Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Naogopa kupima. Sijawahi kupima. Nahofia majibu yatakuwaje. Bottom Line: Tayari tushapiga kavu (mara moja), kuna ulazima kweli wa kupima afya zetu? Anataka tupime. Naogopa sana. Sababu huyu ni...
7 Reactions
124 Replies
18K Views
Hiviii..Em ngoja kwanza..!!Unajua apa duniani Kunae maraia wanaushujaa wa kiduanzi kinyama... Hivi una'date na Pisi ata haikutumii text kukuuliza Baby umekula?inamaana iyo pisi inajua ina'date na...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Juzi alikuja kijana mmoja mbaye tunafahaminiana sana alinikuta nikiwa nimepumzika karibu na ofisi yangu ya kazi alikuja akiwa na huzuni sana. Nikamuuliza vipi mbona uko hivyo akanijibu kaka...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari Wakuu Nimekuwa najiuliza sana hili, katika jamii zetu za kiafrika hasa Tanzania hivi kweli kuna uwezekano wa msichana na mvulana kuwa marafiki bila ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi...
6 Reactions
826 Replies
78K Views
Kuna Dada ( Binti ) Mmoja mwanzo nilikuwa nafurahia 'alivyokomeshwa' na Mwanamama aliyeibiwa nae 'Mumewe' ila si Siri kwa sasa Imani ya 'Huruma' imeniingia juu yake kwani huyu Binti (Dada) ambaye...
6 Reactions
75 Replies
7K Views
WANAUME MNAOOMBWA PESA BAADA NA KABLA YA KUTONGOZA KAZI KWENU,SURA NDIYO HIYO IMEKAA KIMALKIA. Huwezi Amini Huyu ni Mwanaume Shoga Tajiri Huko Nigeria, Anaitwa Bobrisky _ Shoga maarufu kutoka...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Habarin humu.! Nisipoteze muda niende kwenye mada. Aisee kuna vitu vinakata moto sana. Mtu umesota kupata namba yake, haya umembananisha ukapata namba yake, tena amekupa bila hiyana na bashasha...
9 Reactions
88 Replies
9K Views
Huwaondolea Wanawake hamu,mshawasha,shauku au nye ge za kufanya mapenzi. Matumizi ya mbinu hizi za kuzuia mimba si nzuri na ni hatari mno kwa ndoa changa. Wanawake huishiwa hamu na wamezao...
10 Reactions
119 Replies
10K Views
Cómo están tus amigos. Leo nimeona tujadiri hili suala lwa wanaume kumpigia magoti mwanamke kipindi ananvisha pete ya Uchumba au Ndoa. Mara zote nimekuwa nikiamini kuwa kama mwanaume anamvisha...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwa nini Wanawake huwa hawajihusishi au nisema haiwasumbui kiihivyo kama mchizi wake amelala na Wanawake wengi au la, lkn kwa Mwanaume inakuwa ishu? I mean, ni mara chache sana nimesikia Mwanamke...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Umeanza mahusiano na mwenza wako katika hali mbaya kiuchumi ila mkakuvumilian shida na raha mkawa pamoja, mkazaa watoto, mkalea mkaanza na kusomesha, watotommekuwa na ndoto nyingi sana hususani za...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Upande wangu Mimi miezi tangu miwili iliyopita hadi Leo sijamsikia mpenzi wangu akinitamkia ananipenda wala kuniita darling Bby love zaidi zaidi ya kuniiita jina langu sijui kwanini? Je, wewe...
10 Reactions
114 Replies
8K Views
UKIONA wanaokutongoza wote wamenyoa viduku[emoji64], wana mabrichi kichwani, wavaa milegezo na suruali zilizotoboka magotini.... Dada angu ujue tu Safari yako ya kuolewa bado ni ndefu!!! Wanaume...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello JF, Katika haya maisha tunakutana na watu wa kila dizaini. Nakumbuka wakati niko college nilikuwa na binti fulani hivi kimahusiano, asee Yule mwanamke sijui alikuwa na balaa gani kila...
4 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wanandugu wa JF, Sorry kama nitashindwa kuhusianisha heading na content Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwa kumekuwa na wanawake wengi ambao wametelekezewa watoto au mimba hii hutokana na...
16 Reactions
56 Replies
4K Views
Mim kila siku natoka asubuh kuna eneo flan napitab..sasa leo ni mara ya tatu namwona mdada flan hiv famous sana instagram kwa picha zake nzur nzur m classy....picha zake ni viwanja vikal na kwenye...
11 Reactions
60 Replies
5K Views
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za...
22 Reactions
41 Replies
4K Views
Nilikuwa ni mmoja wa wanaoponda single mamas humu ila mungu sio Athumani nikapata ka mama fulani hivi ka makamo nikaanza kujilia vyangu. Mahusiano yetu yakadumu kwa wiki mbili nikiwa nafikiri kwa...
9 Reactions
90 Replies
10K Views
Nimeona majimbo mengi yakiongozwa na wabunge wa hovyo hovyo yakawa na maendeleo mazuri ihali mengine yanayoongozwa na wabunge wa maana yakiwa hayafanyi vyema. So its safe to assume that all a...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Back
Top Bottom