poleni namihangaiko ya siku na shughuli hapa na pale wanaJF
Japo sina skills za kusimulia twende nayo [emoji116][emoji116]
Mimi nikijana mwenye umri wa Miaka 29 kwasasa,
nilibahatika kuoa mwaka...
Sio kila mtu mwenye maumbile ya kiume ni mwanaume. Kwenye wanaume 100 kuna wanaume walio kamilika 16 tu.
54 wana low sperm count
7 mashoga
33 hawana nguvu za kiume kutokana na punyeto, magonjwa...
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi, kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na...
Sasa hivi watu wako busy kuperuzi mitandaoni kwani dunia ni kama Kijiji mtu unapata vyote ambavyo unavihitaji..
Ukitaka kufurahi na kuvunja mbavu huitaji mpenzi akuchekeshe unaingia katika page...
Miezi sita hivi nilikutana na mrembo wa telegram huyu mrembo nilimpata baada ya connection kuona kwenye uzi fulani wa machimbo na bei zake, ile pisi ilikuwa ya ukweli na nikajisemea nanunua hii...
Miaka inaenda kasi sana, leo hii watu wanatumiana sms, emoji nk. Lakini miaka yetu wakati tunaanza kutafuta wapenzi tuliandika barua kwani haikuwa si rahisi kusimama na binti na ukaongea naye...
Habari za leo wakuu
Kilichonifanya kuandika uzi huu ni hili suala la Wazazi. Nadhani wengi wenu mnakumbuka enzi za shule hasa secondary na high school ilivyokuwa, ule wakati wa story za vijana...
Habari zenu, naombeni ushauri jamani
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na...
Hivi Unawezaje Kusex Na Demu Yoyote Kisa Tu Kajilengesha kwako???
Aiseee...😁
Me Kusex Na Demu Mpaka Nimkubali Yaani Nimuelewe Kwanza....
But....
Kuna Watu Hawaangalii wao Ni Pitapita Tuu...
Kuna msemao mpende akupendae asiyekupenda achana naye
Je, ulishawahi kutumia nguvu na bidii kumuonesha mpenzi wako unampenda sana na unamjali sana lakini yeye akawa hana habari na wewe?
Wandugu kwa mara nyingine nilishawahi leta uzi hapa kuhusu mahusiano na mdada mmoja yenye tiltle kuwa tumeachana kisasa. Kiukweli baada ya pale maisha yaliendelea lakini wiki moja kabla ya...
Bado sijaoa umri wangu miaka 30, Nina wadada wawili wa kazi za ndani nyumbani kwangu mmoja wa Iringa na mwengine wa Singida nipo nao tokea 2012 mpaka sasa.
Kazi zangu nyingi nazifanya mikoani...
Wadau je ni lazima kumgaramia mpenzi wako wa kike kwa kila kitu mnapokua ktk hatua ya urafiki na uchumba?
Mathalani kumnunulia sim,kumlipia kodi & billz,zawadi za hapa na pale ilihali...
! MJINGA !
Mjinga akimaliza la saba anaanza biashara ya kuchoma mahindi halafu atauza miwa, atalima viazi huku akikatisha mkaa.
Baada ya miaka miwili mitatu ivi atafungua duka la nguo atasafiri...
Mwanamke mmoja nchini kenya ameonekana akiandamana Kutafuta mwanaume wa kumuoa bila masharti yoyote ili kumsitiri.
Anasema hajali umri, Pesa, Sura, Hadhi bora UHAI tu.
Wewe endelea kuuliza Namba...
Bila kuchelewesha mada zifuatazo ni faida na hasara za kuoa mke kutoka familia yenye uwezo kifedha.
A) faida
1.Kupata zawadi nyingi wakati wa harusi.Mnaweza pewa zawadi ya fedha, vitu vyote vya...
Habarini wana nnzengo w MMU .
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Tuchukue nafasi hii kuwaomba radhi wapendwa we2 ambao tumewahi kuwasaliti na bado tunawapenda ila ni shetani tu mkata kamba...
Habari za weekend wakuu?
Naomba niende kwenye mada husika, iko hivi nina mahusino na mke wa mtu kwa muda wa mwaka sasa, huyu mwanamke nimekutana nae katika mazingira ambayo mimi sina kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.