Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Unajua mjini kuna wanawake Ila wameji categorize kuna madada, mabinti na akina mama. Ila sasa hawa akina mama wanaojiita kina mama wa mjini wananishangaza zamani kulikuwa na utofauti Kari ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni juzi tu hapa nilipata mshtuko baada ya kupokea simu toka kwa jamaa yangu wa karibu simu iliyosababisha nipoteze mwelekeo barabarani na kujikuta ndani ya mtaro. Ilikua tarehe 26/12 baada ya...
3 Reactions
33 Replies
7K Views
Inapofika wakati mpenzi wako anataka kuolewa au anataka kuoa na wewe ukijiangalia hauko tiyali kutokana sababu mbalimbali labda bado unasoma,hujajipanga vizuli, au kuna mambo unataka uyaweke sawa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huyu dada nmeanza naye uhusiano baada ya kukutana naye Mlimani City. Tukale wote na kupata nafasi ya kufahamiana. Then nikamrudisha Chuo. Yupo hapo Chuo cha Ardhi. Last weekend akanambia yupo...
19 Reactions
33 Replies
3K Views
Salaam wana MMU Ukatili wa kingono kwa watoto umezidi kuongezeka kadri siku zinavyokwenda. Pamoja na juhudi za serikali na jamii bado vitendo hivyo vinaendelea. Adhabu mbalimbali hutolewa kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanawake ukifikiria unashindwa kuelewa hawa watu akili zao zinafanyaje kazi, zinazunguka ant-clockwise ama nini? Nilikua na mpenzi wangu, akawa ananichukulia poa, nikajua huyo ana mwanaume...
28 Reactions
111 Replies
12K Views
Maisha ya malezi yanachangamoto zake, na changamoto iliyopo ni mtoto kukataa au kumfanya akaubaliane na mwenza ambae mmefika hatua ya kutaka kuishi pamoja kama mume na mke ila mtoto ndio haivi na...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja...
51 Reactions
335 Replies
22K Views
Wakuu, Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda.. Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki? Mimi; Kazime Taa Huyu hapa...
19 Reactions
170 Replies
17K Views
Ukisikia katelekeza familia ndiyo huwaga hivi
9 Reactions
83 Replies
13K Views
Hivi ni kwanini mwanamke akimzidi umri mwanaume familia inaleta vikwazo juu ya mahusiano kati yao mpaka inafikia kuachana unakuta labda mke ana miaka 40 na mume 35 au mke awe 45 na mume 40 inakuwa...
4 Reactions
4 Replies
738 Views
Wadau walio na experience ya kuishi chumba kimoja na mtoto/watoto wenye umri wa miaka 4 huwa mnafanyaje mkitaka kula tunda iwe mchana au iwe usiku. Wengine watoto wao hawana wa kucheza nao...
5 Reactions
87 Replies
11K Views
Ndugu zangu naomba ushauri Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada. Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada. Sasa tulivyo...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera. Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Demu mzuri wa sura na umbo. Ila muongo mpaka akisema kitu unakuwa njia panda. Hujui uamini au usiamini. Juzi alinambia anaumwa sana hawezi hata amka. Hoi bin taabani nikamwambia nimpeleke Hosp...
15 Reactions
29 Replies
5K Views
Ni mdada ambaye ana mume wake but tunajuana mda tuu. Alipata tatizo alipokuwa anakaa akahitaji kuhama na akataka msaada wangu kupata chumba Mahali nilipopanga mimi kulikuwa na nafasi ila hua...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekuwa naisikia sana hii kwamba wanawake wazuri sana huwa mara nyingi hazimo sana kichwani. Hii ni kwa dunia nzima, kwa mfano ukisoma novel nyingi za waandishi wakubwa wa novel duniani...
0 Reactions
115 Replies
9K Views
Hivi unapata wapi nguvu za kujirekodi utupu na kumtumia mtu(mpenz wako)? Serious? Kabisa unakaa unachukua video au unajipiga picha? Aisee me mwanamke akinitumia picha au akiniuliza kama napenda...
4 Reactions
78 Replies
5K Views
Huu ushuhuda nimetumiwa na mtu nikaona ni share nanyi! Najua yupo mtu utamfaa ... KILICHOPATIKANA KWA MAOMBI, KITALINDWA KWA MAOMBI! Nilianza kuhisi tatizo baada ya kuona mbona kama vile ilikuwa...
16 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom