usiku kuja Dodoma alifika saa nane usiku na kumkuta mshkaji...
Sijui niseme maisha ni magumu sana au sijui niseme utandawazi!!! Kwanini mabinti wa vyuo wanakuwa warahisi sana kutongozeka!
Yan ukigusa imooooo tena ukiwa mwepesi kama lionel messi aloooooo...
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa na mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa...
Jambo ndugu zangu,
Nahitaji msaada wenu.
Mimi ni kijana nina miaka 22 niko kwenye mausiano na dada fulani ambaye tuna tarajia kuoana. Sasa kuna vitu ambavyo vina ni tatizaga na jiulizaga...
Niende kwenye mada, sita elezea mada hii nikihusisha na story yangu binafsi ila nitaweka story ya Bondia Hassan Mwakinyo.
Kiukweli ni ngumu sana kumjua mwanaume mwenye nia njema kwa mpenzi wake...
Wakuu nauliza kwa jinsi muenendo wa Dunia kwa Sasa,utandawazi na athari zake,na hii hofu ya kifo nyakati hizi bado Kuna watu mnaweza kuthubutu kufanya uasherati au ngono?
Maana Mimi sielewi...
Wakuu!
Huu ni utafiti Rasmi nilioufanya mimi mwenyewe kwa miaka mitano.
Utafiti wangu niliuweka kwa mtindo wa swali; WANAWAKE WAPI NDIO WENYE MAPENZI YA KWELI?
Muda wa Utafiti: Miaka Mitano...
Hivi mmekwaruzana na mtu ila bado unamkumbuka hii nini ?
Kwa maana hata kusemeshana hakuna ila mawazoni yupo kama nini?
Kumtoa hakuna kila saa yupo mawazoni na hii nini?
Kisa cha wanandoa walioachanishwa kisheria wiki hii baada ya kuishi pamoja kwa miaka 21 kimenitafakarisha sana... Tatizo sio kuachana bali ni sababu za kuachana
Mwanaume hakuwa na korodani (lugha...
Napenda nitambulishe id yangu mpya ambayo nitaibadilisha ila avatar itabaki hiyo hiyo. "The Destroyer of Feminists", and so shall my identity be.
Binafsi mada zinazonipa shauku ni mada zinazo...
Ex: Eliza mambo
Eliza: poa tu nani!!
Ex: aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.
Eliza: hayo hayakuhusu sema we nani.
Ex: mi Fredy Mcharo
Eliza: jamn mzima wewe za siku!!
Ex: nzur...
Naandika baada ya kufanya uchungu wa kina Sana
Wapendwa tukiacha Yale mapenzi ya sekondari ,tukaja kwenye utu uzima yaani kuanzia miaka 27+ Ni ngumu sana kwa mwanamke kumpenda mwanaume asiye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.