Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hivi ni kwanini wanawake huwa hawana maamuzi juu matumizi wa kingamaana akishaingizwa chumbani tu mwenye maamuzi huwa ni mwanaume? Mwanzon anaweza uliza ziko lakini baadaye haulizi tena au...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hili suala juu ya kuwepo kwa upungufu wa kiume kwenye jamii zetu lina ukweli ndani yake. Maana maisha ya siku hizi yalebadilika sana. Vyakula sio rafiki kwa afya, watu wana stress hivyo wanakunywa...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
MADAHARA YA KUKUTANA KIMWILI NJE YA NDOA AU PASIPO KUWA KATIKA NDOA Kukutana kimwili nje ya ndoa ni lango linalotumiwa na adui kuharibu vipawa vya Mungu ndani ya watu, Kwani tendo la ukutana...
19 Reactions
26 Replies
5K Views
Wasalaam wana jukwaa.... Katika maisha ya kimapenzi hakuna kitu kinachouma kama kusalitiwa, tena kusalitiwa kunakouma zaidi ni pale unapobaini mpenzi wako kampa penzi mtu unayemjua halafu...
11 Reactions
70 Replies
14K Views
Je, ukiwa kama mwanaume ni kitendo kipi ukimkosea au ulishamkosea mwenzi wako ambalo lilikulazimu au linakulazimu kupiga magoti na kumuomba msamaha?
1 Reactions
27 Replies
2K Views
My Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe. Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri. Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu...
2 Reactions
66 Replies
7K Views
Mnamkumbuka kwenye stori ya Khumbu niliwaambia nikiwa Durban kuna wasichana takribani 5 nilijihusisha nao ukiachilia Khumbu? Sasa kulikuwa na kasichana kamoja english figure, kilikuwa na ngozi...
19 Reactions
101 Replies
16K Views
Huwa nashangaa wanaume wengi kujifanya makauzu hasa katika jamii na familia zao but honestly kwa mimi nathibitisha hakuna Boy/Men mgumu kwa mwanamke. Kuthibitisha hii, look mkiambiwa kazime taa...
15 Reactions
116 Replies
10K Views
Kuna familia moja tumepanga wote ni vijana tu wana kama miaka 24 25 hivi wana mtoto mmoja ni familia yenye uchumi wa chini sana hii imefanya mtoto wao wa umri wa miaka kama mitatu hivi kua ana...
7 Reactions
49 Replies
6K Views
Habar Mi binafsi nikimfuma mtu na mwanandoa wangu aisee cmbugudhi ila napambana na mwenzanzu maana ndiyo tatizo Mbwai mbwai
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Dah! Kama utani hivi, jana kani-text "Vipi kuhusu interview uliyoenda kufanya?" nikamjibu "hapana sikufanikiwa", akanitakia usiku mwema wakati si kawaida yake. Asubuhi kanichunia, nikamtafuta...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
Si unajua bna binadamu tumeumbiwa mitihani? Nilikuwa na stress yangu moja hivi shost wangu mmoja akaniambia ana mchungaji wake flani twende tukaombewe Kufika kwa mchungaji lazima utoe historia...
12 Reactions
85 Replies
8K Views
Habari za leo watanzania wenzangu? Nimeshangaa tu jana usiku mpenzi wangu from nowhere kanitumia ujumbe kwenye simu kuwa, mwaka huu ukiisha kama sijamuoa, basi yeye atafanya maamuzi magumu na...
7 Reactions
83 Replies
7K Views
Sasa huwa mnazitumia vipi hizi pads? Na nyinyi pia huwa mnaumwa wakat wa siku zenu km tumbo au kiuno?
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Hata kama mkeo au mpenzi wako unampenda kiasi gani hata siku moja usije ukajiroga ukamwelezea kuhusu kipato chako au chanzo chako cha mapato hii inatakiwa iwe Siri yako Unapomwambia mtoto wa kike...
17 Reactions
87 Replies
9K Views
Habari ya muda huu natumai muwazima nyote. Moja kwa moja nisipoteze muda. Tukio la leo(jana) limenifanya nikakumbuka miaka michache iliyopita nilipoteza fahamu katika moja ya usafiri wa umma...
72 Reactions
412 Replies
20K Views
Siku moja nilimuhadithia rafiki yangu kuwa nimelala kitanda kimoja na mwanamke akiwa amevaa chupi na sidiria, na mimi nilikuwa na boksa tu. Niliweza kuvumilia na kuingia usingizini tena tukiwa...
0 Reactions
103 Replies
22K Views
Hii shughuli niliyonayo sio ya kitoto kuna manzi anashilikiana na sister yake ambaye umri wake ni Kati ya 30 - 40. Kibaya zaidi familia yenyewe ni washirikina tena ni moto kitaa wanawaelewa hadi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Umeshawahi kujikuta unatamani kuvunja simu au kupotea duniani kwa dk kadhaa ukirudi duniani ukute ilikua n ndoto si kweli? basi mimi ilishawahi nitokea siku 1 nilichepuka nikadakwa na mpenzi wangu...
12 Reactions
20 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi? Nilikua kwenye mahusiano ndani ya miaka miwili , mwanamke wangu alipata ujauzito lakini akawa analazimisha sana kutoa nikamuuliza kwanini akaniambia hawezi kubeba mimba kabla ya...
11 Reactions
64 Replies
5K Views
Back
Top Bottom