Habari za muda huu wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kuna jirani yangu naishi nae compound moja, kuna siku alitaka kuangalia kitu fulani kupitia simu yangu, kupitia Internet ila kwa...
Habari za wakati huu wapendwa na wanajamvi wenzangu wa MMU. Poleni kwa kazi na kwa wale walioenda kusali hongereni kwa ibada.
Nianze mkasa wangu juu ya huyu Baby mama wangu, Hapa juzi kati (wiki...
Ujana ni maji ya moto,je ungekuwa ni wewe ungefanyaje?
Miezi miwili iliyopita baada ya kupata habari kuwa dada J ambaye yupo hapa mtaani kwetu amemaliza kidato cha 4 na matokeo hayakuwa mazuri...
Kama hujawaipima pima, au ni muda mrefu sana umepita toka upime, ni nini kinakufanya usiende kucheki afya yako?
Kama umesha pima, ni nini kilikufanya uende kucheki afya yako, je ilikuwa regular...
Wadau kuna mrembo flani hivi ni muislamu ila tumeelewana sana na tunatamani tuishi kama mume na mke, mm ni mkristo. Tatizo la huyo manzi hataki kubadili dini na ameshauri kama tukikibalina kuishi...
Wadau,
Katika pita pita zangu. Nilikutana na wanaume wawili. Sasa kati ya hao mmoja alinipatia mawasiliano.
Mawasiliano yakaanza na sasa unamiezi miwili. Huu watatu nikapokea namba ngeni...
Ukiondoa akili yako kwenye mapenzi na ukaiwekeza kwenye kutafuta pesa,kutatua changamoto za watu,kujenga msingi mzuri kwa kizazi chako kijacho!maumivu ya mapenzi utayasikia wasafi tv!
Yaani...
Bado sijapata jibu kama mtu anazaliwa na roho mbaya ama anajifunza kuwa na roho mbaya.
Yaani sipati picha kuna mwanamke nilishawahi kutoka nae kimapenzi hata ukimsaidia ndugu yako wa damu...
Sisi tumezaliwa na baba mmoja ila watoto tupo milioni kadhaa!baba alivyokuwa hai alituaminisha kwamba sisi watoto wake tuna maisha mazuri sana na sisi ndio watoto pekee tunaishi vizuri ndio maana...
Kuna dem alimnyima Ken na akamwmbia eti "Let's just be good friends" Lakini kila time huwa anampigia simu akimueleza shida ndogo ndogo eti amsaidie. Sasa leo amempigia simu mchana akamwambia...
Dah! Sijui ninafeli wapi kila mwanamke ninayekuwa naye ananikimbia na kama ni mashine ninayo yakutosha na pia namhudumia kila kitu anachohitaji sijui nakwama wapi jamani
Sent using Jamii Forums...
Photo Courtesy. Images were taken from previous incidents.
In the past years kakamega county has been well known for a good record when it comes to marital issues, hence, back then there has...
Baba Farzana, mpangaji mwenzangu hapa Mw'nyamala kwa mama Zakaria.
Mimi na wewe tunaelewana vizuri sana. Wewe ni mwenyeji wangu kwa sababu nimekukuta hapa tayari una miaka mitatu.
Mie ndio naanza...
Wakuu habari za mda huu. Kwanza kabisa TGIF.
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja bila kupoteza wakati. Mimi ni kijana bado yanki kidogo nimehitimu chuo kikuu mwaka juzi. Sasa tatizo langu...
Kuitambua bikira feki ni rahisa sana. Mwanzo utaingiza kwa taabu sana lakini baada ya hapo, ndani utakuta ni kupana mno.....tena huenda usitoshe vizuri ukapwaya pwaya.
Njia nyingine ni...
Imebidi nibishane mno na huyu mama wa makamo anayefanya hii biashara kwenye saluni za kike zenye hadhi ya juu mikocheni masaki na oysterbay... Pia na maeneo ya kinondoni
Sex toys /sex dolls ni...
Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko na vita vya Corona.
Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi...
Habari za asubuhi wakuu, natumaini wote mmepata usingizi mzuri tofauti na mimi ambaye sijaupata takribani siku mbili sasa.
Mkasa wangu unahusiana na huyu binti ni jirani yangu, tulitokea...
Wakuu nimeota ndoto ya ajabu usiku wa kuamkia leo (baada ya kukutana na yule ex wa rafiki yangu na kukubaliana kuwa nae kwenye mahusiano)
Refer: Nipo Njia Panda Naomba Mnishauri - JamiiForums...
Asalam wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kila kukicha kwenye suala zima la mahusiano.
Wanaume wanaonekana ndio wanaumizwa zaidi kwakuwa wao ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.