Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Bwana wetu Yesu asifiwe wapendwa, Asalaam naalykum kwa waisilam wote natumaini mu wazima wote. Moja kwa moja nizame ndani ya maada wapendwa. Mimi ni kijana ambaye natarajia kuingia kunako ndoa...
2 Reactions
84 Replies
7K Views
Case study iwe ya Majani, P funk na mwanae Paula aliyezaa na Kajala. 1. Usizae na mwanamke mwanaharakati maarufu kama Feminist, yeye hajua kushindwa wala kukosa, kichwani mwao hawa wanawake...
15 Reactions
34 Replies
3K Views
Umepewa nauli, umelipwa kama short time unapata nguvu gani kusema nina mimba yako? Halafu nina mimba yako nafanyaje? Unakujaje uko danger? Tembeeni na kinga siyo kujiachia kama mkasi.
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa...
16 Reactions
75 Replies
8K Views
Habari za uzimaAISEE SIO MIMI)
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kumekuwa na kasumba la wadada kuongelea suala la nguvu za kiume hadharani tena kwa kujiamini. Mimi binafsi nikisikia mwanamke anaongelea...
6 Reactions
61 Replies
5K Views
Kwanza nguvu huwa zinaongezeka,Raha zaidi,utamu zaidi na starehe sana kwa mwanaume unapokula penzi la mwanamke yoyote aliekuzidi au mwenye hadhi ya juu zaidi. Kwa mfano: Kula penzi la mwanamke...
18 Reactions
95 Replies
12K Views
Nilikua na girlfriend wangu na tulibahatika kupata mtoto ila tulitofautiana hali iliosababisha kutokuishi pamoja. Sasa mwezi uliopita mwenzangu kapata mwenza lakini tulikua tunawasiliana kawaida...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wana JF Katika Maisha kila mtu ana mtazamo wake katika mambo mbalimbali, huu ndio mtazamo wangu katika mapenzi. "Mwanamke anaekupenda kweli ni mama yako tu, kwa sababu ndio mwanamke...
17 Reactions
62 Replies
8K Views
Kwa wale ambao wameshapitia hii hatua tayari na wana uzoefu hebu tupeane experience ni changamoto gani unaweza kukutana nayo siku utakapokwenda ukweni kutambulishwa. Na jinsi gani unaweza...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kutoka Ukurasa wa Instagram wa Idd Makengo Naomba unisaidie kama hiki ni kitu kibaya kwa mwanangu kwani nahisi kuchanganyikiwa. Mwanangu wakiume alinyonya mpaka alipofikisha miaka minne ndiyo...
-1 Reactions
38 Replies
7K Views
Kuna mzee alikuwa mkali sana kwa binti yake now kazeeka anaumwa basi binti yake kawa malaya mtaa mzima.binti anamuongezea stress tu mzee wake wenye watoto wa kike/wadogo za kike tupeni...
3 Reactions
72 Replies
9K Views
huyu dada nilimuunganisha na watu wa Kampuni flani kikazi. alikuwa dada mzuri ila sikuwa na mpango naye kabisa. mara nyingi alikuwa anaonesha nia ya kutaka uhusiano. mimi niliona ni kujiongezea...
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Wanawake wa siku hizi sio kama wa zamani. Zamani wanawake walikuwa na mapenzi ya kweli. Mtu alikuwa anakaa kwenye ndoa na mahusiano bila stress. Mtu alikuwa anatunza, anasomesha na kisha kuoa bila...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Ipo hivi mimi na wife tuna miaka saba sasa, tumefanikiwa kupata watoto wawili lakini mwaka uliopita nilimkosea mke wangu nilichepuka na kupata mtoto wa nje. Nilimuomba sana msamaha akakubali na...
8 Reactions
80 Replies
6K Views
Ukimtokea mdada wa Kigoma kwamba umempenda na unataka kumuoa basi ataifanya habari hiyo kuwa siri, kwasababu anaogopa kuhujumiwa. Uhaba huu wa wanaume Kigoma umesababishwa na nini? Kuna nadharia...
42 Reactions
135 Replies
29K Views
Nina wiki mbili toka nifike mjini hapa. Hali ya hewa na internal forces vinachochea kupiga mechi za nje. Siku tano za mwanzo nikamchek mtoto mmoja niliwahi kumu import mwaka jana. Akafurahi sana...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtu anakuita au unakutana nae baa anakuambia kwa roho nyeupe agiza bia ili mpige story na kupeana kampani cha ajabu unaanza kunywa kama unamkomoa kisa tu umepata offer ya bure. Bia moja unapiga...
8 Reactions
89 Replies
5K Views
Haya mambo nilikuwa naona kwenye movies nk but nimekuja kujikuta naonana nalo live bila kujitambua ni hadithi ndefu ila kiukweli nahisi ni shetani amenitembelea na hii ni baada ya kutumbukia...
3 Reactions
46 Replies
14K Views
Asanteni kwa maoni yenu.
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom